IQNA – Aiman Ridhwan Bin Mohammad Ramlan kutoka Malaysia ameibuka mshindi wa kwanza katika Mashindano ya Kwanza ya Kimataifa ya Qira’at yaliyofanyika mjini Islamabad, Pakistan.
Habari ID: 3481600 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/01
IQNA-Spika wa Bunge la Taifa la Pakistan, Sardar Ayaz Sadiq, amesema mashindano ya kimataifa ya usomaji Qur’ani Tukufu yanayoendelea mjini Islamabad ni alama ya umoja wa Waislamu duniani.
Habari ID: 3481580 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/28
IQNA – Washindi wa Mashindano ya 30 ya Qur’ani Tukufu ya Sheikh Jassim bin Muhammad bin Thani nchini Qatar wametangazwa katika hafla maalum iliyofanyika Jumanne jijini Doha.
Habari ID: 3481574 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/27
IQNA – Mwakilishi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika mashindano ya kwanza ya kimataifa ya Qur’ani nchini Pakistan amesema anatarajia ushindani mkali katika mashindano hayo.
Habari ID: 3481571 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/26
IQNA – Televisheni ya Al-Kawthar imeanza maandalizi ya kuandaa toleo jipya la mashindano yake ya Qur’ani Tukufu yanayorushwa moja kwa moja yanayo julikana kama , “Inna lil-Muttaqeena Mafaza” (Hakika wachamungu watapata mafanikio).
Habari ID: 3481570 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/26
IQNA-Hatua ya mwisho ya Mashindano ya Qur’an ya Sheikh Jassim bin Mohammed bin Thani, toleo la 30, inaendelea mjini Doha, Qatar ikihusisha mashindano ya wazi kwa wahifadhi kamili na sehemu.
Habari ID: 3481558 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/23
IQNA – Jumuiya ya Kimataifa ya Wahitimu wa Al-Azhar imeandaa mashindano ya usomaji wa Qur’an ya “Sauti Njema” nchini Misri, tukio lililopokelewa kwa furaha na wanafunzi wa Al-Azhar kutoka mataifa mbalimbali.
Habari ID: 3481544 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/20
IQNA – Mwenyekiti, katibu na wajumbe wa kamati tendaji ya Mashindano ya 7 ya Kimataifa ya Qur’an kwa Wanafunzi Waislamu wametambulishwa rasmi.
Habari ID: 3481513 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/14
IQNA – Mashindano ya kuhifadhi Qur’ani kwa wanafunzi wa shule yameanza mjini Zliten, Libya, Jumanne, tarehe 11 Novemba.
Habari ID: 3481510 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/13
IQNA – Mashindano ya kwanza ya kitaifa ya Qur’ani kwa watu wenye ulemavu wa macho nchini Kuwait yamefanyika kwa juhudi za Taasis ya Mutamayizin kwa Huduma ya Qur’ani.
Habari ID: 3481507 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/13
IQNA – Taasisi ya Utamaduni ya Katara nchini Qatar imetangaza kuwa toleo la 9 la Tuzo ya Usomaji wa Qur’ani Tukufu ya Katara, litakalofanyika kwa kauli mbiu “Pamba Qur’ani kwa Sauti Zenu”, limepokea jumla ya maombi 1,266.
Habari ID: 3481500 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/11
IQNA – Awamu ya kwanza ya mashindano ya Qur’ani Tukufu ya Sheikh Jassim bin Muhammad bin Thani imeanza rasmi nchini Qatar, kwa mujibu wa taarifa ya Wizara ya Awqaf na Mambo ya Kiislamu.
Habari ID: 3481494 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/10
IQNA-Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri kimezindua awamu ya kwanza ya mashindano ya kila mwaka ya kuhifadhi Qur'ani Tukufu, maarufu kama Mashindano ya Sheikh Al-Azhar. Zaidi ya washiriki 150,000 wa kiume na wa kike kutoka mikoa mbalimbali ya Misri wanashiriki katika awamu hii ya mwanzo.
Habari ID: 3481476 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/06
IQNA – Amirhossein Landarani, kijana mchanga wa Iran anayesoma na kuhifadhi Qur'an, ambaye hivi karibuni alishinda nafasi ya kwanza katika kipengele cha usomaji wa mashindano ya 48 ya Kitaifa ya Qur'an nchini Iran, amesema mafanikio hayo ni miongoni mwa matukio yenye maana kubwa maishani mwake.
Habari ID: 3481473 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/05
IQNA – Mitihani ya awali imeanza rasmi kwa washiriki wa kimataifa wanaojiandaa kushiriki katika Mashindano ya 32 ya Kimataifa ya Qur’ani, yanayoandaliwa na Wizara ya Awqaf ya Misri, yaliyopangwa kufanyika mwezi Disemba 2025.
Habari ID: 3481449 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/02
IQNA – Mashindano makubwa ya Qurani yatakayoshirikisha washiriki kutoka ndani na nje ya nchi huko Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) yataanza rasmi tarehe 1 Novemba.
Habari ID: 3481437 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/29
IQNA – Kamati ya maandalizi ya Mashindano ya 48 ya Kitaifa ya Qur’ani Tukufu nchini Iran imetangaza rasmi majina ya washindi wa tukio hilo mashuhuri la Kiqur’ani.
Habari ID: 3481429 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/28
IQNA – Kwa wastani, zaidi ya watu 5,000 kutoka mkoa wa Kordestan nchini Iran huhudhuria mashindano ya kitaifa ya Qur'an kila siku, kwa mujibu wa afisa mmoja.
Habari ID: 3481425 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/27
IQNA – Hafla ya kukabidhi zawadi kwa washindi wa toleo la 12 la mashindano ya kitaifa ya kuhifadhi na kusoma Qur'ani Tukufu nchini Mauritania imefanyika katika mji mkuu wa taifa hilo.
Habari ID: 3481423 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/27
IQNA – Kamati Kuu ya Maandalizi ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'an ya Port Said nchini Misri imetangaza kufunguliwa kwa usajili wa washiriki wa kimataifa kwa ajili ya toleo la tisa la mashindano hayo, litakalofanyika kwa heshima ya Qari maarufu Sheikh Mahmoud Ali Al-Banna.
Habari ID: 3481421 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/26