iqna

IQNA

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - "Ipambeni Qur'ani kwa Sauti Zeni" itakuwa kauli mbiu ya Tuzo ya 8 ya Katara ya Kusoma Qur'ani Tukufu nchini Qatar.
Habari ID: 3479770    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/18

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Toleo la 39 la Mashindano ya Kuhifadhi Qur'ani katika Jimbo la Bauchi la Nigeria lilianza katika mji mkuu wa jimbo hilo siku ya Jumamosi.
Habari ID: 3479763    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/17

Harakati za Qur'ani
IQNA - Programu ya usomaji wa Qur'ani ilifanyika kwenye kaburi la Imam Kadhim (AS) huko Kadhimiya, kaskazini mwa Baghdad, Iraq Jumatano.
Habari ID: 3479754    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/15

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Sherehe za uzinduzi wa mashindano ya 13 ya kimataifa ya Qur'ani ya Kuwait zilifanyika katika mji wa Kuwait Jumatano jioni. Waziri wa Masuala ya Kiislamu na Wakfu Mohammad Al-Wasmi, wajumbe wa jopo la majaji na washindani walihudhuria sherehe za ufunguzi.
Habari ID: 3479752    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/15

Mashindano
IQNA - Washindi wakuu wa kategoria za qiraa na hifdhi  za toleo la kwanza la Tuzo la Kimataifa la Qur'ani la Iraq walitangazwa. Sherehe za kufunga zilifanyika Alhamisi asubuhi katika mji mkuu wa Iraq wa Baghdad.
Habari ID: 3479750    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/15

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Hatua ya mwisho ya Tuzo ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iraq ilifanyika Jumanne huko Baghdad.
Habari ID: 3479747    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/13

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Iran itakuwa na wawakilishi watatu katika toleo la 13 la mashindano ya kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Kuwait.
Habari ID: 3479746    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/13

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Ali Gholamazad ambaye anaiwakilisha Iran katika toleo la kwanza la Tuzo la Kimataifa la Qur'ani la Iraq amesema amefurahishwa na jinsi alivyofanya vyema katika shindano hilo.
Habari ID: 3479740    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/12

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Mashindano ya Qur'ani ya Bin Faqeeh yalianza Jumamosi katika Kituo cha Kiislamu cha Ahmed Al Fateh, na hivyo kuashiria hatua ya kwanza ya mashindano katika kitengo kipya cha Tafsiri ya Qur'ani kwa washiriki wa kiume.
Habari ID: 3479735    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/11

IQNA - Sherehe za kufunga Mashindano ya 22 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Moscow zilifanyika tarehe 8 Novemba 2024, katika Hoteli ya Cosmos katika mji mkuu wa Russia. Washiriki bora walitunukiwa katika hafla hiyo.
Habari ID: 3479732    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/11

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Toleo la kwanza la Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iraq, ambayo ni maarufu kama Tuzo ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iraq, yameanza Jumamosi huko Baghdad, kwa kushirikisha washindani, majaji, na maafisa wa Iraqi.
Habari ID: 3479730    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/10

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Maustadh wawili mashuhuri wa Qur'ani wa Misri ni miongoni mwa wajumbe wa jopo la majaji katika mashindano ya kwanza ya kimataifa ya Qur'ani nchini Iraq.
Habari ID: 3479728    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/10

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Mashindano ya 22 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Moscow yamekamilika katika hafla iliyofanyika katika mji mkuu wa Russia ambapo washindi wakuu walitunukiwa zawadi ambapo hafidh wa  Qur'ani kutoka Libya ameshika nafasi ya kwanza.
Habari ID: 3479727    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/10

IQNA - Tuzo la 13 la Kimataifa la Qur'ani la Kuwait, linaloshirikisha mashindano ya kuhifadhi, qiraa na Tajweed, litafanyika kuanzia Novemba 13 hadi 20, 2024.
Habari ID: 3479723    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/09

Qurani
IQNA - Kuna wanaharakati wanne wa Qur'ani wa Iran wanaohudhuria mashindano ya kimataifa ya Qur'ani ya Iraq yaliyoanza mjini Baghdad siku ya Jumamosi.
Habari ID: 3479722    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/09

Qiraa
IQNA - Qari wa Misri Ahmed al-Sayyid al-Qaytani alishika nafasi ya kwanza katika kategoria ya qiraa au usomaji Katika Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani nchini Uingereza wiki iliyopita.
Habari ID: 3479717    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/08

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Jumla ya washiriki 31 kutoka nchi kadhaa wamepangwa kushiriki katika mashindano ya kimataifa ya Qur’ani ya Iraq yanayojuikana Tuzo ya Kwanza ya  Kimataifa ya Qur'ani la Iraq.
Habari ID: 3479716    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/08

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Sherehe imefanyika nchini Uingereza kutangaza na kuwatunuku washindi wa mashindano ya kimataifa ya Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3479711    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/06

IQNA - Mchakato wa kutathmini washiriki wa hatua ya awali ya Mashindano ya 47 ya Kitaifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran umeanza leo  Jumanne, Novemba 5
Habari ID: 3479707    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/05

Harakati za Qur'ani
IQNA - Seyed Parsa Angoshtan, qari wa Iran aliyeshika nafasi ya pili katika mashindano ya 9 ya kimataifa ya Qur'ani Uturuki mapema wiki hii amezungumza kuhusu hayo nay ale yanayofanyika nchini Iran.
Habari ID: 3479688    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/02