Ulimwengu wa Kiislamu
MAKKA (IQNA) – Mmoja wa maimamu wa Msikiti Mkuu wa Makka, Saudi Arabia, alilazimika kuacha kusalisha Sala siku ya Ijumaa baada ya kuugua.
Habari ID: 3477422 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/12
Watetezi wa Qur'ani Tukufu
BEIRUT (IQNA) - Mwanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon alisisitiza haja ya serikali za Kiislamu kuchukua hatua ili kuzuia kurudiwa kwa kunajisi Qur'ani nchini Uswidi na Denmark.
Habari ID: 3477412 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/10
Watetezi wa Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) - Mkuu wa Shirika la Utamaduni na Mawasiliano la Kiislamu la Iran (ICRO) ameyataja matukio ya hivi karibuni ya uchomaji moto wa Qur'ani barani Ulaya kuwa ni hatua ambazo zina mizizi ya Kizayuni.
Habari ID: 3477409 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/10
Watetezi wa Qur'ani Tukufu
BRUSSELS (IQNA) - Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa Umoja wa Ulaya alielezea kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu kama "vitendo vya kutowajibika vya watu wasiowajibika".
Habari ID: 3477408 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/09
Watetezi wa Qur'ani Tukufu
MAKKA (IQNA) - Jumuiya ya Kimataifa ya Waislamu (MWL) imetangaza mradi mpya wa kuanzisha Jumba la Kimataifa la Makumbusho la Qur'ani Tukufu huko Makka, jiji takatifu zaidi kwa Waislamu.
Habari ID: 3477406 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/09
Wasomaji Qur'ani Tukufu
CAIRO (IQNA) – Ustadh Yassir Mahmoud Abdul Khaliq al-Sharqawi ni kijana msomaji mashuhuri wa Qur'ani Tukufu nchini Misri na ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3477398 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/08
Watetezi wa Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) – Maandamano makali yalifanyika nchini Bangladesh baada ya makumi ya nakala za Qur’ani Tukufu kuchomwa moto katika nchi hiyo ya Kusini mwa Asia.
Habari ID: 3477397 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/08
Qiraa ya Qur'ani Tukufu
BAKU (IQNA) – Klipu ya usomaji mzuri wa Qur'ani Tukufu wa kijana wa Jamhuri ya Azerbaijan Qari Muhammad Dabirov imependwa na mamilioni ya watazamaji kwenye mitandao ya kijamii.
Habari ID: 3477394 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/07
Watetezi wa Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA)- Ubalozi wa Iran nchini Denmark umelaani vikali vitendo vya mara kwa mara kwa mara vya kuvunjia heshima Qur'ani Tukufu ndani ya taifa hilo la Nordic.
Habari ID: 3477393 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/07
Watetezi wa Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA)- Rais Nicolas Maduro wa Venezuela amewakosoa vikali watawala wan chi za Ulaya kutokana na ukimya wao kuhusu vitendo vya kuvunjia heshima Qur'ani Tukufu nchini Uswidi na Denmark.
Habari ID: 3477392 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/07
Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa mjini Tehran ameeleza kuwa, wale wanaochoma moto nakala za Qur’ani Tukufu kwa hakika wanajichoma moto wao wenyewe na kusema: Si jambo rahisi kwa kila mtu kujua hakika ya Qur’ani ambayo ni roho na rehema ya Mwenyezi Mungu, na kufanya ukaidi dhidi ya neno la Mungu ni ishara ya roho ya kishetani.
Habari ID: 3477381 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/04
Waziri Mkuu wa Denmark
COPENHAGEN (IQNA) - Waziri Mkuu wa Denmark amesema kupigwa marufuku kwa vitendo vya kuivunjia heshima Qur'ani Tukufu hakuwezi kuzuia uhuru wa kujieleza.
Habari ID: 3477379 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/04
Watetezi wa Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanazuoni wa Kiislamu Duniani (IUMS) aliona kususia huko kuwa chombo madhubuti dhidi ya nchi zinazounga mkono kuchomwa moto kwa Qur'ani Tukufu na akasema: Kususia ni mapinduzi na matakwa ya halali. Akizungumza katika kongamano la watetezi wa Qur'ani Tukufu ambacho kimefanyika hivi karibuni kwa njia ya intaneti, amesema Waislamu kote duniani wanawajibika katika kufanikishwa vikwazo hivyo.
Habari ID: 3477375 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/03
Watetezi wa Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) - Msomi wa Malaysia anasema ili kujibu kiuchumi mashambulizi ya Wamagharibi dhidi ya Uislamu na Qur'ani Tukufu, mataifa ya Kiislamu yanahitaji kuelewa uwezo wao na kujenga umoja.
Habari ID: 3477373 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/03
Watetezi wa Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Washiriki katika kongamano la kimataifa ambalo limeitishwa kujadili njia za kukabiliana na kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu wamesisitiza haja ya ulimwengu wa Kiislamu kuwa na umoja na mshikamano wa uhakika ili kkukabiliana na vitendo hivyo vya kufuru.
Habari ID: 3477372 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/02
Watetezi wa Qur'ani
TEHRAN (IQNA)- Kwa mara nyingine tena Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis amelaani vitendo vya karibuni vya kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu katika nchi za Sweden na Denmark na kusisitiza kuwa, vitendo hivyo vya kudhalilisha matukufu ya kidini havina tofauti na ukatili.
Habari ID: 3477371 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/02
Watetezi wa Qur'ani
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amewataka vijana wote wa Kiislamu wasisubiri kauli za jumuiya na mashirika bali wachukue hatua ya kulipiza kisasi dhidi ya mtu aliyeichoma moto Qur'ani.
Habari ID: 3477370 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/02
Watetezi wa Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Hossein Amir Abdollahian amewasilisha mapendekezo ya Iran kwa ajili ya kukabiliana na vitendo vya kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu katika nchi za Ulaya.
Habari ID: 3477369 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/01
Watetezi wa Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA)- Sheikh wa Al-Azhar wa nchini Misri, akijibu barua ya mkuu wa vyuo vya kidini vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, ameeleza matumaini yake kuwa msimamo wa pamoja uliochukuliwa na Waislamu hivi karibuni katika kukabiliana na suala la kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu utakuwa kichocheo cha kutatua tofauti na kuleta umoja baina yao.
Habari ID: 3477367 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/01
Watetezi wa Qur'ani Tukufu
CAIRO (IQNA) - Semina itaandaliwa na Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri kujadili kukabiliana na uhalifu wa uchomaji moto wa Qur'ani Tukufu katika nchi za Magharibi.
Habari ID: 3477366 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/01