Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)-Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, Marekani ndio utawala fisadi na dhalimu zaidi ulimwenguni.
Habari ID: 3471327 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/28
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu imesimama kidete kukabiliana na njama za kambi ya ubeberu na Uzayuni za kutaka kuzusha vita na mivutano baina ya Waislamu na itaendelea kukabiliana na kambi hiyo na kupata ushindi katika mpambano huo kwa idhini ya Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3471277 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/24
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, kuhitimishwa satwa ya mti khabithi wa kundi la kigaidi la ISIS ni pigo kwa serikali za huko nyuma na za sasa za Marekani pamoja na tawala vibaraka na tegemezi kwa Washington katika Mashariki ya Kati ambazo zililianzisha kundi hili na kuliunga mkono kwa hali na mali ili zitanue satwa zao katika eneo hili na hivyo kuufanya utawala ghasibu wa Israel uwe na udhibiti wa eneo hili.
Habari ID: 3471274 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/22
Sayyed Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA)-Kiongozi wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa Marekani imeilisaidia kundi la kigaidi la ISIS au Daesh katika mapigano ya hivi majuzi katika mji wa al Bukamal nchini Syria hatua ambayo inakinzana na madai ya Washington kwamba inapambana na ugaidi
Habari ID: 3471272 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/21
TEHRAN (IQNA)- Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Imelaani hujuma za kigaidi zilizolengamisikiti miwili katika miji ya Kabul na Ghor nchini Afghanistan siku ya Ijumaa na kuuawa waumini zaidi ya 80.
Habari ID: 3471226 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/10/22
Sayyed Hassan Nasrallah:
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, Marekani inazuia kuangamizwa kikamilifu kundi la kigaidi la Daesh au ISIS huko Syria na inalisaidia kundi hilo kwa silaha kupitia kituo vituo vyake vya kijeshi vilivyo Syria kinyume cha sheria.
Habari ID: 3471211 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/10/10
TEHRAN (IQNA) Magaidi wameuhujumu msikiti wa Waislamu wa madhehebu ya Shia mjini Kabul, Afghanistan na kuuawa waumini 30 waliokuwa katika Sala ya Ijumaa.
Habari ID: 3471142 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/26
TEHRAN (IQNA)-Waislamu nchini Uhispania wana wasiwasi mkubwa kuhusu ongezeko la chuki dhidi ya Uislamu kufuatia hujuma ya kigaidi mjini Barcelona ambayo magaidi wa ISIS walidai kuhusika nayo.
Habari ID: 3471132 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/20
TEHRAN (IQNA)-Magaidi wametekelza hujuma dhidi ya Msikiti wa Waislamu wa amdhehebu ya Shia huko Herat, Afghanistan na kuuawa waumini 30 waliokuwa katika Sala ya Ishaa Jumanne usiku.
Habari ID: 3471098 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/02
Indhari ya Interpol
TEHRAN (IQNA)-Polisi ya Kimataifa (Interpo) imechapisha orodha ya wanachama 173 wa kundi la kigaidi la ISIS au Daesh wanaohatarisha usalama wa nchi za Ulaya.
Habari ID: 3471078 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/22
Wizara ya Mambo ya Ndani ya Iraq
TEHRAN (IQNA)-Wizara ya Mambo ya Ndani ya Iraq imekanusha habari za kuangamizwa kinara wa kundi la kigaidi la ISIS au Daesh Abu Bakar al Baghdadi na kusema yungali hai mafichoni nchini Syria.
Habari ID: 3471070 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/17
TEHRAN (IQNA)-Baada ya serikali ya Iraq kutangaza rasmi kukombolewa mji wa Mosul kutoka mikononi mwa magaidiwa ISIS au Daesh, imebainika kuwa wakazi wa mji huo wanahitaji ushauri nasaha.
Habari ID: 3471058 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/10
TEHRAN (IQNA)-Maimamu wa misikiti barani Ulaya wameanzisha kampeni amani kwa kutemeblea miji iliyoshambulia na magaidi kwa jina la dini huku wakilaani ugaidi na misimamo mikali.
Habari ID: 3471057 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/09
TEHRAN (IQNA)-Magaidi wa wakufurishaji wamehujumu kwa mabomu Kituo cha Qur'ani katika mkoa Idlib kasskazini magharibi mwa Syria na kuua watu 8 na kuwajeruhi wengine 16.
Habari ID: 3471053 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/06
TEHRAN (IQNA)-Mufti Mkuu wa Misri Shawqi Ibrahim Abdel-Karim Allam amesema Imam Ali AS alitabiri kudhihiri kundi la kigaidi la ISIS zaidi ya miaka 1400 iliyopita.
Habari ID: 3470935 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/15
TEHRAN (IQNA)- Watu wa Misri wanamuenzi afisa wa polisi mwanamke Mwislamu ambaye alipoteza maisha yake akijijaribu kumzuia gaidi wa kundi la ISIS kuingia katika kanisa la Kikhufti (Coptic) mjini Alexandria.
Habari ID: 3470933 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/13
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameashiria hujuma ya hivi karibuni ya Marekani nchini Syria na kusema: "Ni jambo linalotarajiwa kwa Marekani kutenda jinai na kukiuka mambo na kudhulumu na imewahi kuyafanya hayo katika maeneo mengine duniani."
Habari ID: 3470928 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/09
TEHRAN (IQNA) Duru za usalama Iraq zinadokeza kuwa kuna uwezekano kuwa, kinara wa kundi la ISIS au Daesh la magaidi wakufurishaji kundi, Abubakar al-Baghdadi amenaswa kwenye mzingiro uliowekwa kwenye katika mji Mosul nchini Iraq.
Habari ID: 3470916 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/03
TEHRAN (IQNA)Jeshi la Iraq limetangaza kumuua kinara nambari mbili wa kundi la magaidi wakufurishaji wa ISIS au Daesh katika shambulizi la anga, magharibi mwa mkoa wa al-Anbar nchini humo.
Habari ID: 3470915 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/02
Sayyed Hassan Nasrallah
IQNA: Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amatoa wito wa kuwepo umoja baina ya nchi mbali mbali duniani ili kukabiliana na tishio la kundi la kigaidi la ISIS au Daesh.
Habari ID: 3470732 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/10