IQNA – Toleo la pili la Tamasha la Usomaji Qur'ani wa Kuiga nchini Iran lilihitimishwa kwa hafla ambapo washindi walitangazwa na kutunukiwa zawadi
Habari ID: 3480267 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/25
IQNA – Washindi wa Mashindano ya 33 ya Kimataifa ya Tuzo ya Qur'ani Tukufu Tanzania walitangazwa wakati wa hafla ya kufunga mashindano hayo jijini Dar es Salaam.
Habari ID: 3480263 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/24
IQNA – Televisheni ya satelaiti ya Al-Thaqalayn itafanya toleo la pili la mashindano ya usomaji wa Tarteel wa Qur’ani Tukufu katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3480258 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/23
IQNA – Mashindano ya 33 ya Kimataifa ya Quran nchini Tanzania yalianza jana katika taifa hilo la Afrika Mashariki, yakiwa na washiriki kutoka nchi 25.
Habari ID: 3480248 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/21
IQNA – Mashindano ya 7 ya Kimataifa ya Qur'ani kwa Wanafunzi wa Kiislamu yako tayari kuanza, na maandalizi yanaendelea kwa ajili ya tukio hili maarufu.
Habari ID: 3480245 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/20
IQNA – Toleo la pili la Tamasha la Usomaji Qur'ani wa Kuiga sauti za maqari mashuhurilinatarajiwa kufanyika katika mji wa Qazvin, Iran, kuanzia Februari 22 hadi 25, likiwakutanisha maqari 50 vijana kutoka sehemu mbalimbali za nchi.
Habari ID: 3480237 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/18
IQNA – Mashindano ya Qur'ani kwa wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Al-Azhar cha Misri yatafanyika mwezi ujao.
Habari ID: 3480095 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/22
Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Raundi ya mwisho ya mashindano ya 20 ya kimataifa ya Qur'ani ya Algeria yameanza katika sherehe katika mji mkuu Algiers siku ya Jumanne.
Habari ID: 3480093 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/22
Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Mashindano ya kwanza ya Qur'ani kwa vyuo vikuu na vituo vya elimu vya Iraq yamezinduliwa na Idara ya Mfawidhi wa kaburi takatifu la Hadhrat Abbas (AS).
Habari ID: 3480084 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/20
Mashindano ya Qur'ani ya Iran
IQNA – Toleo la 41 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran litaingia katika hatua ya mwisho mwezi huu.
Habari ID: 3480049 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/13
Mashindano ya Qur'ani Tukufu
IQNA – Kituo cha Televisheni cha Al-Kawthar kimetoa mwaliko wa kushiriki katika toleo la 18 la mashindano yake ya Qur'ani kwa njia ya televisheni yaliyopangwa kufanyika katika mwezi wa Ramadhani 2025.
Habari ID: 3480048 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/13
Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Mashindano ya kuhifadhi sura fupi za Qur'ani Tukufu kwa watoto wadogo yalihitimishwa kwa hafla ya kufunga nchini Tanzania.
Habari ID: 3480047 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/13
IQNA – Mashindano ya Qur'ani ya Sheikh Rashid bin Mohammed Al Maktoum huko Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE ) yalishuhudia ushiriki wa wanafunzi 1,104 wa kiume na wa kike kutoka shule 32.
Habari ID: 3480046 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/13
Mashidano ya Qur'ani
IQNA - Hatua ya mwisho ya Toleo la 25 la Mashindano ya Qur'ani Tukufu ya Sheikha Hind Bint Maktoum ilifanyika Dubai, UAE, Ijumaa.
Habari ID: 3480039 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/12
IQNA – Baraza Kuu la Mambo ya Kiislamu la Nigeria (NSCIA) limetangaza washindi wa Mashindano ya Kitaifa ya Qur’anI yaliyofanyika hivi karibuni katika Jimbo la Kebbi.
Habari ID: 3480025 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/10
Mashindano ya Qur'ani
Mashindano ya 21 ya Kimataifa ya Usomaji wa Qur'ani Tukufu yatafanyika Machi mwaka huu katika jiji la Dar es Salaam, Tanzania.
Habari ID: 3479996 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/03
Harakati za Qur'ani
IQNA – Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani ya Iran, hasa sehemu yake ya maarifa, yana jukumu muhimu katika kukuza mafundisho ya Kiislamu miongoni mwa wananchi, amesema mwanazuoni.
Habari ID: 3479988 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/01
Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Astan Quds Razavi, Idara ya Mfawidhi wa Haram Takatifu ya Imam Ridha (AS) mjini Mashhad, imeahidi kutoa msaada kamili katika kufanikisha Mashindano ya 41 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu nchini Iran, afisa mmoja amesema.
Habari ID: 3479979 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/31
Mashindano ya Qur'ani Afrika
IQNA – Washindi wa mashindano ya 39 ya kitaifa ya Quran nchini Nigeria walizawadiwa katika sherehe iliyofanyika Jumamosi.
Habari ID: 3479974 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/30
Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Kukuza uelewa wa Qur’anni Tukufu katika jamii ni lengo kuu la mashindano ya Qur’ani yanayoandaliwa nchini Iran, amesema Mkuu wa Shirika la Wakfu na Misaada la Iran, Hujjatul Islam Mehdi Khamoushi.
Habari ID: 3479959 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/27