iqna

IQNA

IQNA – Mashindano ya Qur'ani kwa wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Al-Azhar cha Misri yatafanyika mwezi ujao.
Habari ID: 3480095    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/22

Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Raundi ya mwisho ya mashindano ya 20 ya kimataifa ya Qur'ani ya Algeria yameanza katika sherehe katika mji mkuu Algiers siku ya Jumanne.
Habari ID: 3480093    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/22

Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Mashindano ya kwanza ya Qur'ani kwa vyuo vikuu na vituo vya elimu vya Iraq yamezinduliwa na Idara ya Mfawidhi wa kaburi takatifu la Hadhrat Abbas (AS).
Habari ID: 3480084    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/20

Mashindano ya Qur'ani ya Iran
IQNA – Toleo la 41 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran litaingia katika hatua ya mwisho mwezi huu.
Habari ID: 3480049    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/13

Mashindano ya Qur'ani Tukufu
IQNA – Kituo cha Televisheni cha Al-Kawthar kimetoa mwaliko wa kushiriki katika toleo la 18 la mashindano yake ya Qur'ani kwa njia ya televisheni yaliyopangwa kufanyika katika mwezi wa Ramadhani 2025.
Habari ID: 3480048    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/13

Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Mashindano ya kuhifadhi sura fupi za Qur'ani Tukufu kwa watoto wadogo yalihitimishwa kwa hafla ya kufunga nchini Tanzania. 
Habari ID: 3480047    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/13

IQNA – Mashindano ya Qur'ani ya Sheikh Rashid bin Mohammed Al Maktoum huko Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE ) yalishuhudia ushiriki wa wanafunzi 1,104 wa kiume na wa kike kutoka shule 32.
Habari ID: 3480046    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/13

Mashidano ya Qur'ani
IQNA - Hatua ya mwisho ya Toleo la 25 la Mashindano ya Qur'ani Tukufu ya Sheikha Hind Bint Maktoum ilifanyika Dubai, UAE, Ijumaa.
Habari ID: 3480039    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/12

IQNA – Baraza Kuu la Mambo ya Kiislamu la Nigeria (NSCIA) limetangaza washindi wa Mashindano ya Kitaifa ya Qur’anI yaliyofanyika hivi karibuni katika Jimbo la Kebbi.
Habari ID: 3480025    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/10

Mashindano ya Qur'ani
Mashindano ya 21 ya Kimataifa ya Usomaji wa Qur'ani Tukufu yatafanyika Machi mwaka huu katika jiji la Dar es Salaam, Tanzania.
Habari ID: 3479996    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/03

Harakati za Qur'ani
IQNA – Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani ya Iran, hasa sehemu yake ya maarifa, yana jukumu muhimu katika kukuza mafundisho ya Kiislamu miongoni mwa wananchi, amesema mwanazuoni.
Habari ID: 3479988    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/01

Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Astan Quds Razavi, Idara ya Mfawidhi wa Haram Takatifu ya Imam Ridha (AS) mjini Mashhad, imeahidi kutoa msaada kamili katika kufanikisha Mashindano ya 41 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu nchini Iran, afisa mmoja amesema.
Habari ID: 3479979    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/31

Mashindano ya Qur'ani Afrika
IQNA – Washindi wa mashindano ya 39 ya kitaifa ya Quran nchini Nigeria walizawadiwa katika sherehe iliyofanyika Jumamosi.
Habari ID: 3479974    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/30

Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Kukuza uelewa wa Qur’anni Tukufu katika jamii ni lengo kuu la mashindano ya Qur’ani yanayoandaliwa nchini Iran, amesema Mkuu wa Shirika la Wakfu  na Misaada la Iran, Hujjatul Islam Mehdi Khamoushi.
Habari ID: 3479959    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/27

Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Haram Tukufu ya Hadhrat Al-Abbas (AS) huko Karbala, Iraq, imetangaza rasmi mchakato wa usajili wa toleo la pili la Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani yajulikanayo kama Tuzo ya Kimataifa ya Al-Ameed ya Kusoma Qur’ani.
Habari ID: 3479944    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/23

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Mji mkuu wa Nepal wa Kathmandu ni mwenyeji wa toleo la pili la mashindano ya kitaifa ya kuhifadhi Qur'ani.
Habari ID: 3479942    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/23

Qur'ani Katika Maisha
IQNA – Mwanafunzi mwenye umri wa miaka 15 anasema kuhifadhi Quran Tukufu kumemsaidia kupata mafanikio zaidi shuleni.
Habari ID: 3479941    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/23

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Mtaalamu na mwanaharakati wa Qur'ani wa Iran amepongeza maandalizi ya kitaalamu ya Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani Tukufu ya nchi hiyo.
Habari ID: 3479932    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/21

Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Seyed Jassem Mousavi alishinda zawadi ya juu zaidi ya kategoria ya qiraa katika Mashindano ya 47 ya Kitaifa ya Qur'ani ya Iran huko Tabriz siku ya Alhamisi.
Habari ID: 3479928    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/20

Harakati za Qur'ani
IQNA - Sekretarieti ya Idara ya Wakfu ya Kuwait imetangaza majina ya washindi wa Mashindano ya 27 ya Kitaifa ya Kuhifadhi na Kusoma  Qur'ani nchini humo
Habari ID: 3479927    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/20