iqna

IQNA

Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Mhifadhi wa Qur’ani kutoka Uswidi ameshika nafasi ya kwanza katika Toleo la 8 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani kwa wanawake huko Dubai, Umoja  Falme za Kiarabu.
Habari ID: 3479431    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/14

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Sherehe ya kutunuku washindi wa toleo la 38 la Mashindano ya Qur’ani na Etrat ya Wanafunzi wa Vyuo Vikuu vya Iran ilifanyika Tabriz siku ya Jumatano.
Habari ID: 3479421    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/12

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Zahra Ansari anaiwakilisha Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Toleo la 8 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Sheikha Fatima Bint Mubarak kwa wanawake.
Habari ID: 3479407    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/09

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Dubai katika Umoja wa Falme za Kiarabu inaandaa toleo la 8 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Sheikha Fatima Bint Mubarak kwa wanawake.
Habari ID: 3479401    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/08

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Mashindano ya nchi nzima ya Qur'ani yanaendelea nchini Mauritania ambayo yanalenga kuchagua wawakilishi wa nchi hiyo ya Kiafrika kwa ajili ya mashindano yajayo ya kimataifa ya Qur'ani.
Habari ID: 3479381    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/04

Mashindano ya Qur'ani
IQNA-Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.Samia Suluhu Hassan, jana Agosti 31, 2024 alishiriki katika hafla ya kufunga Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu kwa wanawake na washichana yaliyofanyika jijini Dar es Salaam.
Habari ID: 3479364    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/01

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Toleo la kwanza la Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani yaliyopewa jina la Tuzo la Qur'ani la Iraq yatafanyika katika mji mkuu wa nchi hiyo ya Kiarabu, Baghdad, mwezi wa Novemba.
Habari ID: 3479355    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/30

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Wakati wa hafla katika Msikiti Mkuu wa Makkah, washindi wa Mashindano ya 44 ya Kimataifa ya Mfalme Abdulaziz ya Kuhifadhi, Kusoma na Kutafsiri Qur'ani wametangazwa na kutunukiwa zawadi.
Habari ID: 3479318    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/23

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Sherehe za kufunga Mashindano ya Kimataifa ya 44 ya Mfalme Abdulaziz ya Kuhifadhi, Kusoma na Kutafsiri Qur'ani zitafanyika katika Msikiti Mkuu wa Makka siku ya Jumatano.
Habari ID: 3479307    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/20

IQNA – Washiriki wa Mashindano ya kimataifa ya Qur'ani ya Saudi Arabia wametembelea Kituo cha Mfalme Fahd cha Uchapishaji wa Qur'ani Tukufu mjini Madina.
Habari ID: 3479306    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/20

Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Sehemu ya mwisho  ya Toleo la 44 la Mashindano ya Kimataifa ya Mfalme Abdulaziz ya Kuhifadhi , Kusoma na Kutafsiri Qur'ani Tukufu huko Makka imekamilika huko Makka.
Habari ID: 3479290    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/17

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Mashindano ya Qur'ani kwa wanawake yamefanika katika mji wa Dar es Salaam, Tanzania wikiendi iliyopita.
Habari ID: 3479280    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/14

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Mmoja wa wawakilishi wawili wa Iran katika mashindano ya kimataifa ya Qur'ani Tukufu mjini Makka alitia fora na kuwavutia sana hadhirina wakati aliopandaa jukwaa Jumatatu.
Habari ID: 3479274    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/13

IQNA – Maafisa wa Makao Makuu ya Uratibu wa Mashindano ya Qur'ani Tukufu ya Iran yalifanya mkutano siku ya Jumamosi mjini Tehran.
Habari ID: 3479268    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/12

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Jumla ya washiriki 173 kutoka nchi 123 wanashiriki katika toleo la 44 la Mashindano ya Kimataifa ya Mfalme Abdulaziz ya Kuhifadhi , Kusoma na Kutafsiri Qur'ani Tukufu huko Makka.
Habari ID: 3479264    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/11

Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Toleo la 44 la Mashindano ya Kimataifa ya Mfalme Abdulaziz ya Kuhifadhi, Kusoma na Kutafsiri Qur’ani Tukufu yalianza mjini Makka kwa awamu za awali za kufuzu siku ya Ijumaa.
Habari ID: 3479258    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/10

Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Wawakilishi  wawili wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wamefika Saudi Arabia kushiriki katika toleo la 44 la mashindano ya kimataifa ya Qur'ani ya Saudi Arabia.
Habari ID: 3479252    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/09

IQNA - Sherehe za kufunga Tuzo ya Qur'ani Tukufu ya BRICS zilifanyika siku ya Ijumaa huko Kazan katika Jamhuri ya Tatarstan nchini Russia huku washindi wa mashindano hayo wakitunukiwa.
Habari ID: 3479195    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/27

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Sherehe za kufunga Tuzo ya Qur'ani Tukufu ya BRICS zilifanyika siku ya Ijumaa huko Kazan katika Jamhuri ya Tatarstan nchini Russia huku washindi wa mashindano hayo wakitunukiwa.
Habari ID: 3479193    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/27

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Zahra Ansari ambaye amehifadhi Qur’ani Tukufu kikamilifu ataiwakilisha Iran katika toleo la 8 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Sheikha Fatima Bint Mubarak Kwa Wanawake ya Dubai katika Umoja wa Falme za Kiarabu.
Habari ID: 3479186    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/26