Harakati ya Kenya-Palestina
TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mshikamano wa Kenya na Palestina imelaani vikali mapatano yaliyofikiwa baina ya watawala wa Umoja wa Falme za Kiarabu na utawala ghasibu wa Israel chini ya usimamizi wa makundi ya Kizayuni nchini Marekani.
Habari ID: 3473073 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/16
TEHRAN (IQNA)- Wa palestina wameandamana katika Ukanda wa Ghaza na Ukingo wa Magharibi kulaani mapatano ya kuanzishwa uhusiano wa kidiplomasia baina ya utawala wa Kizayuni wa Israel na Umoja wa Falme za Kiarabu.
Habari ID: 3473072 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/16
TEHRAN (IQNA) - Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imelaani hatua ya kuanzishwa uhusiano wa kidiplomasia baina ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE au Imarati) na utawala wa Kizayuni wa Israel na kutaja hatua hiyo kuwa ni ujinga wa kistratijia ambao bila shaka utapelekea kuimarika mhimili wa muqawama na mapambano katika eneo.
Habari ID: 3473066 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/14
TEHRAN (IQNA) - Wa palestina wanaendelea kulaani vikali hatua ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kuanzisha rasmi uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3473065 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/14
TEHRAN (IQNA) – Mwanaharakati maarufu wa kupigania ukombozi wa Palestina ametahadharisha kuhusu njama za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Msikiti wa Al Aqsa ulio katika mji wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala huo.
Habari ID: 3473052 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/10
TEHRAN (IQNA) – Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imetoa wito wa kuanzishwa kamati ya mirengo yote ya Palestina kwa ajili ya kuutetea mji wa Quds Tukufu (Jerusalem) na kuulinda kutokana na hujuma ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3473042 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/07
TEHRAN (IQNA) - Msemaji wa Harakati ya Muqawama ya Palestina (Hamas) amesema kuwa, utawala wa Kizayuni unatekeleza mashambulizi katika Ukanda wa Ghaza lengo likiwa ni kuwahamishia wananchi wa Palestina migogoro ya ndani ya utawala huo na kupotosha fikra za walimwengu kuhusu matukio na hali mbaya ya kisiasa inayoukabili sasa utawala wa Israel.
Habari ID: 3473028 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/03
TEHRAN (IQNA) -Wizara ya Mambo ya Nje ya Palestina imeitaka Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai (ICC) ichukue hatua za haraka za kuchunguza jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel hasa kitendo cha utawala huo kujenga vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu.
Habari ID: 3473024 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/02
TEHRAN (IQNA) - Vijana wa Ki palestina wamekabiliana na walowezi wa Kizayuni waliokuwa wakifanya juhudi za kuvamia na kuingia katika Msikiti wa al-Aqswa.
Habari ID: 3473017 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/31
TEHRAN (IQNA) - Mamia ya Wa palestina wameandamana katika Ukanda wa Ghaza kulaani hatua ya mahakama ya utawala haramu wa Israel kufunga lango la Bab al-Rahma la Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3472977 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/19
TEHRAN (IQNA)- Ripota na mtaalamu wa masuala ya haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa, kuuzingira Ukanda wa Ghaza kunakofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel ni kuwaadhibu kwa umati wananchi wa Palestina.
Habari ID: 3472974 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/18
TEHRAN (IQNA) - Shirika la intaneti la Google limekosolewa vikali watumiaji wa mitandao mbali mbali ya kijamii baada ya kuiondoa "Palestina" katika ramani zake za dunia, na badala yake kupachika jina la "Israel."
Habari ID: 3472970 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/17
TEHRAN (IQNA) - Utawala haramu wa Kizayuni umekusudia kunyakua asilimia 30 zaidi ya ardhi za Palestina za Ufukwe wa Magharibi wa Mto Jordan ilizozivamia na kuanza kuzikalia kwa mabavu mwaka 1967 na kuziunganisha na ardhi zingine ilizozipa jina la Israel, ukiwa ni muendelezo wa malengo yake ya muda mrefu ya kuikalia kwa mabavu Palestina yote.
Habari ID: 3472967 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/16
TEHRAN (IQNA) – Wanajeshi wa Utawala wa Kizayuni wa Israel wamwashambulia na kuwafyatulia risasi Wa palestina ambao walikuwa wanashiriki katika mazishi ya M palestina , Ibrahim Mustafa Abu Yakub.
Habari ID: 3472952 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/12
TEHRAN (IQNA) - M palestina ameuawa shahidi kwa kupigwa risasi na wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
Habari ID: 3472947 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/10
TEHRAN (IQNA) –Mmoja wa viongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amepongeza ujumbe wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran kwa mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Hamas na kusema: “ Ujumbe wa kiongozi wa Iran unaashiria himaya ya kudumu kwa malengo ya Palestina.”
Habari ID: 3472935 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/06
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haitasita hata kidogo katika kuwaunga mkono wananchi madhulumu wa Palestina na kuvunja shari za utawala bandia na ghasibu wa Kizayuni.
Habari ID: 3472933 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/06
TEHRAN (IQNA) – Harakati za kupigania ukombozi wa Palestina za Hamas na Fat'h zimesisitiza kuhusu umoja wa kitaifa za Wa palestina ili kukabiliana na adui mvamizi na ghasibu pamoja, yaani Israel na njama zake ikiwemo ya 'Muamala wa Karne'
Habari ID: 3472925 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/03
TEHRAN (IQNA) - Jumatano Wa palestina walifanya maandamano makubwa dhidi ya utawala haramu wa Israel chini ya anuani ya ‘Siku ya Hasira’ maandamano ambayo yaliungwa mkono kimataifa.
Habari ID: 3472923 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/02
TEHRAN (IQNA) - Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) ametoa mwito wa kuchukuliwa hatua athirifu za kukomesha jinai za utawala haramu wa Israel, hususan mpango wa utawala huo ghasibu wa kupora ardhi zaidi za Wa palestina .
Habari ID: 3472922 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/02