IQNA – Karibu watu milioni mbili waliswali katika Al-Rawdah Al-Sharif ndani ya Al Masjid An Nabawi (Msikiti wa Mtume) huko Madina wakati wa msimu wa Hija wa mwaka uliopita wa 1446 Hijria.
Habari ID: 3480965 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/19
IQNA – Maktaba ya Msikiti wa Mtume au Al Masjid An Nabawi mjini Madina inafanya kazi kama taasisi ya umma inayotoa huduma mbalimbali kwa watafiti na wageni wanaovutiwa na turathi za Kiislamu.
Habari ID: 3480932 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/12
Mtazamo
IQNA – Mkataba wa Amani wa Hudaybiyyah uliosainiwa mwaka wa 6 AH (628 Miladia), uligeuka kuwa hatua ya kihistoria iliyoimarisha Uislamu kwa kubadilisha mvutano mkubwa kuwa mafanikio ya kidiplomasia yenye athari za muda mrefu, kwa mujibu wa msomi mmoja kutoka Iran.
Habari ID: 3480926 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/11
IQNA – Jumla ya milango 199 imewezeshwa ili kuboresha mtiririko wa Mahujaji wanaoingia na kutoka katika Msikiti Mkuu wa Makka, Masjid al Haram na Msikiti wa Mtume, Al Masjid an Nabawi, huko Madina wakati wa msimu wa Hija.
Habari ID: 3480768 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/31
IQNA – Uongozi wa Al Masjid an Nabawi (Msikiti wa Mtume) huko Madina umetangaza utekelezaji wa mpango wa kielimu wa kufundisha Qara’at Ashar (mitindo kumi ya usomaji wa Qur'ani) ndani ya msikiti huo.
Habari ID: 3480706 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/19
IQNA –Wananchi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wanaoelekea katika ibada ya Hija nchini Saudi Arabia mwaka huu wanatarajia kuanza safari yao wiki ijayo, kulingana na
Habari ID: 3480612 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/29
IQNA – Kozi ya kina ya mapitio kwa wanaohifadhi Quran Tukufu ilifanyika katika Msikiti wa Mtume, Al Masjid An Nabawi, huko Madina.
Habari ID: 3480597 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/26
IQNA – Mpango kamili umeanzishwa kuhakikisha usalama wa vyakula, dawa, na bidhaa za matibabu zinazotolewa kwa Mahujaji katika miji ya Makka na Madina wakati wa msimu ujao wa Hija.
Habari ID: 3480580 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/22
IQNA – Zaidi ya waumini milioni 122 walitembelea Msikiti Mtakatifu wa Makka ambao unajulkana kama Masjid Al Haram na Msikiti wa Mtume (SAW) mjini Madina amba oni maarufu kama Al Masjid an Nabawi katika kipindi chote cha mwezi mtukufu wa Ramadhani mwaka huu.
Habari ID: 3480473 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/30
IQNA – Zaidi ya milo milioni 17 ya Futari au Iftar imesambazwa katika Msikiti Mkuu wa Makka (Masjid al Haram) na Msikiti wa Mtume Madina (Al Masjid an Nabawi) katika wiki tatu za kwanza za mwezi mtukufu wa Ramadhani mwaka huu..
Habari ID: 3480448 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/27
Qur'ani Tukufu
IQNA - Zaidi ya nakala milioni 300 za Qur'ani Tukufu zimechapishwa katika Kituo cha Uchapishaji Qur'ani cha Mfalme Fahd mjini Madina, Saudi Arabia.
Habari ID: 3479653 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/27
Umrah
IQNA - Zaidi ya waumini milioni 10 wameswali katika Al-Rawdah Al-Sharif kwenye Msikiti wa Mtume (Al-Masjid an-Nabawi) kuanzia mwanzoni mwa 2024.
Habari ID: 3479591 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/14
IQNA - Maonyesho ya Kumbukumbu ya Kubomolewa Makaburi ya Baqi yamefanyika katika Haram ya Imam Ridha (AS) mnamo Aprili 17, 2024.
Habari ID: 3478707 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/20
Historia
IQNA - Mkutano wa kimataifa uliopewa jina la "Makaburi ya Baqi, Mahali Walimozikwa Maimamu na Masahaba" umefanyika katika mji mtakatifu wa Iran wa Qom siku ya Alhamisi.
Habari ID: 3478700 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/19
Hija na Umrah
IQNA – Kikao cha kwanza cha Jukwaa la Hija na Umrah kimepangwa kuanza Jumatatu ijayo, Aprili 22, katika mji mtakatifu wa Madina, Saudi Arabia.
Habari ID: 3478698 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/18
Huduma ya matibabu imetolewa kwa zaidi ya mahujaji elfu 18,000 Hija mjini Madina tangu kuanza kwa mwezi huu wa Kiislamu.
Habari ID: 3477143 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/15
Al-Masjid an-Nabawī
TEHRAN (IQNA) – Msikiti wa Mtume (Al-Masjid an-Nabawī ) huko Madina, ni mojawapo ya maeneo takatifu zaidi katika Uislamu, na umetembelewa na waumini zaidi ya milioni 200 tangu mwanzo wa mwaka huu wa Kiislamu. Hayo yamedokezwa na Urais Mkuu wa Masuala ya Misikiti Miwili Mitakatifu. .
Habari ID: 3477072 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/30
Makka na Madina
TEHRAN (IQNA) - Mnamo usiku wa 27 wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, unaoaminika kuwa Usiku wa Qadr, mamilioni ya waumini walijaa Msikiti Mkuu ya Makka (Masjid al Haram) na Msikiti wa Mtume SAW (Masjid An Nabawi) huko Madina.
Habari ID: 3476885 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/18
Misikiti Miwili Mitakatifu
TEHRAN (IQNA) - Kichina kimeongezwa kwenye orodha ya lugha ambazo hutarjumiwa au hutafsiriwa katika Msikiti Mtakatifu wa Makka, Al Masjid Al Haram, na Msikiti wa Mtume SAW, Al-Masjid an-Nabawi, katika Vyombo vya Habari.
Habari ID: 3476238 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/12
Wanazuoni Mashuhuri wa Ulimwengu wa Kiislamu / 8
TEHRAN (IQNA) – Dkt. Fawzia al-Ashmawi alikuwa mwanazuoni ambaye alitumia maisha yake kueleza na kufafanua kuhusu hadhi ya wanawake katika Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3476171 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/30