Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Mji wa kaskazini-magharibi wa Tabriz ni mwenyeji wa hatua ya mwisho ya Mashindano ya 47 ya Kitaifa ya Qur'ani ya Iran, yaliyoanza kwa sherehe Jumatatu asubuhi.
Habari ID: 3479849 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/03
IQNA - Wizara ya Wakfu ya Misri imesema mashindano ya kila mwaka ya kimataifa ya Qur'ani nchini humo yanalenga kuwaenzi wahifadhi Qur'ani na kuimarisha jukumu lao katika kukuza thamani za Qur'ani duniani.
Habari ID: 3479830 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/01
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Duru ya mwisho ya Mashindano ya 47 ya Kitaifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran itaanza katika mji wa kaskazini-magharibi wa Tabriz Jumatatu, Disemba 2.
Habari ID: 3479811 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/26
Qur'ani Tukufu
IQNA - Mashindano ya 32 ya Qur'ani Tukufu ya Sultan Qaboos yamefikia hatua yake ya mwisho, na awamu ya fainali imeanza tarehe 24 Novemba katika ukumbi wa mihadhara wa Msikiti Mkuu wa Sultan Qaboos huko Muscat, Oman.
Habari ID: 3479806 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/25
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Afisa mmoja wa Iran amesema mashindano ya kila mwaka ya kimataifa ya Qur'ani ya Iran yana idadi kubwa zaidi ya washiriki kati ya matukio ya kimataifa ya Qur'ani katika ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3479791 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/22
Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani
IQNA - Jumuiya ya Masuala ya Wakfu na Misaada Iran imetangaza waliofuzu katika Mashindano ya 47 ya Kitaifa ya Qur'ani nchini Iran.
Habari ID: 3479772 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/18
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - "Ipambeni Qur'ani kwa Sauti Zeni" itakuwa kauli mbiu ya Tuzo ya 8 ya Katara ya Kusoma Qur'ani Tukufu nchini Qatar.
Habari ID: 3479770 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/18
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Toleo la 39 la Mashindano ya Kuhifadhi Qur'ani katika Jimbo la Bauchi la Nigeria lilianza katika mji mkuu wa jimbo hilo siku ya Jumamosi.
Habari ID: 3479763 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/17
Harakati za Qur'ani
IQNA - Programu ya usomaji wa Qur'ani ilifanyika kwenye kaburi la Imam Kadhim (AS) huko Kadhimiya, kaskazini mwa Baghdad, Iraq Jumatano.
Habari ID: 3479754 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/15
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Sherehe za uzinduzi wa mashindano ya 13 ya kimataifa ya Qur'ani ya Kuwait zilifanyika katika mji wa Kuwait Jumatano jioni. Waziri wa Masuala ya Kiislamu na Wakfu Mohammad Al-Wasmi, wajumbe wa jopo la majaji na washindani walihudhuria sherehe za ufunguzi.
Habari ID: 3479752 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/15
Mashindano
IQNA - Washindi wakuu wa kategoria za qiraa na hifdhi za toleo la kwanza la Tuzo la Kimataifa la Qur'ani la Iraq walitangazwa. Sherehe za kufunga zilifanyika Alhamisi asubuhi katika mji mkuu wa Iraq wa Baghdad.
Habari ID: 3479750 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/15
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Hatua ya mwisho ya Tuzo ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iraq ilifanyika Jumanne huko Baghdad.
Habari ID: 3479747 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/13
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Iran itakuwa na wawakilishi watatu katika toleo la 13 la mashindano ya kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Kuwait.
Habari ID: 3479746 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/13
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Ali Gholamazad ambaye anaiwakilisha Iran katika toleo la kwanza la Tuzo la Kimataifa la Qur'ani la Iraq amesema amefurahishwa na jinsi alivyofanya vyema katika shindano hilo.
Habari ID: 3479740 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/12
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Mashindano ya Qur'ani ya Bin Faqeeh yalianza Jumamosi katika Kituo cha Kiislamu cha Ahmed Al Fateh, na hivyo kuashiria hatua ya kwanza ya mashindano katika kitengo kipya cha Tafsiri ya Qur'ani kwa washiriki wa kiume.
Habari ID: 3479735 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/11
IQNA - Sherehe za kufunga Mashindano ya 22 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Moscow zilifanyika tarehe 8 Novemba 2024, katika Hoteli ya Cosmos katika mji mkuu wa Russia. Washiriki bora walitunukiwa katika hafla hiyo.
Habari ID: 3479732 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/11
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Toleo la kwanza la Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iraq, ambayo ni maarufu kama Tuzo ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iraq, yameanza Jumamosi huko Baghdad, kwa kushirikisha washindani, majaji, na maafisa wa Iraqi.
Habari ID: 3479730 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/10
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Maustadh wawili mashuhuri wa Qur'ani wa Misri ni miongoni mwa wajumbe wa jopo la majaji katika mashindano ya kwanza ya kimataifa ya Qur'ani nchini Iraq.
Habari ID: 3479728 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/10
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Mashindano ya 22 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Moscow yamekamilika katika hafla iliyofanyika katika mji mkuu wa Russia ambapo washindi wakuu walitunukiwa zawadi ambapo hafidh wa Qur'ani kutoka Libya ameshika nafasi ya kwanza.
Habari ID: 3479727 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/10
IQNA - Tuzo la 13 la Kimataifa la Qur'ani la Kuwait, linaloshirikisha mashindano ya kuhifadhi, qiraa na Tajweed, litafanyika kuanzia Novemba 13 hadi 20, 2024.
Habari ID: 3479723 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/09