IQNA – Majina ya washiriki waliofanikiwa kufuzu katika kipengele cha vijana (chini ya umri wa miaka 16) katika toleo la tatu la Mashindano ya Tuzo ya Kimataifa ya Usomaji wa Qur'ani ya Al‑Ameed nchini Iraq yametangazwa.
Habari ID: 3481938 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/15
IQNA – Toleo la 9 la Tuzo ya Katara ya Usomaji wa Qurani Tukufu limeingia rasmi katika hatua ya fainali, baada ya washiriki 100 kufuzu kushiriki duru ya mwisho ya mashindano hayo ya kimataifa.
Habari ID: 3481909 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/09
IQNA – Omar Ali Awad ametangazwa na kutunukiwa tuzo ya “Tawi la Dhahabu” katika shindano la vipaji vya Qur’ani lijulikanalo kama “Dawlet El Telawa (Hali ya Usomaji)” nchini Misri.
Habari ID: 3481903 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/08
IQNA – Qari au Msomaji mahiri wa Qur'ani Tukufu kutoka Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Mohsen Qassemi, ameibuka mshindi wa kwanza katika toleo la tatu la Tuzo ya Kimataifa ya Usomaji wa Qur'ani ya Al-Ameed, lililofanyika nchini Iraq.
Habari ID: 3481902 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/08
IQNA – Mashindano ya 13 ya kitaifa ya kuhifadhi na kusoma Qur’ani nchini Mauritania yameanza rasmi siku ya Jumamosi katika mji mkuu, Nouakchott.
Habari ID: 3481880 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/01
IQNA – Toleo la 9 la Mashindano ya Kimataifa ya kuhifadhi Qur'ani Tukufu na Ibtihal ya Port Said lilianza rasmi Ijumaa katika mji wa bandari wa Port Said, Misri.
Habari ID: 3481875 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/31
IQNA-Lebanon inajiandaa kuwa mwenyeji wa Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani yanayojulikana kama “Al‑Sadiq Al‑Amin,” yatakayofanyika Beirut katika siku za kuelekea mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3481854 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/27
IQNA – Msimamizi mkuu wa mashindano ya vipaji vya Qur’ani nchini Misri, maarufu kwa jina “Dawlat al-Tilawa”, ametangaza kuwa msimu mpya wa kipindi hicho kitaanza rasmi Novemba 2026.
Habari ID: 3481784 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/08
IQNA – Televisheni ya Thaqalayn Satellite imetangaza mpango wa kuandaa mashindano ya tatu ya kimataifa ya Qur’ani yanayojulikana kama “Wa Rattil” katika mwezi mtukufu wa Ramadhani mwaka huu.
Habari ID: 3481774 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/06
IQNA – Reza Safdari, qari mashuhuri kutoka mkoa wa Sistan na Baluchestan, kusini mashariki mwa Iran, amejiunga na kundi la wanaofuzu kuingia fainali za mashindano ya kimataifa ya Qur’ani yanayofanyika nchini Qatar.
Habari ID: 3481768 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/05
IQNA – Kipindi cha 13 cha shindano la vipaji vya Qur’ani Tukufu nchini Misri maarufu Dawlat al-Tilawa kilirushwa hewani wiki hii, kikiashiria kuanza kwa hatua ya mwisho ya mashindano.
Habari ID: 3481730 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/28
IQNA-Mashindano ya 27 ya kitaifa ya kuhifadhi Qur’ani Tukufu yameanza nchini Saudi Arabia.
Habari ID: 3481693 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/21
IQNA-Wawakilishi wa Iran walikuwa miongoni mwa washindi wakuu katika mashindano ya nne ya kimataifa ya Qur’ani Tukufu yaliyofanyika Bangladesh.
Habari ID: 3481690 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/21
Mashindano haya yatafanyika katika kipengele cha kuhifadhi Qur’an kwa wanafunzi wa kiume na wa kike kutoka vituo vya mafunzo ya kuhifadhi Qur’an kote Misri.
Habari ID: 3481685 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/20
IQNA – Mashindano ya kwanza ya kitaifa ya kuhifadhi Qur’an yenye kauli mbiu “Fa Istamasik: Shikamana na Qur’an” yameanza rasmi nchini Oman.
Habari ID: 3481682 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/19
IQNA – Mashindano ya 9 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu kwa Wanafunzi wa Shule kutoka ulimwengu wa Kiislamu yanatarajiwa kufanyika nchini Iran mwanzoni mwa mwaka ujao.
Habari ID: 3481676 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/18
IQNA – Mehdi Barandeh, mmoja wa wawakilishi wa Iran katika mashindano yajayo ya kimataifa ya Qur’ani nchini Bangladesh, anatarajiwa kuondoka kuelekea nchi hiyo ya Asia Kusini mwishoni mwa wiki hii.
Habari ID: 3481666 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/16
IQNA – Kampuni ya TK Group, mojawapo ya makampuni makubwa nchini Bangladesh, imetangaza mipango ya kuandaa msimu wa pili wa mashindano ya usomaji wa Qur’ani katika mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3481662 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/15
IQNA – Katika mashindano ya kwanza ya kimataifa ya kuhifadhi Qur’ani kwa vipofu nchini Indonesia, nakalah 300 za Qur’ani ya kidijitali kwa mfumo wa nukta nundu (Braille) zilisambazwa kwa washiriki wenye uoni hafifu au ulemavu wa macho.
Habari ID: 3481643 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/10
IQNA – Baraza Kuu la Masuala ya Kiislamu la Misri limeandaa maonyesho maalumu sambamba na Mashindano ya 32 ya Kimataifa ya Qur’ani yanayofanyika nchini humo.
Habari ID: 3481642 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/10