IQNA – Watu wawili kutoka Morocco wamepata nafasi za juu katika Mashindano ya 8 ya Katara ya Usomaji wa Qur'ani, yaliyofanyika nchini Qatar
Habari ID: 3480466 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/29
IQNA- Mashindano ya 32 ya Kimataifa ya Kuhifadhi Qur'an nchini Jordan yamefikia tamati kwa kutangaza washindwa na kutunukukiwa zawadi waliofika nafasi za juu.
Habari ID: 3480465 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/29
IQNA – Mashindano ya Qur'ani kwa watoto yamefanyika Charlotte, jimbo la North Carolina, Marekani katika Mwezi Mtukufu Ramadhani.
Habari ID: 3480440 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/26
IQNA – Hossein Khani Bidgoli kutoka Iran amesema alikuwa na furaha na jinsi alivyofanya katika Mashindano ya 32 ya kimataifa ya Qur'ani ya Jordan.
Habari ID: 3480420 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/23
IQNA – Mashindano ya Qur'ani nchini Tanzania hivi karibuni yalimalizika katika hafla mbili, moja kwa wanaume na nyingine kwa wanawake, ambapo washindi wa juu katika makundi tofauti walitunukiwa zawadi.
Habari ID: 3480390 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/17
IQNA – Washindi wakuu wa Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani Tukufu nchini Somalia wametunukiwa zawadi katika hafla iliyohudhuriwa na Rais Hassan Sheikh Mohamud.
Habari ID: 3480377 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/15
IQNA – Washindi wa Tuzo ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Emirates wamehimizwa kuishi kwa kufuata maadili ya Qur’ani na kuwa vielelezo bora katika jamii zao.
Habari ID: 3480335 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/09
IQNA – Televisheni ya satelaiti ya Al-Thaqalayn imezindua toleo la pili la mashindano ya usomaji wa Qur’ani Tukufu kwa Tarteel kuadhimisha mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3480327 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/08
IQNA – Toleo la pili la Tamasha la Usomaji Qur'ani wa Kuiga nchini Iran lilihitimishwa kwa hafla ambapo washindi walitangazwa na kutunukiwa zawadi
Habari ID: 3480267 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/25
IQNA – Washindi wa Mashindano ya 33 ya Kimataifa ya Tuzo ya Qur'ani Tukufu Tanzania walitangazwa wakati wa hafla ya kufunga mashindano hayo jijini Dar es Salaam.
Habari ID: 3480263 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/24
IQNA – Televisheni ya satelaiti ya Al-Thaqalayn itafanya toleo la pili la mashindano ya usomaji wa Tarteel wa Qur’ani Tukufu katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3480258 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/23
IQNA – Mashindano ya 33 ya Kimataifa ya Quran nchini Tanzania yalianza jana katika taifa hilo la Afrika Mashariki, yakiwa na washiriki kutoka nchi 25.
Habari ID: 3480248 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/21
IQNA – Mashindano ya 7 ya Kimataifa ya Qur'ani kwa Wanafunzi wa Kiislamu yako tayari kuanza, na maandalizi yanaendelea kwa ajili ya tukio hili maarufu.
Habari ID: 3480245 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/20
IQNA – Toleo la pili la Tamasha la Usomaji Qur'ani wa Kuiga sauti za maqari mashuhurilinatarajiwa kufanyika katika mji wa Qazvin, Iran, kuanzia Februari 22 hadi 25, likiwakutanisha maqari 50 vijana kutoka sehemu mbalimbali za nchi.
Habari ID: 3480237 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/18
IQNA – Mashindano ya Qur'ani kwa wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Al-Azhar cha Misri yatafanyika mwezi ujao.
Habari ID: 3480095 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/22
Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Raundi ya mwisho ya mashindano ya 20 ya kimataifa ya Qur'ani ya Algeria yameanza katika sherehe katika mji mkuu Algiers siku ya Jumanne.
Habari ID: 3480093 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/22
Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Mashindano ya kwanza ya Qur'ani kwa vyuo vikuu na vituo vya elimu vya Iraq yamezinduliwa na Idara ya Mfawidhi wa kaburi takatifu la Hadhrat Abbas (AS).
Habari ID: 3480084 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/20
Mashindano ya Qur'ani ya Iran
IQNA – Toleo la 41 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran litaingia katika hatua ya mwisho mwezi huu.
Habari ID: 3480049 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/13
Mashindano ya Qur'ani Tukufu
IQNA – Kituo cha Televisheni cha Al-Kawthar kimetoa mwaliko wa kushiriki katika toleo la 18 la mashindano yake ya Qur'ani kwa njia ya televisheni yaliyopangwa kufanyika katika mwezi wa Ramadhani 2025.
Habari ID: 3480048 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/13
Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Mashindano ya kuhifadhi sura fupi za Qur'ani Tukufu kwa watoto wadogo yalihitimishwa kwa hafla ya kufunga nchini Tanzania.
Habari ID: 3480047 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/13