Harakati za Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Wanaharakati wa Qur'ani Tukufu kutoka Iran na baadhi ya nchi kadhaa katika taarifa yao wamelaani vitendo vya hivi majuzi vya kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu barani Ulaya, wakizitaka serikali za nchi za Kiislamu kuchukua hatua madhubuti dhidi ya hatua hizo za kufuru.
Habari ID: 3476532 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/08
Harakati ya Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) - Taasisi za Qur'ani nchini Iraq zinashinikiza nchi hiyo kuitaja siku moja katika kalenda kuwa 'Siku ya Qur'ani Tukufu.'
Habari ID: 3476529 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/07
Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) – Mtandao wa kijamii wa Twitter umetangaza kusimamisha kwa muda akaunti ya Qur'ani Tukufu ambayo ina wafuasi milioni 13 kutokana na kile wakuu wa mtandao huo wa kijamii walichokiita kuwa eti ni ukiukaji wa miongozo yake.
Habari ID: 3476522 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/06
Shakhsia katika Qur’ani Tukufu/30
TEHRAN (IQNA) – Miongoni mwa wahusika mbalimbali waliotajwa katika hadithi za Qur’ani Tukufu, kuna baadhi ambao walikuwa na sifa au tabia za kichawi na za ajabu. Kwa mfano, wengine wanasema Jalut alikuwa na urefu wa mita tatu na mwenye nguvu nyingi, ingawa aliuawa kwa jiwe ndogo.
Habari ID: 3476521 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/06
Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Toleo la tisa la mashindano ya Qur’ani ya Ulaya yanapangwa kufanyika Machi 2023.
Habari ID: 3476517 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/05
Mashindano ya Qur'ani Misri
TEHRAN (IQNA) - Toleo la 29 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Misri yalianza katika sherehe katika mji mkuu Cairo siku ya Jumamosi.
Habari ID: 3476516 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/05
Wasomaji Maarufu wa Qur'ani Tukufu /25
TEHRAN (IQNA) – Abdulaziz Ali Faraj alikuwa qari wa Kimisri ambaye aliishi zama za Ustadh Abdul Basit Abdul Samad.
Habari ID: 3476514 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/05
Hijabu
TEHRAN (IQNA)- Muungano wa Wanawake wa Kiislamu wa Nigeria umetoa wito wa kuondolewa kwa vikwazo na ubaguzi dhidi ya utumiaji wa Hijabu na watumiaji wa Hijabu kitaifa na kimataifa.
Habari ID: 3476511 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/04
Mashindano ya Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) – Wakfu wa Qur’ani Tukufu na Sunnah huko Sharjah, Umoja wa Falme za Kiarabu, uliandaa hafla ya kuwaenzi wenye kuhifadhi Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3476510 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/04
Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) - Maseneta wa Russia wamelitaka Bunge la Ulaya kukemea hadharani vitendo vya hivi karibuni vya kuvunjiwa heshima wa Qur'ani nchini Uswidi na Uholanzi.
Habari ID: 3476509 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/04
Qur'ani Tukufu katika maisha
TEHRAN (IQNA)-Watumizi wa mitandao ya kijamii wanaendelea kusambaza video ya sherehe ya harusi ya wanandoa wa Misri, ambayo ilianza kwa bwana harusi mwenye ulemavu wa macho akisoma aya katika Sura Rum ya Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3476506 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/02
Maonyesho ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Mohammad Mehdi Aziz-Zadeh ameteuliwa kuwa mkuu wa sekretarieti ya kudumu ya Maonyesho ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iran.
Habari ID: 3476505 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/02
Maonyesho ya Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) - Banda la Wizara ya Masuala ya Kiislamu ya Saudi Arabia lilikabidhi nakala 30,000 za Qur'ani Tukufu miongoni mwa wageni katika Maonesho ya Kimataifa ya Vitabu ya Cairo.
Habari ID: 3476504 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/02
Shakhsia katika Qur'ani Tukufu /29
TEHRAN (IQNA) – Bani Isra’il, ambao wakati wa utume wa Musa (AS) waliasi baadhi ya amri za Mwenyezi Mungu, waliendelea na uasi wao baada ya kifo cha Musa.
Habari ID: 3476501 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/01
Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) ametahadharisha juu ya kiwango cha kutisha cha chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia )kufuatia kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu huko Ulaya hivi karibuni.
Habari ID: 3476500 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/01
Kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA)- Naibu Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu katika baadhi ya nchi za Magharibi, vitendo vya kigaidi na kuuawa Waislamu huko Pakistan ni ishara ya kufilisika nchi za Magharibi.
Habari ID: 3476498 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/01
Mashindano ya Qur'ani Tukufu kwa njia ya televisheni
TEHRAN (IQNA) - Usajili wa wanaotaka kushiriki toleo la 16 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Kanali ya Televisheni ya Al-Kawthar TV utaanza Jumamosi, Februari 4.
Habari ID: 3476495 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/31
Kongamano
TEHRAN (IQNA) - Mkutano wa kwanza wa kimataifa wa vyombo vya habari na umoja wa Umma wa Kiislamu umefanyika hapa katika mji mkuu wa Iran siku ya Jumatatu.
Habari ID: 3476487 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/30
Mazungumzo ya kidini
TEHRAN (IQNA) – Mkuu wa Shirika la Utamaduni na Mahusiano ya Kiislamu (ICRO) amesema kurudiwa kwa kesi za kuvunjia heshima matukufu ya kidini na ukimya au uhalalishaji unaofanywa na serikali za Magharibi kwa jina la uhuru wa kujieleza unaonyesha mwelekeo wa kimfumo wa kueneza chuki.
Habari ID: 3476484 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/29
Harakati za Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Waziri Mkuu wa Malaysia Anwar Ibrahim alitembelea Tamasha la Kimataifa la Sanaa la Qur'ani Tukufu la Restu, linaloendelea katika nchi hiyo ya Kusini Mashariki mwa Asia.
Habari ID: 3476483 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/29