Warsha
TEHRAN (IQNA) – Semina ya mtandaoni ilifanyika nchini Kenya hivi karibuni ili kujadili hali ya kisheria ya wanawake katika familia na jamii kwa mtazamo wa Qur'ani Tukufu na dini zingine.
Habari ID: 3477074 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/31
Ifahamu Qur'ani Tukufu /2
TEHRAN (IQNA) - Mwanadamu daima amekabiliwa na aina mbalimbali za magonjwa, yakiwemo yale yanayohusiana na akili na mawazo. Mwenyezi Mungu, ambaye ni Muumba wa mwanadamu ametuma agizo ambalo huponya magonjwa yake ya kiakili na kiakili.
Habari ID: 3477064 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/29
TEHRAN (IQNA) – Visomo vya Aya za Surah Al-Balad vya maqarii wawili wa Iraqi na wengine wawili kutoka Iran na Misri vimeunganishwa hivi karibuni kwenye klipu.
Habari ID: 3477056 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/28
Harakati za Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) - Waislamu katika kijiji cha Granada, mkoa wa kusini mwa Uhispania, wanajifunza kuhifadhi Qur'ani Tukufu kwa kwa njia ya jadi. Kulingana na tovuti ya Tawasul, Kijiji cha Al-Kawthar katika mkoa wa Andalusia nchini Uhispania kina wakaazi 490.
Habari ID: 3477055 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/27
Shughuli za Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Matar Tares ni jina la kijiji ambapo familia zote zina kumbukumbu moja ya Quran nzima.
Habari ID: 3477053 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/27
Harakati za Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Wizara ya Wakfu ya Misri imesema vikao maalumu vya kusoma Qur'ani Tukufu kwa wanawake vinaendelea kufanyika katika majimbo matatu ya nchi hiyo.Magavana wa Cairo, Sharqia na Alexandria wanaendelea kuandaa matukio ya Qur'ani, kwa mujibu wa tovuti ya Tahya Misr.
Habari ID: 3477040 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/24
Sura za Qur'ani Tukufu / 79
TEHRAN (IQNA) – Kuna sababu tofauti za kutomtii Mwenyezi Mungu au kutokuwa naye, ambazo humfanya mtu kujiweka mbali na malengo matukufu ya maisha.
Habari ID: 3477037 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/24
Harakati za Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri kilimtunuku msichana barobaro ambaye amehifadhi Qur’ani Tukufu kikamilifu na Hadith 6,000 za Mtume Muhammad SAW pamoja na mashairi ya Kiarabu.
Habari ID: 3477034 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/23
Wanazuoni Mashuhuri wa Ulimwengu wa Kiislamu /22
TEHRAN (IQNA) – Ignaty Krachkovsky alikuwa Mrusi mtafiti wa masuala ya mashariki na ya lugha Kiarabu ambaye anajulikana kwa tarjuma ya Qur’ani Tukufu katika lugha ya Kirusi.
Habari ID: 3477031 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/22
Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Washindi wa shindano "kubwa zaidi kuwahi kuandaliwa" la kusoma Qur'ani nchini Bangladesh walitunukiwa pesa taslimu na safari za Umrah.
Habari ID: 3477030 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/22
Turathi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Jumba la Makumbusho la Idara ya Mfawidhi wa Haram Takatifu ya Imam Hussein AS huko Karbala, Iraq imekabidhiwa nakala adimu ya Qur’ani Tukufu iliyopambwa kwa dhahabu na fedha.
Habari ID: 3477028 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/21
Harakati za Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Mkuu wa banda la Kurugenzi ya Masuala ya Kidini ya Uturuki (Diyanet) katika Maonyesho ya 34 ya Kimataifa ya Vitabu ya Tehran amesema Diyanet inatekeleza shughuli mbalimbali za Qur'ani Tukufu duniani kote.
Habari ID: 3477027 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/21
Tafsiri ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Tahirul Qadri, mwanazuoni mashuhuri wa Pakistani, amekamilisha tafsiri ya Kiingereza ya Quran Tukufu.
Habari ID: 3477017 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/19
TEHRAN (IQNA) – Abdul Aziz Sahim ni qari kijana na mwenye kipaji ambaye amepata kutambuliwa nchini Algeria.
Habari ID: 3476984 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/11
Jinai
TEHRAN (IQNA)- Wanaume wawili waliokuwa wametiwa hatiani kwa kukufuru, kuidhalilisha Qur’ani Tukufu, na kuutukana Uislamu, Mtume Muhammad (SAW), na matakatifu mengine ya Kiislamu wamenyongwa nchini Iran.
Habari ID: 3476980 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/09
Mawaidha
TEHRAN (IQNA) – Kwa kutumia aya za Qur’ani Tukufu, mwanachuoni wa Kiislamu anaeleza jinsi Nabii Ibrahim alivyomtambulisha Mwenyezi Mungu kwa watu wake.
Habari ID: 3476978 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/09
Qurani Tukufu
TEHRAN (IQNA) – Mohammed na Iman ni kaka na dada wa Kimisri ambao umahiri wao katika usomaji wa Ibtihal umewapatia umaarufu nchini humo.
Habari ID: 3476977 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/08
Shakhsia katika Qur'ani Tukufu /40
TEHRAN (IQNA) – Watu wana maswali mengi kuhusu maisha baada ya kifo, ambayo baadhi yake hayajajibiwa.
Habari ID: 3476976 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/08
Mawaidha
TEHRAN (IQNA) – Binadamu mara nyingi hufanya mambo mabaya katika maisha yao, ambayo yanaweza kuwa na matokeo ya kudumu katika maisha yao ya dunia na akhera.
Habari ID: 3476975 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/08
Ayatullah Jafar Sobhani
TEHRAN (IQNA) – Jamii ya wanadamu leo ina kiu ya mafundisho ya Mwenyezi Mungu ya Qur’ani Tukufu zaidi kuliko hapo awali, mwanazuoni mwandamizi wa Kiislamu nchini Iran amebaini.
Habari ID: 3476970 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/07