iqna

IQNA

Wanazuoni Mashuhuri wa Ulimwengu wa Kiislamu /22
TEHRAN (IQNA) – Ignaty Krachkovsky alikuwa Mrusi mtafiti wa masuala ya mashariki na ya lugha Kiarabu ambaye anajulikana kwa tarjuma ya Qur’ani Tukufu katika lugha ya Kirusi.
Habari ID: 3477031    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/22

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Washindi wa shindano "kubwa zaidi kuwahi kuandaliwa" la kusoma Qur'ani nchini Bangladesh walitunukiwa pesa taslimu na safari za Umrah.
Habari ID: 3477030    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/22

Turathi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Jumba la Makumbusho la Idara ya Mfawidhi wa Haram Takatifu ya Imam Hussein AS huko Karbala, Iraq imekabidhiwa nakala adimu ya Qur’ani Tukufu iliyopambwa kwa dhahabu na fedha.
Habari ID: 3477028    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/21

Harakati za Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Mkuu wa banda la Kurugenzi ya Masuala ya Kidini ya Uturuki (Diyanet) katika Maonyesho ya 34 ya Kimataifa ya Vitabu ya Tehran amesema Diyanet inatekeleza shughuli mbalimbali za Qur'ani Tukufu duniani kote.
Habari ID: 3477027    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/21

Tafsiri ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Tahirul Qadri, mwanazuoni mashuhuri wa Pakistani, amekamilisha tafsiri ya Kiingereza ya Quran Tukufu.
Habari ID: 3477017    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/19

TEHRAN (IQNA) – Abdul Aziz Sahim ni qari kijana na mwenye kipaji ambaye amepata kutambuliwa nchini Algeria.
Habari ID: 3476984    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/11

Jinai
TEHRAN (IQNA)- Wanaume wawili waliokuwa wametiwa hatiani kwa kukufuru, kuidhalilisha Qur’ani Tukufu, na kuutukana Uislamu, Mtume Muhammad (SAW), na matakatifu mengine ya Kiislamu wamenyongwa nchini Iran.
Habari ID: 3476980    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/09

Mawaidha
TEHRAN (IQNA) – Kwa kutumia aya za Qur’ani Tukufu, mwanachuoni wa Kiislamu anaeleza jinsi Nabii Ibrahim alivyomtambulisha Mwenyezi Mungu kwa watu wake.
Habari ID: 3476978    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/09

Qurani Tukufu
TEHRAN (IQNA) – Mohammed na Iman ni kaka na dada wa Kimisri ambao umahiri wao katika usomaji wa Ibtihal umewapatia umaarufu nchini humo.
Habari ID: 3476977    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/08

Shakhsia katika Qur'ani Tukufu /40
TEHRAN (IQNA) – Watu wana maswali mengi kuhusu maisha baada ya kifo, ambayo baadhi yake hayajajibiwa.
Habari ID: 3476976    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/08

Mawaidha
TEHRAN (IQNA) – Binadamu mara nyingi hufanya mambo mabaya katika maisha yao, ambayo yanaweza kuwa na matokeo ya kudumu katika maisha yao ya dunia na akhera.
Habari ID: 3476975    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/08

Ayatullah Jafar Sobhani
TEHRAN (IQNA) – Jamii ya wanadamu leo ina kiu ya mafundisho ya Mwenyezi Mungu ya Qur’ani Tukufu zaidi kuliko hapo awali, mwanazuoni mwandamizi wa Kiislamu nchini Iran amebaini.
Habari ID: 3476970    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/07

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA)- Ofisi ya Mwendesha Mashtaka wa Malmö nchini Uswidei (Sweden) imetoa waranti wa kukamatwa kwa mwanasiasa mwenye misimamo mikali wa Denmark mwenye asili ya Uswidei "Rasmus Paludan" ambaye hivi karibuni aliivunjia heshima Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3476964    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/06

Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) - Hafla imefanyika katika mji mkuu wa Ghana wa Accra kuwaenzi washindi wa shindano la kuhifadhi Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3476963    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/06

Harakati za Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Waziri wa Masuala ya Kidini wa Algeria amesema baadhi ya wanafunzi milioni moja wamejiandikisha kwa ajili ya kozi za Qur'ani nchini humo.
Habari ID: 3476961    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/05

Sura za Qur'ani Tukufu /74
TEHRAN (IQNA) - Ulimwengu huu ni mahali pa watu kujitayarisha kwa ajili ya ulimwengu mwingine unaowangoja.
Habari ID: 3476953    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/04

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Mashindano ya Qur’ani yaliyoandaliwa na Baraza la Kitongoji la Al Suyoh la Idara ya Masuala ya Wilaya na Vijiji ya Sharjah nchini Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) yamehitimishwa.
Habari ID: 3476943    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/01

Taazia
TEHRAN (IQNA) – Qarii (msomaji wa Qur'ani) mashuhuri Sheikh Abdullah Kamel amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 38 huko New Jersey, Marekani, mapema wiki hii.
Habari ID: 3476934    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/30

Kilele cha Qiraa
TEHRAN (IQNA)- Sera moja muhimu zaidi ya Shirika la Habari la IQNA ni usambazaji wa elimu ya kukuza ufahamu wa usomaji wa Qur’ani Tukufu. Kwa msingi huo, tunasambaza klipi za wasomaji bingwa wa Qur’ani Tukufu chini ya anuani ya ‘Kilele cha Qiraa’. Katika sehemu ya arobaini na moja tunasikiza qiraa ya Ustadh Sheikh Mohammad Mohammad Hulail. Qiraa yake inaanzia 00:54
Habari ID: 3476925    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/28

Mawaidha
TEHRAN (IQNA) – Uzembe na kusahau au kughafikila ni miongoni mwa sifa za binadamu. Mbinu ya kukabiliana nao ni kuarifiwa kila mara kuhusu masuala muhimu.
Habari ID: 3476916    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/26