Qari wa Qur'ani
IQNA - Wawakilishi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Mashindano ya Tisa ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Uturuki walishika nafasi za pili katika kategoria zao.
Habari ID: 3479675 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/31
IQNA – Maandalizi ya Mashindano ya 43 ya kitaifa ya Qur'ani, Etrat na Swala ya wanafunzi wa shule za Iran yameshika kasi kwa kuzinduliwa kwa mchakato wa usajili.
Habari ID: 3479665 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/29
IQNA - Hatua ya awali ya mashindano ya uteuzi wa wawakilishi wa Misri katika toleo lijalo la mashindano ya kimataifa ya Qur'ani ya Port Said yamalizika.
Habari ID: 3479649 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/26
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Iran itashiriki katika mashindano yajayo ya kimataifa ya Qur'ani katika mji mkuu wa Urusi (Russia).
Habari ID: 3479626 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/21
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Toleo la kwanza la Mashindano ya Qur'ani Tukufu na Sunnah kwa nchi Afrika Magharibi yalimalizika nchini Mauritania kwa kufanyika sherehe ambapo washindi walitajwa na kutunukiwa zawadi.
Habari ID: 3479622 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/20
IQNA - Mashindano ya 22 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Moscow yatafanyika katika mji mkuu wa Russia mwezi ujao.
Habari ID: 3479617 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/19
Mashindano ya Qur'ani na Sunna
IQNA - Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani na Sunnah kwa nchi za Afrika Magharibi yalianza Jumanne na nchini Mauritania.
Habari ID: 3479603 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/17
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Mauritania imeratibiwa kuandaa mashindano ya Qur'ani kwa nchi za Afrika Magharibi kuanzia Jumanne.
Habari ID: 3479594 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/14
IQNA - Hamid Majidimehr ameteuliwa kuwa mkuu wa kamati ya maandalizi ya toleo la 41 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran.
Habari ID: 3479593 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/14
IQNA - Ukumbi wa Kituo cha Biashara Cha Dunia huko Kuala Lumpur kilikuwa mwenyeji wa sherehe za kufunga Mashindano ya 64 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Malaysia Jumamosi usiku, Oktoba 12, 2024.
Habari ID: 3479589 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/13
Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Mashidano ya 64 Kimataifa ya Kuhifadhi na Kusoma Qur'ani ya Malaysia yamemalizika Jumamosi huku washindi wakitunukiwa zawadi.
Habari ID: 3479583 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/13
Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Vigezo vinavyotumiwa na majaji katika mashindano ya kimataifa ya Qur'ani ya Malaysia vimeimarika mwaka huu, afisa mmoja alisema.
Habari ID: 3479581 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/12
IQNA - Siku ya sita ya Mashindano ya Kimataifa la Kuhifadhi na Kusoma Qur'ani Malaysia (MTHQA) yameendelea tarehe 10 Oktoba 2024, huku makumi ya washindani wakipanda jukwani.
Habari ID: 3479578 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/12
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Mfalme na Malkia wa Malaysia wameandaa hafla ya chai ili kuwaenzi washiriki na majaji wa Mkutano wa 64 wa Kimataifa wa Kuhifadhi na Kusoma Qur'ani ya Malaysia (MTHQA).
Habari ID: 3479568 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/10
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Qari wa Iran Hamid Reza Nasiri amewasili katika mji mkuu wa Malaysia wa Kuala Lumpur kushiriki katika mashindano ya kimataifa ya Qur'ani ya nchi hiyo ya Kusini Mashariki mwa Asia.
Habari ID: 3479565 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/09
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Siku ya tatu ya mashindano ya 64 ya kimataifa ya Qur'ani ya Malaysia ilishuhudia washindani tisa katika kitengo cha qiraa wakipanda jukwani katika ukumbi wa Kituo cha Biashara Duniani jijini Kuala Lumpur siku ya Jumatatu.
Habari ID: 3479561 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/08
Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Mashindano ya 64 wa Kimataifa wa Kusoma na Kuhifadhi Qur'ani wa Malaysia yalifunguliwa rasmi Jumamosi, ambapo yana washiriki 92 kutoka nchi 71.
Habari ID: 3479548 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/06
IQNA - Toleo la 64 la Mashindano ya Kimataifa ya Kuhifadhi na Kusoma Qur'ani nchini Malaysia (MTHQA) lilifunguliwa rasmi Kuala Lumpur mnamo Oktoba 5, 2024.
Habari ID: 3479544 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/06
Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Toleo la 64 la Mashindano ya Kimataifa la Kuhifadhi na Kusoma Qur’ani ya Malaysia (MTHQA) yamefunguliwa rasmi leo usiku huko Kuala Lumpur.
Habari ID: 3479540 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/05
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Washindi wa mashindano ya kimataifa ya Qur'ani nchini Zambia walitunukiwa katika sherehe mwishoni mwa juma.
Habari ID: 3479528 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/03