Waziri Mkuu wa utawala huo Benjamini Netanyahu na baadhi ya maafisa wa Shirika la Ujasusi la Israel (MOSSAD) wamefanya ziara ya siri kwa wakati mmoja na Mike Pompeo Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani.
Habari ID: 3473385 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/23
TEHRAN (IQNA) - Waziri wa Mambo ya Nje wa Bahrain ameongoza ujumbe wa ngazi za juu wa serikali ya Manama kutembelea utawala haramu wa Israel ambao uko katika ardhi za Palestina ambazo unazikalia kwa mabavu.
Habari ID: 3473373 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/19
TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imelaani vikali utawala wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kutokana na uungaji mkono wake kwa ujenzi wa vitongoji haramu vya walowezi wa Kizayuni katika ardhi za Wa palestina za Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
Habari ID: 3473364 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/16
TEHRAN (IQNA)- Makundi ya kutetea haki za binadamu yameutaka utawala wa Kizayuni wa Israel usitishe hujuma zake za kijeshi dhidi ya Ukanda wa Ghaza na uwalipe fidia wakulima uliowaharibia mashamba yao.
Habari ID: 3473356 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/13
TEHRAN (IQNA) – Afisa mwandamizi wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina, Saeb Erekat ameaga dunia leo baad ya kuumbukizwa corona.
Habari ID: 3473347 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/10
Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imetoa taarifa ikilaani uhalifu unaoendelea kufanywa na jeshi la utawala haramu wa Israel wa kubomoa nyumba na taasisi za Wa palestina katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu.
Habari ID: 3473346 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/10
Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amemtaka rais mteula wa Marekani Joe Biden aufutilie mbali mpango wa Marekani-Wazayuni wa Muamala wa Karne, uliojaa njama na hila kwa madhara ya Wa palestina .
Habari ID: 3473341 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/08
TEHRAN (IQNA)- Shirika moja la kuetea haki za binadamu limesema oparesheni ya hivi karibuni ya utawala haramu wa Israel ya kubomoa nyumba za Wa palestina katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan ni 'maangamizi ya kimbari'.
Habari ID: 3473335 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/06
TEHRAN (IQNA) – Utawala wa Kizayuni wa Israel umempiga marufuku naibu mkurugenzi wa Idara ya Wakfu ya Mji wa Quds (Jerusalem) kuingia katika Msikiti wa Al Aqsa kwa muda wa miezi sita.
Habari ID: 3473330 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/05
TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Ansarullah ya Yemen imesema hatua ya Sudan kuanzisha uhusiano na utawala haramu wa Israel inalenga kudhamini malengo ya utawala huo ambayo ni kuangamiza taifa la Palestina.
Habari ID: 3473294 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/25
TEHRAN (IQNA)- Makundi ya mapambano ya Kiislamu au muqawama yamelaani vikali hatua ya Sudan kuafiki kuanzisha kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel. Wananchi wa Palestina wamekitaja kitendo hicho cha kisaliti kama 'dhambi ya kisiasa.'
Habari ID: 3473290 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/24
TEHRAN (IQNA) -Afisa mmoja wa Sudan ambaye hakutaka jina lake litajwe amedai kuwa muda wa nchi hiyo kuanzisha uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel umekaribia licha ya vyama mbalimbali na wananchi kupinga jambo hilo.
Habari ID: 3473288 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/23
Misikiti katika eneo la Ukanda wa Ghaza katika ardhi za Palestina imesafishwa kwa dawa za kuua virusi kabla ya kufunguliwa baada ya kufungwa kwa miezi miwili ili kuzuia kuenea kirusi cha corona.
Habari ID: 3473283 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/22
Mkuu wa ICRO
TEHRAN (IQNA) - Mkuu wa Shirika la Utamaduni na Uhusiano wa Kiislamu Iran (ICRO) amesema, Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) inapaswa kutekeleza majukumu yake kuhusiana na Fatuwa ambayo imetolewa na wanazuoni wa Kiislamu ya kuharamisha kuanzisha uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3473281 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/21
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Ukuras wa Twitter wa Kiongozi Maudhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu umezungumzia hatua ya baadhi ya nchi za Kiarabu ya kutangaza uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3473280 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/21
TEHRAN (IQNA)- Waziri Mkuu wa Palestina amelaani kitendo cha kuruhusiwa ujumbe wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kuingia ndani ya Msikiti wa al Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) huku Wa palestina wakizuiwa kuswali katika msikiti huo.
Habari ID: 3473279 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/20
TEHRAN (IQNA)- Wananchi wenye hasira nchini Bahrain wameandamana kupinga safari ya ujumbe wa Marekani-Kizayuni katika nchi yao kwa lengo la kutangaza rasmi mapatano ya kuanzishwa uhusiano wa kawaida kati ya Bahrain na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3473276 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/19
TEHRAN (IQNA) - Asilimia 95 ya wananchi wa Bahrain wanapinga hatua ya utawala wa kifalme nchini humo kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3473272 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/18
TEHRAN (IQNA)- Sayyid Ammar Hakim, Kiongozi wa Mrengo wa Kitaifa wa al-Hikma wa Iraq amelaani vikali siasa za baadhi ya mataifa ya Kiarabu katika eneo la Asia Magharibi za kufanya mapatano na utawala haramu wa Israel na kusisitiza kwamba, nchi yake katu haitafanya mapatano na utawala huo ghasibu.
Habari ID: 3473271 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/18
TEHRAN (IQNA) – Makumi ya walowezi wa Kizayuni siku ya Alhamisi waliuhujumu uwanja wa Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) wakiwa wanalindwa na askari wa utawala haramu wa Israel ambapo wametekeleza ibada za Kiyahudi katika eneo hilo takatifu la Waislamu.
Habari ID: 3473265 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/16