TEHRAN (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametuma ujumbe kufuatia kuuawa shahidi na kujeruhiwa idadi kubwa ya watu wasio na hatia nchini Afghanistan.
Habari ID: 3474400 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/09
TEHRAN (IQNA)- Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amedai kuwa jeshi la nchi yake limemuangamiza Adnan Abou Walid al-Sahrawi, kinara wa tawi kundi la kigaidi la ISIS au Daesh Magharibi mwa Afrika (ISWAP).
Habari ID: 3474302 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/16
TEHRAN (IQNA)- Maafisa 13 wa polisi Iraq wameuawa katika shambulio la kundi la kigaidi la Daesh au ISIS dhidi ya kituo cha upekuzi barabarani kaskazini mwa nchi hiyo mapema Jumapili, vyanzo vya usalama na matibabu vilisema.
Habari ID: 3474260 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/05
TEHRAN (IQNA)- Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali mashambulio ya kigaidi yaliyotokea katika eneo la uwanja wa ndege wa Kabul nchini Afghanistan jana Alkhamisi.
Habari ID: 3474230 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/27
TEHRAN (IQNA)-TEHRAN (IQNA)- Raia wa Afghanistan karibu 200 wakiwemo wanajeshi 13 wa Marekani wameuawa leo kufuatia hujuma katika uwanja wa ndege wa Kabul.
Habari ID: 3474229 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/26
TEHRAN (IQNA)- Magaidi huko Syria wameua watu wasiipungua 25 na kuwajeruhi wengine katika shambulio la kigaidi lililofanywa katika eneo la Deir ez-Zor mashariki wa nchi hiyo ya Kiarabu.
Habari ID: 3473511 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/31
TEHRAN (IQNA) – Asasi moja ya kufuatilia mambo ya vita imesema uchunguzi wake umebaini kuwa Jeshi la Marekani limeua raia 13,000 nchini Iraq na Syria katika kipindi cha miaka sita iliyopita.
Habari ID: 3473376 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/20
TEHRAN (IQNA) - Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani shambulizi la kigaidi lililotokea nchini Austria na kusema kuwa, kuna udharura wa kuwepo ushirikiano wa jamii ya kimataifa kwa ajili ya kukabiliana na mizizi ya ugaidi.
Habari ID: 3473326 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/03
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema magaidi wa Marekani walilenga kuhusisha kundi la kigaidi la ISIS walipowaua shahidi Luteni Jenerali Haj Qassem Soleimani, Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) na Abu Mahdi al Muhandis, Naibu Kamanda wa Kikosi cha Kujitolea cha Wananchi wa Iraq (Hashd al Shaabi).
Habari ID: 3473216 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/30
TEHRAN (IQNA) - Umoja wa Mataifa unakadiria kuwa kuna magaidi zaidi ya 10,000 wa kundi la ISIS au Daesh ambao bado wanaendeleza harakati zao Iraq na Syria ikiwa imepita miaka miwili tokea kundi hilo lishindwe vitani katika nchi hizo.
Habari ID: 3473101 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/25
TEHRAN (IQNA) –Rais Bashar al Assasd wa Syria amesema Marekani inahitaji uwepo wa magaidi, hasa wa ISIS, katika eneo la Asia Magharibi na imetumia vikwazo vya hivi karibuni dhidi ya Syria ili kuwaunga mkono magaidi.
Habari ID: 3473067 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/14
TEHRAN (IQNA) – Mohammad Javad Zarif Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ambaye yuko mjini Baghdad leo amekutana na Waziri Mkuu wa Iraq Mustafa al Kadhimi.
Habari ID: 3472978 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/19
TEHRAN (IQNA) - Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Sayyid Abbas Mousavi amelaani shambulio hilo la kigaidi sambamba na kuwafariji wananchi na serikali ya Afghanistan pamoja na familia za waliouawa na kujeruhiwa katika hujuma hiyo.
Habari ID: 3472542 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/07
TEHRAN (IQNA) Magaidi wakufurishaji wa kundi la ISIS (Daesh) wametekeleza mauaji mengine ya kutisha huko mashariki mwa Syria kwa kuua wafungwa mia saba karibu na eneo lililoko kwenye mpaka wa nchi hiyo na Iraq.
Habari ID: 3471778 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/12/20
Kiongozi wa Hizbullah katika Majlis ya Muharram
TEHRAN (IQNA) Kiongozi wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema Marekani ndiyo inayorefusha uwepo wa baadhi ya mabaki ya magaidi wa ISIS au Daesh katika baadhi ya maeneo ya kaskazini mashariki mwa Syria.
Habari ID: 3471680 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/09/20
TEHRAN (IQNA)- Watu wasiopungua 17 wameuawa Jumapili kufuatia mlipuko wa bomu katika msikiti ambao ulikuwa pia unatumika kama kituo cha kuwasajili wapiga kura katika mkoa wa Khost kusini mashariki mwa Afghanistan.
Habari ID: 3471499 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/07
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, katika miaka iliyopita, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeweza kupeperusha bendera ya izza, heshima na uwezo wa kitaifa katika eneo la Asia Magharibi na imekuwa na nafasi muhimu mno katika kuwasambaratisha wakufurishaji na kuleta amani na usalama.
Habari ID: 3471438 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/03/21
TEHRAN (IQNA)- Zaidi ya magaidi 19,000 wa ISIS (Daesh) wameuawa Iraq katika kipindi cha miaka mitatu iliyopita, amesema mkuu wa polisi nchini humo.
Habari ID: 3471429 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/03/15
TEHRAN (IQNA)-Idara ya Waqfu wa Ahul Sunna katika mkoa wa Diyala nchini Iraq imesema misikiti 109 imefunguliwa tena baada ya kufunguwa kwa miaka mitatu kutokana na hujuma ya magaidi wa ISIS au Daesh katika eneo hilo.
Habari ID: 3471402 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/02/24
TEHRAN (IQNA)- Idara ya kupamabana na misimamo mikali katika Chuo Kikuu cha Al Azhar cha Misri imesema wafuasi wa kundi la kigaidi la ISIS (Daesh) wanaorejea katika nchi zao wanapaswa kuadhibiwa kwa ajili ya jinai walizotekeleza.
Habari ID: 3471389 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/02/13