iqna

IQNA

Shirika la Ushirikiano wa Nchi za Kiislamu OIC limetoa wito kwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhuckua hatua hatua za kivitendo kuzuia hujuma za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Msikiti wa Al Aqsa.
Habari ID: 3335772    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/27

Katibu Mkuu wa OIC
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu OIC amesema kuwa, Waislamu wote wana haki ya kuingia katika msikiti mtakatifu wa al-Aqswa.
Habari ID: 2677828    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/01/06

Mkutano wa 10 wa Mawaziri wa Habari wa nchi za Kiislamu (ICIM) umefanyika Jumatano hapa mjini Tehran kwa kuhudhuriwa na Is’haq Jahangiri Makamu wa Kwanza wa Rais na Katibu Mkuu wa OIC.
Habari ID: 2615009    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/12/04

Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu OIC imesema itaunga mkono ombi la Palestina kwa Umoja wa Mataifa kujiunga na na mikataba 15 ya kimataifa.
Habari ID: 1390963    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/04/06