iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA) - Wanaharakati wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) wameanzisha mkakati wa kupinga uhusiano wa nchi yao na utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3473095    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/23

Ayatullah Ahmad Jannati
TEHRAN (IQNA) - Mkuu wa Baraza la Wanazuoni Wanaomchagua Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran amesema kuwa, kuanzisha na kutangaza wazi kuwa na uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel hakutauwezesha utawala huo ghasibu uendelee kubakia.
Habari ID: 3473086    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/20

TEHRAN (IQNA)- Wananchi wa Tunisia waliokuwa na hasira wameandamana nje ya ubalozi wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) mjini Tunis kupinga kuanzishwa uhusiano wa kawaida baina ya UAE na utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3473085    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/19

TEHRAN (IQNA)- Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina Mahmoud Abbas amelaani mapatano ya hivi karibuni yaliyofikiwa ya kuanzisha uhusiano wa kidiplomasia baina ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) na utawala haramu wa Israel na kuyataka kuwa ya kipuuzi na yasiyo na maana kwa Wa palestina .
Habari ID: 3473083    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/19

TEHRAN (IQNA) - Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imesema kuwa hatua ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kumtia tena mbaroni kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Palestina ina lengo la kuwafutilia mbali walinzi wa Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3473077    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/17

Harakati ya Kenya-Palestina
TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mshikamano wa Kenya na Palestina imelaani vikali mapatano yaliyofikiwa baina ya watawala wa Umoja wa Falme za Kiarabu na utawala ghasibu wa Israel chini ya usimamizi wa makundi ya Kizayuni nchini Marekani.
Habari ID: 3473073    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/16

TEHRAN (IQNA)- Wa palestina wameandamana katika Ukanda wa Ghaza na Ukingo wa Magharibi kulaani mapatano ya kuanzishwa uhusiano wa kidiplomasia baina ya utawala wa Kizayuni wa Israel na Umoja wa Falme za Kiarabu.
Habari ID: 3473072    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/16

TEHRAN (IQNA) - Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imelaani hatua ya kuanzishwa uhusiano wa kidiplomasia baina ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE au Imarati) na utawala wa Kizayuni wa Israel na kutaja hatua hiyo kuwa ni ujinga wa kistratijia ambao bila shaka utapelekea kuimarika mhimili wa muqawama na mapambano katika eneo.
Habari ID: 3473066    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/14

TEHRAN (IQNA) - Wa palestina wanaendelea kulaani vikali hatua ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kuanzisha rasmi uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3473065    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/14

TEHRAN (IQNA) – Mwanaharakati maarufu wa kupigania ukombozi wa Palestina ametahadharisha kuhusu njama za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Msikiti wa Al Aqsa ulio katika mji wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala huo.
Habari ID: 3473052    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/10

TEHRAN (IQNA) – Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imetoa wito wa kuanzishwa kamati ya mirengo yote ya Palestina kwa ajili ya kuutetea mji wa Quds Tukufu (Jerusalem) na kuulinda kutokana na hujuma ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3473042    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/07

TEHRAN (IQNA) - Msemaji wa Harakati ya Muqawama ya Palestina (Hamas) amesema kuwa, utawala wa Kizayuni unatekeleza mashambulizi katika Ukanda wa Ghaza lengo likiwa ni kuwahamishia wananchi wa Palestina migogoro ya ndani ya utawala huo na kupotosha fikra za walimwengu kuhusu matukio na hali mbaya ya kisiasa inayoukabili sasa utawala wa Israel.
Habari ID: 3473028    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/03

TEHRAN (IQNA) -Wizara ya Mambo ya Nje ya Palestina imeitaka Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai (ICC) ichukue hatua za haraka za kuchunguza jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel hasa kitendo cha utawala huo kujenga vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu.
Habari ID: 3473024    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/02

TEHRAN (IQNA) - Vijana wa Ki palestina wamekabiliana na walowezi wa Kizayuni waliokuwa wakifanya juhudi za kuvamia na kuingia katika Msikiti wa al-Aqswa.
Habari ID: 3473017    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/31

TEHRAN (IQNA) - Mamia ya Wa palestina wameandamana katika Ukanda wa Ghaza kulaani hatua ya mahakama ya utawala haramu wa Israel kufunga lango la Bab al-Rahma la Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3472977    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/19

TEHRAN (IQNA)- Ripota na mtaalamu wa masuala ya haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa, kuuzingira Ukanda wa Ghaza kunakofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel ni kuwaadhibu kwa umati wananchi wa Palestina.
Habari ID: 3472974    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/18

TEHRAN (IQNA) - Shirika la intaneti la Google limekosolewa vikali watumiaji wa mitandao mbali mbali ya kijamii baada ya kuiondoa "Palestina" katika ramani zake za dunia, na badala yake kupachika jina la "Israel."
Habari ID: 3472970    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/17

TEHRAN (IQNA) - Utawala haramu wa Kizayuni umekusudia kunyakua asilimia 30 zaidi ya ardhi za Palestina za Ufukwe wa Magharibi wa Mto Jordan ilizozivamia na kuanza kuzikalia kwa mabavu mwaka 1967 na kuziunganisha na ardhi zingine ilizozipa jina la Israel, ukiwa ni muendelezo wa malengo yake ya muda mrefu ya kuikalia kwa mabavu Palestina yote.
Habari ID: 3472967    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/16

TEHRAN (IQNA) – Wanajeshi wa Utawala wa Kizayuni wa Israel wamwashambulia na kuwafyatulia risasi Wa palestina ambao walikuwa wanashiriki katika mazishi ya M palestina , Ibrahim Mustafa Abu Yakub.
Habari ID: 3472952    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/12

TEHRAN (IQNA) - M palestina ameuawa shahidi kwa kupigwa risasi na wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
Habari ID: 3472947    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/10