Mashindano ya Qur'ani na Sunna
IQNA - Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani na Sunnah kwa nchi za Afrika Magharibi yalianza Jumanne na nchini Mauritania.
Habari ID: 3479603 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/17
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Mauritania imeratibiwa kuandaa mashindano ya Qur'ani kwa nchi za Afrika Magharibi kuanzia Jumanne.
Habari ID: 3479594 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/14
IQNA - Hamid Majidimehr ameteuliwa kuwa mkuu wa kamati ya maandalizi ya toleo la 41 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran.
Habari ID: 3479593 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/14
IQNA - Ukumbi wa Kituo cha Biashara Cha Dunia huko Kuala Lumpur kilikuwa mwenyeji wa sherehe za kufunga Mashindano ya 64 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Malaysia Jumamosi usiku, Oktoba 12, 2024.
Habari ID: 3479589 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/13
Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Mashidano ya 64 Kimataifa ya Kuhifadhi na Kusoma Qur'ani ya Malaysia yamemalizika Jumamosi huku washindi wakitunukiwa zawadi.
Habari ID: 3479583 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/13
Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Vigezo vinavyotumiwa na majaji katika mashindano ya kimataifa ya Qur'ani ya Malaysia vimeimarika mwaka huu, afisa mmoja alisema.
Habari ID: 3479581 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/12
IQNA - Siku ya sita ya Mashindano ya Kimataifa la Kuhifadhi na Kusoma Qur'ani Malaysia (MTHQA) yameendelea tarehe 10 Oktoba 2024, huku makumi ya washindani wakipanda jukwani.
Habari ID: 3479578 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/12
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Mfalme na Malkia wa Malaysia wameandaa hafla ya chai ili kuwaenzi washiriki na majaji wa Mkutano wa 64 wa Kimataifa wa Kuhifadhi na Kusoma Qur'ani ya Malaysia (MTHQA).
Habari ID: 3479568 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/10
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Qari wa Iran Hamid Reza Nasiri amewasili katika mji mkuu wa Malaysia wa Kuala Lumpur kushiriki katika mashindano ya kimataifa ya Qur'ani ya nchi hiyo ya Kusini Mashariki mwa Asia.
Habari ID: 3479565 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/09
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Siku ya tatu ya mashindano ya 64 ya kimataifa ya Qur'ani ya Malaysia ilishuhudia washindani tisa katika kitengo cha qiraa wakipanda jukwani katika ukumbi wa Kituo cha Biashara Duniani jijini Kuala Lumpur siku ya Jumatatu.
Habari ID: 3479561 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/08
Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Mashindano ya 64 wa Kimataifa wa Kusoma na Kuhifadhi Qur'ani wa Malaysia yalifunguliwa rasmi Jumamosi, ambapo yana washiriki 92 kutoka nchi 71.
Habari ID: 3479548 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/06
IQNA - Toleo la 64 la Mashindano ya Kimataifa ya Kuhifadhi na Kusoma Qur'ani nchini Malaysia (MTHQA) lilifunguliwa rasmi Kuala Lumpur mnamo Oktoba 5, 2024.
Habari ID: 3479544 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/06
Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Toleo la 64 la Mashindano ya Kimataifa la Kuhifadhi na Kusoma Qur’ani ya Malaysia (MTHQA) yamefunguliwa rasmi leo usiku huko Kuala Lumpur.
Habari ID: 3479540 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/05
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Washindi wa mashindano ya kimataifa ya Qur'ani nchini Zambia walitunukiwa katika sherehe mwishoni mwa juma.
Habari ID: 3479528 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/03
Mashindano ya Qur'ani
IQNA –Mashindano ya 5 ya Qur’ani ya Mohammed VI kwa ajili ya Maulamaa wa Kiafrika (wasomi) yamefungwa Fes, Morocco, kwa washindi kutangazwa.
Habari ID: 3479523 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/02
Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Toleo la 5 la Mashindano ya Mohammed VI ya Qur’ani kwa Maulamaa wa Kiafrika yalianza katika mji wa Fes nchini Morocco siku ya Ijumaa.
Habari ID: 3479510 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/29
IQNA - Iran ina washindani wawili katika mashindano ya kimataifa ya Qur'ani ya Croatia mwaka huu.
Habari ID: 3479498 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/27
IQNA - Toleo la 30 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Croatia yameanza katika mji mkuu, Zagreb, siku ya Alhamisi.
Habari ID: 3479497 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/27
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Maelezo ya mashindano yajayo ya kitaifa ya Qur'ani ya Saudi Arabia yalitolewa na Wizara ya Masuala ya Kiislamu, Dawah na Miongozo ya nchi hiyo.
Habari ID: 3479486 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/25
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Muda wa mwisho wa usajili wa Toleo la 31 la Mashindano ya Qur'ani na Etrat kwa Vkosi vya Basij vya Iran uliongezwa ambapo zaidi ya nusu milioni tayari wamejiandikisha kwa ajili ya tukio hilo.
Habari ID: 3479433 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/14