iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA) – Bunge la Seneti nchini India limepitisha muswada wa sheria ambayo inawapa uraia wahajiri kutoka Pakistan, Bangladesh na Afghanistan lakini kwa sharti kuwa wasiwe Waislamu.
Habari ID: 3472272    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/12

Rais Hassan Rouhani
TEHRAN (IQNA) Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amebainisha kuwa serikali ya Iran haijaghafilika hata kidogo katika kuvuruga njama za adui na vikwazo. Ameongeza kuwa, Iran itasambaratisha njama hizo za maadui kwa njia mbalimbali kukiwemo kuzidisha uzalishaji wa ndani na kufanya mazungumzo.
Habari ID: 3472271    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/11

TEHRAN (IQNA)- Mkutano wa 15 wa Kimataifa wa Sayansi za Fiqhi umefanyika hivi karibuni katika mji mkuu wa Oman, Muscat ambapo mada kuu ilikuwa ni kuhusu maji.
Habari ID: 3472270    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/11

TEHRAN (IQNA) – Misikiti katika jimbo la Ohio nchini Marekani imetanga siku maalumu ambapo wasiokuwa Waislamu wamekaribishwa ili kupata kuufahamu Uislamu zaidi.
Habari ID: 3472269    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/11

TEHRAN (IQNA) – Mkutano wa sita wa kila mwaka wa Jukwaa la Kustawisha Amani Katika Jamii za Waislamu umefanyika katika Umoja wa Falme za Kiarabu.
Habari ID: 3472267    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/10

TEHRAN (IQNA) – Mahakama nchini Algeria imewahukumu vifungo vya muda mrefu jela mawaziri wakuu wawili wa zamani wa nchi hiyo baada ya kupatikana na hatia ya kuhusika na ufisadi na ubadhirifu wa mali ya umma.
Habari ID: 3472266    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/10

TEHRAN (IQNA) Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu (ICJ) imeanza kusikiliza kesi kuhusu mauaji ya kimbari ya Waislamu wa Myanmar kufuatia shtaka ambalo limewasilishwa na Gambia.
Habari ID: 3472265    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/10

TEHRAN (IQNA) - Mkuu wa Shirika la Hija na Ziyara la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran leo ameelekea Saudi Arabia kufuatia mwaliko rasmi wa Waziri wa Hija na Umrah wa nchi hiyo.
Habari ID: 3472261    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/08

Mgombea urais nchini Algeria amesema wote waliohifadhi Qur'ani Tukufu kikamilifu nchini humo watatunukiwa Shahada (digrii) ya Kwanza.
Habari ID: 3472260    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/07

TEHRAN (IQNA)- Mahakama Kuu ya jimbo la Kaduna nchini Nigeria imetoa hukumu ya kupelekwa Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria, Sheikh Ibrahim Zakzaky na mkewe katika jela kuu ya jimbo la Kaduna kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.
Habari ID: 3472259    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/06

TEHRAN (IQNA- Imam Hasan al Askari AS ni Imam wa 11 wa Waislamu wa Madhehebu ya Shia na alizaliwa mwaka 232 Hijria mwezi 8 Mfunguo Saba Rabiuth Thani katika mji mtakatifu wa Madina.
Habari ID: 3472258    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/05

TEHRAN (IQNA) - Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imeitaja tetesi iliyoenea katika vyombo vya habari vya Kizayuni kuhusu jitihada za utawala huo za kufikia makubaliano ya usitishaji vita ya muda mrefu na Ukanda wa Ghaza kuwa ni propaganda za uchaguzi.
Habari ID: 3472257    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/05

Kamanda Mkuu wa IRGC
TEHRAN (IQNA)- Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) mezungumzia mwamko na muono wa mbali wa wananchi wa Iran katika matukio ya hivi karibuni humu nchini na kusisitiza kuwa, wiki zilizopita, wananchi wa Iran walitoa pigo jingine kubwa kwa mabeberu hususan Marekani.
Habari ID: 3472256    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/04

TEHRAN (IQNA) –Harakati ya Kiislamu Nigeria (INM) imesema hatua ya serikali ya nchi hiyo kuendelea kumshikilia Sheikh Ibrahim Zakzaky na mke wake ni ukiukwaji wa wazi wa sharia.
Habari ID: 3472255    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/04

TEHRAN (IQNA)- Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa Ulaya na Marekani hazina azma ya kurejesha amani huko Yemen bali pande hizo zinafuatilia kuuza silaha zao.
Habari ID: 3472254    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/03

TEHRAN (IQNA) – Washindi wa Duru ya 26 ya Mashindano ya Qur'ani ya Sheikh Jassim bin Mohammed bin Thani nchini Qatar wametunukiwa zawadi katika hafla iliyofanyika Jumatatu.
Habari ID: 3472253    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/03

TEHRAN (IQNA)- Rais Frank-Walter Steinmeier wa Ujerumani Jumatatu ametembelea msikiti katika mji wa Penzberg na kutoa wito wa kuwepo hali ya kuheshimiana baina ya wafuasi wa dini mbali mbali.
Habari ID: 3472252    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/03

TEHRAN (IQNA) – Adhana imesikika kwa mara ya kwanza katika msikiti mmoja mkongwe nchini kaskazini mwa Macedonia kwa mara ya kwanza baada ya miaka 107.
Habari ID: 3472251    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/02

TEHRAN (IQNA) Bunge la Iraq lililokutana kwa kikao cha dharura kilichofanyika Jumapili limeukubali uamuzi uliochukuliwa na Waziri Mkuu wa nchi hiyo Adil Abdul-Mahdi wa kujiuzulu wadhifa wake huo.
Habari ID: 3472250    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/02

TEHRAN (IQNA) – Timu ya watu 40 wakiwemo wakalimani na wanazuoni wa Uislamu wanatazamiwa kuanza kuandika tarjumi mpya ya Qur'ani Tukufu kwa lugha ya Kirussia.
Habari ID: 3472249    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/02