iqna

IQNA

IQNA-Wawakilishi wawili wa Iran katika mashindano ya 13 ya kimataifa ya Qur’an yaliyoendeshwa Libya walishiriki vikao vya mzunguko wa awali kupitia mtandao.
Habari ID: 3480595    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/26

IQNA – Washindi wa mashindano ya tuzo za Qur’ani nchini Kuwait walitunukiwa zawadi katika sherehe iliyofanyika katika mji mkuu wa nchi hiyo siku ya Jumanne.
Habari ID: 3480585    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/23

IQNA – Kamati ya maandalizi ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Lebanon yanayojulikana kama "Dhikr lil-Alamin" imetangaza washindi wa kitengo cha qiraa.
Habari ID: 3480573    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/21

IQNA – Mchujo wa awali wa mashindano makubwa zaidi ya kimataifa ya kuhifadhi Qur'ani Tukufu katika ukanda wa Balkan umekamilika huko Bosnia na Herzegovina.
Habari ID: 3480569    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/20

IQNA – Kadri maandalizi ya Mashindano ya 7 ya Kimataifa ya Qur'ani kwa Wanafunzi Waislamu yanavyoendelea, tarehe ya mwisho kwa washiriki wa sehemu ya Teknolojia na Ubunifu Kuhusu Qur’ani inakaribia.
Habari ID: 3480534    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/13

IQNA – Toleo la pili la Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya "Wa Rattil," yaliyoandaliwa  na Thaqalayn TV, limehitimishwa mwishoni mwa mwezi mtukufu wa Ramadhani, likiwashirikisha washiriki kutoka mataifa mbalimbali wakiwania nafasi za juu. 
Habari ID: 3480485    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/02

IQNA – Watu wawili kutoka Morocco wamepata nafasi za juu katika Mashindano ya 8 ya Katara ya Usomaji wa Qur'ani, yaliyofanyika nchini Qatar
Habari ID: 3480466    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/29

IQNA- Mashindano ya 32 ya Kimataifa ya Kuhifadhi Qur'an nchini Jordan yamefikia tamati kwa kutangaza washindwa na kutunukukiwa zawadi waliofika nafasi za juu.
Habari ID: 3480465    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/29

IQNA – Mashindano ya Qur'ani kwa watoto yamefanyika Charlotte, jimbo la North Carolina, Marekani katika Mwezi Mtukufu  Ramadhani. 
Habari ID: 3480440    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/26

IQNA – Hossein Khani Bidgoli kutoka Iran amesema alikuwa na furaha na jinsi alivyofanya katika Mashindano ya 32 ya kimataifa ya Qur'ani ya Jordan.
Habari ID: 3480420    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/23

IQNA – Mashindano ya Qur'ani nchini Tanzania hivi karibuni yalimalizika katika hafla mbili, moja kwa wanaume na nyingine kwa wanawake, ambapo washindi wa juu katika makundi tofauti walitunukiwa zawadi. 
Habari ID: 3480390    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/17

IQNA – Washindi wakuu wa Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani Tukufu nchini Somalia wametunukiwa zawadi katika hafla iliyohudhuriwa na Rais Hassan Sheikh Mohamud.
Habari ID: 3480377    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/15

IQNA – Washindi wa Tuzo ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Emirates wamehimizwa kuishi kwa kufuata maadili ya Qur’ani na kuwa vielelezo bora katika jamii zao.
Habari ID: 3480335    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/09

IQNA – Televisheni ya satelaiti ya Al-Thaqalayn imezindua toleo la pili la mashindano ya usomaji wa Qur’ani Tukufu kwa Tarteel kuadhimisha mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3480327    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/08

IQNA – Toleo la pili la Tamasha la Usomaji  Qur'ani wa Kuiga nchini  Iran lilihitimishwa kwa hafla ambapo washindi walitangazwa na kutunukiwa zawadi
Habari ID: 3480267    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/25

IQNA – Washindi wa Mashindano ya 33 ya Kimataifa ya Tuzo ya Qur'ani Tukufu Tanzania walitangazwa wakati wa hafla ya kufunga mashindano hayo jijini Dar es Salaam.
Habari ID: 3480263    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/24

IQNA – Televisheni ya satelaiti ya Al-Thaqalayn itafanya toleo la pili la mashindano ya usomaji wa Tarteel wa Qur’ani Tukufu katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3480258    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/23

IQNA – Mashindano ya 33 ya Kimataifa ya Quran nchini Tanzania yalianza jana katika taifa hilo la Afrika Mashariki, yakiwa na washiriki kutoka nchi 25.
Habari ID: 3480248    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/21

IQNA – Mashindano ya 7 ya Kimataifa ya Qur'ani kwa Wanafunzi wa Kiislamu yako tayari kuanza, na maandalizi yanaendelea kwa ajili ya tukio hili maarufu.
Habari ID: 3480245    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/20

IQNA – Toleo la pili la Tamasha la Usomaji Qur'ani wa Kuiga sauti za maqari mashuhurilinatarajiwa kufanyika katika mji wa Qazvin, Iran, kuanzia Februari 22 hadi 25, likiwakutanisha maqari  50 vijana kutoka sehemu mbalimbali za nchi.
Habari ID: 3480237    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/18