iqna

IQNA

IQNA – Mkuu wa Shirika la Iran la Utamaduni na Mahusiano ya Kiislamu amepongeza juhudi za utafiti wa Quran zinazofanywa na Taasisi ya Ibn Sina nchini Russia.
Habari ID: 3480693    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/16

IQNA- Mkuu wa Shirika la Iran la Utamaduni na Mahusiano ya Kiislamu (ICRO) amesema kuwa mazungumzo kati ya nchi za Kiislamu ni hitaji lisiloweza kuepukika katika kutatua changamoto za msingi za ubinadamu.
Habari ID: 3480688    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/15

IQNA – Mkuu wa Shirika la Iran Utamaduni na Uhusiano wa Kiislamu (ICRO) ametaja diplomasia ya Qur'ani kama chombo kikuu cha kuleta Ummah Wahida (Ummah wa Kiislamu ulioungana). 
Habari ID: 3480588    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/24

Mazungumzo
IQNA-Mkuu wa Shirika la Iran Utamaduni na Uhusiano wa Kiislamu (ICRO) na waziri wa utamaduni wa Croatia wanesisitiza umuhimu wa kuendeleza mazungumzo ya dini mbalimbali kati ya Iran na Croatia.
Habari ID: 3479712    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/06

Diplomasia ya Qur'ani
IQNA - Kongamano lijalo la Risalatallah linalenga kueneza mafundisho ya Qur'ani Tukufu duniani, amesema mwanazuoni mwandamizi wa Kiislamu.
Habari ID: 3479592    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/14

Harakati za Qur'ani
IQNA – Bunge la Qur’ani la Ulimwengu wa Kiislamu, ambalo kuanzishwa kwake kulipendekezwa na mkuu wa Jumuiya ya Utamaduni na Mahusiano ya Kiislamu (ICRO) wiki iliyopita, linalenga kukuza ukaribu wa Kiislamu.
Habari ID: 3479484    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/24

Harakati za Qur'ani
IQNA – Kituo cha Hikmat (hekima) cha Dar-ul-Quran kilizinduliwa huko Pretoria, mji mkuu wa kiserikali nchini Afrika Kusini.
Habari ID: 3479406    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/09

IQNA - Waziri wa zamani wa utamaduni wa Tunisia alibainisha kuwa Tafsiri ya Qur’ani ya Sheikh Muhammad al-Ṭahir ibn Ashur (1879-1973) ilikuwa ni tafsiri ya kwanza ya Qur’ani nzima katika eneo la Kiarabu la Maghreb.
Habari ID: 3478164    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/07

Watetezi wa Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) - Mkuu wa Shirika la Utamaduni na Mawasiliano la Kiislamu la Iran (ICRO) ameyataja matukio ya hivi karibuni ya uchomaji moto wa Qur'ani barani Ulaya kuwa ni hatua ambazo zina mizizi ya Kizayuni.
Habari ID: 3477409    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/10

Uislamu na Ukristo
TEHRAN (IQNA) – Mazungumzo ya kidini kati ya Uislamu na Ukristo yanapangwa kufanyika nchini Zimbabwe wiki ijayo.
Habari ID: 3476584    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/19

Arbaeen ya Imam Hussein AS
TEHRAN (IQNA) – Washindi wa toleo la 8 la Tuzo la Kimataifa la Arbaeen walitangazwa na kutunukiwa katika sherehe hapa Tehran siku ya Jumatatu.
Habari ID: 3476523    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/06

Mkuu wa ICRO katika mkutano na Askofu wa Armenia
TEHRAN (IQNA) – Mkuu wa Shirika la Utamaduni na Mahusiano ya Kiislamu Iran (ICRO) anasema moja ya majukumu ya pamoja ya Uislamu na Ukristo ni kukuza nafasi ya dini katika maisha ya watu binafsi.
Habari ID: 3475707    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/30

Umoja wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Mkuu wa Shirika la Iran la Utamaduni na Uhusiano wa Kiislamu (ICRO) amesema ustaarabu mpya wa Kiislamu unaweza kupatikana tu kupitia umoja wa Waislamu.
Habari ID: 3475302    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/27

TEHRAN (IQNA)- Warsh ya kujadili 'Hali ya Qiraa na Tajwid ya Qur'ani Tukufu Barani Afrika' imepangwa kufanyika wiki ijayo kwa njia ya intaneti.
Habari ID: 3474600    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/25

Kikao cha Kazakhstan chabaini
TEHRAN (IQNA)- Washiriki wa kikao kimoja cha kidini nchini Kazakhstan wametaja chuki dhidi ya Uislamu kuwa moja ya vizingiti vikubwa katika kufikiwa amani duniani.
Habari ID: 3474401    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/09

Mkuu wa ICRO
TEHRAN (IQNA) - Mkuu wa Shirika la Utamaduni na Uhusiano wa Kiislamu Iran (ICRO) amesema, Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) inapaswa kutekeleza majukumu yake kuhusiana na Fatuwa ambayo imetolewa na wanazuoni wa Kiislamu ya kuharamisha kuanzisha uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3473281    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/21

TEHRAN (IQNA)-Kongamano la kimataifa la miujiza ya Qur'ani Tukufu limefanyika hivi karibuni katika mji mkuu wa Iraq, Baghadad.
Habari ID: 3471845    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/02/18

IQNA-Warsha ya pili ya kieneo ya mazungumzo baina ya dini imefanyika nchini Zimbabwe kwa himaya ya Mwambata wa Utamaduni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini humo.
Habari ID: 3470631    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/23

Kongamano la kimataifa la "Uislamu, Rehema kwa Dunia" litafanyika Jakarta, Indonesia kuanzia Oktoba 13-16.
Habari ID: 3360473    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/08