Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Haram Tukufu ya Hadhrat Al-Abbas (AS) huko Karbala, Iraq, imetangaza rasmi mchakato wa usajili wa toleo la pili la Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani yajulikanayo kama Tuzo ya Kimataifa ya Al-Ameed ya Kusoma Qur’ani.
Habari ID: 3479944 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/23
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Mji mkuu wa Nepal wa Kathmandu ni mwenyeji wa toleo la pili la mashindano ya kitaifa ya kuhifadhi Qur'ani.
Habari ID: 3479942 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/23
Qur'ani Katika Maisha
IQNA – Mwanafunzi mwenye umri wa miaka 15 anasema kuhifadhi Quran Tukufu kumemsaidia kupata mafanikio zaidi shuleni.
Habari ID: 3479941 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/23
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Mtaalamu na mwanaharakati wa Qur'ani wa Iran amepongeza maandalizi ya kitaalamu ya Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani Tukufu ya nchi hiyo.
Habari ID: 3479932 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/21
Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Seyed Jassem Mousavi alishinda zawadi ya juu zaidi ya kategoria ya qiraa katika Mashindano ya 47 ya Kitaifa ya Qur'ani ya Iran huko Tabriz siku ya Alhamisi.
Habari ID: 3479928 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/20
Harakati za Qur'ani
IQNA - Sekretarieti ya Idara ya Wakfu ya Kuwait imetangaza majina ya washindi wa Mashindano ya 27 ya Kitaifa ya Kuhifadhi na Kusoma Qur'ani nchini humo
Habari ID: 3479927 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/20
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Mkuu wa Shirika la Wakfu na Misaada Iran amesema njia ya kuelewa ukamilifu na wokovu inapitia katika Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3479922 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/19
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Baada ya shughuli za miezi kadhaa, Mashindano ya 47 ya Kitaifa ya Qur'ani ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yalifikia tamati katika hafla ya Alhamisi asubuhi.
Habari ID: 3479921 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/19
Harakati za Qur'ani
IQNA – Qari wa ngazi za juu wa kike wa Qur’ani nchini Iran amesema mazingira ya kuunga mkono na ya kutia moyo yanayotolewa na wazazi yana jukumu muhimu katika kukuza talanta za Qur’ani kwa watoto.
Habari ID: 3479918 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/18
Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani
IQNA – Kuna ushindani mkubwa katika fainali ya Mashindano ya 47 ya Kitaifa ya Qur'ani ya Iran na hivyo ni vigumu kutabiri washindi, mshindani mmoja alisema.
Habari ID: 3479909 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/16
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Mshindi Qiraa ya Qur’ani katika kategoria ya wanawake katika Mashindano ya 47 ya Kitaifa ya Qur'ani ya Iran amesema yeye hufanya mazoezi ya qiraa na kusoma tafsir kila usiku pamoja na familia yake.
Habari ID: 3479904 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/15
Harakati za Qur'ani
IQNA - Msomaji wa Qur'ani wa kike wa Iran anasema kuelewa na kutekeleza mafundisho ya Qur'ani ndio ufunguo wa kuepuka dhambi.
Habari ID: 3479895 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/14
Mashindano ya Qur'ani Misri
IQNA - Washindi wa Mashindano ya 31 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Misri wametangazwa rasmi katika hafla iliyofanyika jioni ya tarehe 10 Disemba.
Habari ID: 3479891 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/11
Harakati za Qur'ani
IQNA – Binti Muirani aliyehifadhi Qur'ani Tukufu kikamilifu amesema kwamba katika kujifunza Quran kwa moyo, talanta au kipaji ni muhimu lakini muhimu zaidi ni uvumilivu na ustahamilivu.
Habari ID: 3479890 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/10
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Mashindano ya 47 ya Kitaifa ya Qur'ani nchini Iran yalihitimisha sehemu zake za wanawake na wasichana chini ya umri wa miaka 18 kwa sherehe huko Tabriz, zilizofanyika kuanzia tarehe 2 hadi 9 Disemba.
Habari ID: 3479883 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/09
Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Mhifadhi wa Qur'ani wa kike amesema Qur'ani imemjengea subira na ustahimilivu katika kukabiliana na changamoto mbalimbali.
Habari ID: 3479877 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/08
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Mashindano ya 31 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Misri yameanza jana kwa usomaji wa aya za Qur'ani na Sheikh Ahmed Nuaina katika Masjid Misr katika Mji Mkuu Mpya wa Utawala wa Misri.
Habari ID: 3479876 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/08
Qur'ani Katika Maisha
IQNA – Mwanamke Muirani aliyehifadhi Qur'ani Tukufu amesema mtu ambaye amekumbatia uzuri wa Qur'ani Tukufu hawezi kuvumilia kutengwa nayo.
Habari ID: 3479872 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/07
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Mashindano ya Qur'ani ya Sheikh Jassim ya Qatar yamefungwa Jumatano na washindi wakuu wakipokea zawadi kwa mafanikio yao.
Habari ID: 3479866 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/06
IQNA - Qari wa Iran anayetambulika kimataifa Saeed Parvizi alisoma aya za Qur'ani wakati wa hafla ya ufunguzi wa Mashindano ya 47 ya Kitaifa ya Qur'ani ya Iran.
Habari ID: 3479851 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/03