IQNA – Mashindano ya Qur'ani ya Sheikh Rashid bin Mohammed Al Maktoum huko Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE ) yalishuhudia ushiriki wa wanafunzi 1,104 wa kiume na wa kike kutoka shule 32.
Habari ID: 3480046 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/13
Mashidano ya Qur'ani
IQNA - Hatua ya mwisho ya Toleo la 25 la Mashindano ya Qur'ani Tukufu ya Sheikha Hind Bint Maktoum ilifanyika Dubai, UAE, Ijumaa.
Habari ID: 3480039 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/12
IQNA – Baraza Kuu la Mambo ya Kiislamu la Nigeria (NSCIA) limetangaza washindi wa Mashindano ya Kitaifa ya Qur’anI yaliyofanyika hivi karibuni katika Jimbo la Kebbi.
Habari ID: 3480025 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/10
Mashindano ya Qur'ani
Mashindano ya 21 ya Kimataifa ya Usomaji wa Qur'ani Tukufu yatafanyika Machi mwaka huu katika jiji la Dar es Salaam, Tanzania.
Habari ID: 3479996 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/03
Harakati za Qur'ani
IQNA – Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani ya Iran, hasa sehemu yake ya maarifa, yana jukumu muhimu katika kukuza mafundisho ya Kiislamu miongoni mwa wananchi, amesema mwanazuoni.
Habari ID: 3479988 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/01
Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Astan Quds Razavi, Idara ya Mfawidhi wa Haram Takatifu ya Imam Ridha (AS) mjini Mashhad, imeahidi kutoa msaada kamili katika kufanikisha Mashindano ya 41 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu nchini Iran, afisa mmoja amesema.
Habari ID: 3479979 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/31
Mashindano ya Qur'ani Afrika
IQNA – Washindi wa mashindano ya 39 ya kitaifa ya Quran nchini Nigeria walizawadiwa katika sherehe iliyofanyika Jumamosi.
Habari ID: 3479974 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/30
Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Kukuza uelewa wa Qur’anni Tukufu katika jamii ni lengo kuu la mashindano ya Qur’ani yanayoandaliwa nchini Iran, amesema Mkuu wa Shirika la Wakfu na Misaada la Iran, Hujjatul Islam Mehdi Khamoushi.
Habari ID: 3479959 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/27
Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Haram Tukufu ya Hadhrat Al-Abbas (AS) huko Karbala, Iraq, imetangaza rasmi mchakato wa usajili wa toleo la pili la Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani yajulikanayo kama Tuzo ya Kimataifa ya Al-Ameed ya Kusoma Qur’ani.
Habari ID: 3479944 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/23
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Mji mkuu wa Nepal wa Kathmandu ni mwenyeji wa toleo la pili la mashindano ya kitaifa ya kuhifadhi Qur'ani.
Habari ID: 3479942 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/23
Qur'ani Katika Maisha
IQNA – Mwanafunzi mwenye umri wa miaka 15 anasema kuhifadhi Quran Tukufu kumemsaidia kupata mafanikio zaidi shuleni.
Habari ID: 3479941 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/23
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Mtaalamu na mwanaharakati wa Qur'ani wa Iran amepongeza maandalizi ya kitaalamu ya Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani Tukufu ya nchi hiyo.
Habari ID: 3479932 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/21
Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Seyed Jassem Mousavi alishinda zawadi ya juu zaidi ya kategoria ya qiraa katika Mashindano ya 47 ya Kitaifa ya Qur'ani ya Iran huko Tabriz siku ya Alhamisi.
Habari ID: 3479928 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/20
Harakati za Qur'ani
IQNA - Sekretarieti ya Idara ya Wakfu ya Kuwait imetangaza majina ya washindi wa Mashindano ya 27 ya Kitaifa ya Kuhifadhi na Kusoma Qur'ani nchini humo
Habari ID: 3479927 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/20
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Mkuu wa Shirika la Wakfu na Misaada Iran amesema njia ya kuelewa ukamilifu na wokovu inapitia katika Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3479922 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/19
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Baada ya shughuli za miezi kadhaa, Mashindano ya 47 ya Kitaifa ya Qur'ani ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yalifikia tamati katika hafla ya Alhamisi asubuhi.
Habari ID: 3479921 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/19
Harakati za Qur'ani
IQNA – Qari wa ngazi za juu wa kike wa Qur’ani nchini Iran amesema mazingira ya kuunga mkono na ya kutia moyo yanayotolewa na wazazi yana jukumu muhimu katika kukuza talanta za Qur’ani kwa watoto.
Habari ID: 3479918 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/18
Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani
IQNA – Kuna ushindani mkubwa katika fainali ya Mashindano ya 47 ya Kitaifa ya Qur'ani ya Iran na hivyo ni vigumu kutabiri washindi, mshindani mmoja alisema.
Habari ID: 3479909 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/16
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Mshindi Qiraa ya Qur’ani katika kategoria ya wanawake katika Mashindano ya 47 ya Kitaifa ya Qur'ani ya Iran amesema yeye hufanya mazoezi ya qiraa na kusoma tafsir kila usiku pamoja na familia yake.
Habari ID: 3479904 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/15
Harakati za Qur'ani
IQNA - Msomaji wa Qur'ani wa kike wa Iran anasema kuelewa na kutekeleza mafundisho ya Qur'ani ndio ufunguo wa kuepuka dhambi.
Habari ID: 3479895 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/14