iqna

IQNA

Mashindano ya Qur'ani Misri
IQNA - Washindi wa Mashindano ya 31 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Misri wametangazwa rasmi katika hafla iliyofanyika jioni ya tarehe 10 Disemba.
Habari ID: 3479891    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/11

Harakati za Qur'ani
IQNA – Binti Muirani aliyehifadhi Qur'ani Tukufu kikamilifu amesema kwamba katika kujifunza Quran kwa moyo, talanta au kipaji  ni muhimu lakini muhimu zaidi ni uvumilivu na ustahamilivu.
Habari ID: 3479890    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/10

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Mashindano ya 47 ya Kitaifa ya Qur'ani nchini Iran yalihitimisha sehemu zake za wanawake na wasichana chini ya umri wa miaka 18 kwa  sherehe huko Tabriz, zilizofanyika kuanzia tarehe 2 hadi 9 Disemba.
Habari ID: 3479883    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/09

Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Mhifadhi wa Qur'ani wa kike amesema Qur'ani imemjengea subira na ustahimilivu katika kukabiliana na changamoto mbalimbali.
Habari ID: 3479877    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/08

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Mashindano ya 31 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Misri yameanza jana kwa usomaji wa aya za Qur'ani na Sheikh Ahmed Nuaina katika Masjid Misr katika Mji Mkuu Mpya wa Utawala wa Misri.
Habari ID: 3479876    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/08

Qur'ani Katika Maisha
IQNA – Mwanamke Muirani aliyehifadhi Qur'ani Tukufu amesema mtu ambaye amekumbatia uzuri wa Qur'ani Tukufu hawezi kuvumilia kutengwa nayo.
Habari ID: 3479872    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/07

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Mashindano ya Qur'ani ya Sheikh Jassim ya Qatar yamefungwa Jumatano na washindi wakuu wakipokea zawadi kwa mafanikio yao.
Habari ID: 3479866    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/06

IQNA - Qari wa Iran anayetambulika kimataifa Saeed Parvizi alisoma aya za Qur'ani wakati wa hafla ya ufunguzi wa Mashindano ya 47 ya Kitaifa ya Qur'ani ya Iran.
Habari ID: 3479851    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/03

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Mji wa kaskazini-magharibi wa Tabriz ni mwenyeji wa hatua ya mwisho ya Mashindano ya 47 ya Kitaifa ya Qur'ani ya Iran, yaliyoanza kwa sherehe Jumatatu asubuhi.
Habari ID: 3479849    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/03

IQNA - Wizara ya Wakfu ya Misri imesema mashindano ya kila mwaka ya kimataifa ya Qur'ani nchini humo yanalenga kuwaenzi wahifadhi Qur'ani na kuimarisha jukumu lao katika kukuza thamani za Qur'ani duniani.
Habari ID: 3479830    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/01

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Duru ya mwisho ya Mashindano ya 47 ya Kitaifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran itaanza katika mji wa kaskazini-magharibi wa Tabriz Jumatatu, Disemba 2.
Habari ID: 3479811    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/26

Qur'ani Tukufu
IQNA - Mashindano ya 32 ya Qur'ani Tukufu ya Sultan Qaboos yamefikia hatua yake ya mwisho, na awamu ya fainali imeanza tarehe 24 Novemba katika ukumbi wa mihadhara wa Msikiti Mkuu wa Sultan Qaboos huko Muscat, Oman.
Habari ID: 3479806    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/25

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Afisa mmoja wa Iran amesema mashindano ya kila mwaka ya kimataifa ya Qur'ani  ya Iran yana idadi kubwa zaidi ya washiriki kati ya matukio ya kimataifa ya Qur'ani katika ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3479791    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/22

Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani
IQNA - Jumuiya ya Masuala ya Wakfu na Misaada Iran imetangaza waliofuzu katika Mashindano ya 47 ya Kitaifa ya Qur'ani nchini Iran.
Habari ID: 3479772    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/18

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - "Ipambeni Qur'ani kwa Sauti Zeni" itakuwa kauli mbiu ya Tuzo ya 8 ya Katara ya Kusoma Qur'ani Tukufu nchini Qatar.
Habari ID: 3479770    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/18

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Toleo la 39 la Mashindano ya Kuhifadhi Qur'ani katika Jimbo la Bauchi la Nigeria lilianza katika mji mkuu wa jimbo hilo siku ya Jumamosi.
Habari ID: 3479763    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/17

Harakati za Qur'ani
IQNA - Programu ya usomaji wa Qur'ani ilifanyika kwenye kaburi la Imam Kadhim (AS) huko Kadhimiya, kaskazini mwa Baghdad, Iraq Jumatano.
Habari ID: 3479754    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/15

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Sherehe za uzinduzi wa mashindano ya 13 ya kimataifa ya Qur'ani ya Kuwait zilifanyika katika mji wa Kuwait Jumatano jioni. Waziri wa Masuala ya Kiislamu na Wakfu Mohammad Al-Wasmi, wajumbe wa jopo la majaji na washindani walihudhuria sherehe za ufunguzi.
Habari ID: 3479752    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/15

Mashindano
IQNA - Washindi wakuu wa kategoria za qiraa na hifdhi  za toleo la kwanza la Tuzo la Kimataifa la Qur'ani la Iraq walitangazwa. Sherehe za kufunga zilifanyika Alhamisi asubuhi katika mji mkuu wa Iraq wa Baghdad.
Habari ID: 3479750    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/15

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Hatua ya mwisho ya Tuzo ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iraq ilifanyika Jumanne huko Baghdad.
Habari ID: 3479747    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/13