iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA) – Utawala wa Kizayuni wa Israel umeidhinisha ujenzi wa nyumba mpya 2,166 za walowezi wa Kizayuni katika ardhi za Palestina unazozikalia kwa mabavu katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
Habari ID: 3473263    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/15

TEHRAN (IQNA) – Mtaalamu maarufu wa kisiasa Kuwaita amelaani hatua ya baadhi ya nchi za Kiarabu kuanzisha uhusiano kamili wa kidiplomasia na Israel na kutaja hatua hiyo kuwa sawa na ukoloni mamboleo.
Habari ID: 3473257    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/13

TEHRAN (IQNA)- Hali ngumu na isiyo ya kibinadamu ya magereza ya utawala wa Israel imepelekea mateka au wafungwa kadhaa kususia chakula kama njia ya kubainisha malalamiko yao.
Habari ID: 3473252    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/12

TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) na Harakati ya Ukombozi wa Palestina (PLO) imemkosoa vikali balozi wa zamani wa Saudi Arabia nchini Marekani kutokana na matamshi yake dhidi ya wapigania ukombozi wa Palestina.
Habari ID: 3473247    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/10

TEHRAN (IQNA) - Kiongozi wa harakati ya Ikhwanul Muslimin ya Sudan amekosoa hatua ya baadhi ya nchi za Kiarabu ya kuanzisha uhusiano rasmi wa kidiplomasia na utawala wa Kizayuni wa Israel na kusema, hatua hiyo ni usaliti kwa kadhia ya Palestina.
Habari ID: 3473243    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/09

TEHRAN (IQNA) – Wasomi wa Kiislamu na wanaharakati katika mirengo kadhaa ya Palestina wamelaani vikali mapatano ya kuanzishwa uhusiano baina ya Israel na baadhi ya nchi za Kiarabu.
Habari ID: 3473238    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/07

TEHRAN (IQNA) – Mrithi wa Ufalme wa Saudi Arabia, Mohammad bin Salman, ameutembelea utawala wa Kizayuni wa Israel mara kadhaa kwa siri, amefichua afisa wa zamani wa usalama katika utawala huo.
Habari ID: 3473237    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/07

TEHRAN (IQNA)- Utawala wa Kizayuni umeamua kujenga maelfu ya nyumba za walowezi wa Kizayuni katika ardhi za Wa palestina unazoendelea kupora huko Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
Habari ID: 3473235    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/06

TEHRAN (IQNA) – Wananchi wa Bahrain wameandamana tena Ijumaa katika mji mkuu Manama na miji mingine kupunga hatua ya utawala wa kifalme nchini humo kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3473228    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/03

TEHRAN (IQNA) – Wanaharakati wa kisiasa nchini Tunisia wametaka Oktoba Mosi itambuliwe nchini humo kama ‘Siku ya Kitaifa ya Kupambana na Uzayuni.’
Habari ID: 3473224    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/02

TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imepinga madai ya afisa mwandamizi wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kuwa eti utawala bandia wa Israel umesitisha upanuzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni baada ya utawala huo kuanzisha uhusiano na nchi mbili za Kiarabu za UAE na Bahrain.
Habari ID: 3473222    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/02

TEHRAN (IQNA) - Jumuiya Kuu ya Fiqhi ya Kiislamu ya Sudan imetoa fatwa ya kuharamishwa kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3473220    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/01

TEHRAN (IQNA) – Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetoa taarifa na kusema jina za utawala wa Kizayuni wa Israel zimechupa mipaka.
Habari ID: 3473219    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/01

TEHRAN (IQNA)- Jumatatu tarehe 28 Septemba, imesafidiana na kutimia miaka 20 tangu kulipotokea Intifadha ya Pili inayojulikana kama Intifadha ya al-Aqswa.
Habari ID: 3473213    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/29

TEHRAN (IQNA)- Chama kikuu cha upinzani cha Bahrain kinachojulikana kama Jumuiya ya Kiislamu ya Al Wifaq kimetangaza kuwa kumefanyika maandamano 150 ya kupinga hatua ya watawala wa nchi hiyo kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3473198    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/23

TEHRAN (IQNA) – Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imeupa utawala haramu wa Israel muhula mwa miezi miwili kuhitimisha mzingiro wake wa miaka 12 dhidi ya Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 3473194    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/22

TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Mambo ya Nje wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amesema kuwa mamlaka hiyo imeamua kusamehe haki yake ya kuwa mwenyekiti wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Arab League.
Habari ID: 3473192    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/22

TEHRAN (IQNA) - Rais Abdelmadjid Tebboune wa Algeria amesisitiza kuwa, nchi yake inapinga vikali hatua zozote zile zenye lengo la kuanzisha uhusiano na utawala vamizi wa Israel unaotenda jinai kila leo dhidi ya wananchi madhulumu wa Palestina.
Habari ID: 3473190    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/21

TEHRAN (IQNA)- Makumi ya walowezi wa Kizayuni wenye misimamo ya kufurutu ada, wakisaidiwa na polisi ya utawala wa Israel, wameuuhujumu Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala huo.
Habari ID: 3473187    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/20

TEHRAN (IQNA) - Mkutano wa 13 wa Baraza la Kimataifa la Mwamko wa Kiislamu umefanyika katika mji mkuu wa Iran, Tehran kwa lengo la kujadil namna nchi kadhaa za Kiarabu zilivyowasaliti Wa palestina kwa kuanzisha uhusiano na utawala dhalimu wa Israel unaokalia ardhi za Palestina kwa mabavu.
Habari ID: 3473177    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/17