TEHRAN (IQNA)-Kituo cha Utamaduni cha Iran nchini Senegal kimetangaza utayarifu wake katika kuisaidia nchi hiyo kuimarisha shule au Madrassah za Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3471589 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/07/10
TEHRAN (IQNA)-Binti Aisha Nikuze amekuwa msichana wa kwanza kufika katika fainali ya Mashindano ya 7 Kimataifa ya Qur'ani ya Rwanda yaliyofanyika mwezi uliopita.
Habari ID: 3471588 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/07/09
TEHRAN (IQNA)- Afisa wa ngazi za juu wa masuala ya Hija katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa wito kwa wale waliopanga kutekeleza ibada ya Hija wajitayarishe kikamilifu ili wanufaike kikamilifu na fursa hii nadra katika maisha ya Mwislamu.
Habari ID: 3471587 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/07/08
TEHRAN (IQNA) – Serikali ya Australia imemkamata Kasisi wa Kanisa la Baptist ambaye amekuwa akiwakera Waislamu katika misikiti miwili mjini Brisbane.
Habari ID: 3471586 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/07/07
TEHRAN (IQNA)- Mashindano ya 15 ya Qur'ani ya watoto na mabarobaro yamefanyika mjini Hamburg nchini Ujerumani wiki hii.
Habari ID: 3471585 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/07/06
Ayatullah Ahmad Jannati
TEHRAN (IQNA)-Katibu wa Baraza la Kulinda Katiba ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, uungaji mkono wa Marekani kwa jinai za utawala wa Saudi Arabia dhidi ya wananchi wasio na ulinzi wa Yemen ni nembo ya wazi ya haki za binadamu za 'Shetani Mkubwa' yaani Marekani.
Habari ID: 3471584 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/07/05
TEHRAN (IQNA)- Video imesambaa katika mitandao ya kijamii inayomuonyesha Imamu wa Msikiti wa Makka nchini Saudia, Sheikh Abdul Raham al-Sudais akikosolewa vikali nchini Uswisi kutokana na sera za Saudia za kuihujumu Yemen na kuiwekea Qatar mzingiro.
Habari ID: 3471583 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/07/04
TEHRAN (IQNA)-Hafidh wa Qur’ani mwenye ulemavu wa macho amesema kuhifadhi Qur’ani Tukufu huwasaidia wenye ulemavu wa macho kuishi maisha mazuri.
Habari ID: 3471582 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/07/04
TEHRAN (IQNA)-Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ametembelea kambi ya wakimbizi Waislamu wa jamii ya Rohingya huko Cox’s Bazar nchini Bangladesh na kusema alichoshuhudia kinamkumbusha wajukuu zake.
Habari ID: 3471581 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/07/03
TEHRAN (IQNA)-Magaidi wakufurishaji wa Boko Haram wameua askari kumi wa Niger katika hujuma kusini mashariki mwa nchi, karibu na mpaka na Nigeria.
Habari ID: 3471580 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/07/02
TEHRAN (IQNA)- Mtoto mwenye umri wa miaka mitano nchini Nigeria amefanikiwa kuhifadhi Qur'ani Tukufu kikamilifu na hivi karibuni alishika nafasi ya pili katika mashindano ya kimataifa ya Qur'ani nchini Saudi Arabia.
Habari ID: 3471579 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/07/01
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa harakati ya mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon ameipongeza Malaysia kwa kuondoa askari wake katika muungano wa kijeshi unoongozwa na Saudia ambao umekuwa ukiwashambulia wananchi wasio na ulinzi Yemen tokea mwaka 2015.
Habari ID: 3471577 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/06/30
TEHRAN (IQNA)-Serikali ya Malta imeanzisha bodi ya kitaifa kwa lengo la kustawisha mfumo wa Kiislamu wa kifedha ambapo sheria mpya zitatungwa kuwavutia wawekezaji Waislamu nchini humo.
Habari ID: 3471576 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/06/29
TEHRAN (IQNA)-Waislamu Marekani wamelaani uamuzi wa Mahakama ya Kilele nchini humo kuunga mkono marufuku kuingia nchini humo wasafiri kutoka nchi tano za Waislamu huku wakisema uamuzi huo utawaathiri vibaya.
Habari ID: 3471575 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/06/28
TEHRAN (IQNA)- Baraza Kuu la Kiislamu la Algeria limepongeza fatua iliyotolewa na Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran, Ayatullah Ali Khamenei inayoharamisha kuwavunjia heshima masahaba wa Mtume SAW na ulazima wa kulinda heshima ya wake wa mtukufu huyo.
Habari ID: 3471574 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/06/27
TEHRAN (IQNA)- Mashindano ya 7 Kimataifa ya Kuhifadhi Qur'ani ya Rwanda yamemalizika Jumamosi ambapo mshindi alikuwa Maazu Ibrahim Muadh wa Niger ambaye aliwashinda washiriki 42 kutoka nchi 17 za Afrika.
Habari ID: 3471572 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/06/25
TEHRAN (IQNA) - Mwanazuoni wa ngazi za juu nchini Iran amesema migogoro katika nchi za Kiislamu inatokana na njama za madola ya kibeberu na pia Waislamu kupuuza maamurisho ya Qur'ani Tukufu kuhusu umoja.
Habari ID: 3471571 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/06/24
TEHRAN (IQNA)- Kongamano la 'Zawadi ya Mtume wa Rahma SAW' limepangwa kufanyika 30 Agosti mwaka huu kwa ushirikiano wa Baraza Kuu la Waislamu Uganda na Shirika la Utangazaji la Uganda, UBC.
Habari ID: 3471570 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/06/24
Katika kutetea timu ya taifa iliyosoma Al Fatiha kabla ya mechi
TEHRAN (IQNA)- Dhakir Lahidhab ni daktari mpasuaji ambaye Mtunisia ambaye katika kuwajibu wale waliokosoa hatua ya timu ya taifa ya soka ya nchi hiyo kusoma aya za Qur'ani kabla ya mechi na Uingereza katika Kombe la Dunia amesema binafsi husoma Qur'ani kabla ya kila oparesheni ya upasuaji.
Habari ID: 3471569 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/06/23
TEHRAN (IQNA)-Wizara ya Wakfu na Masuala ya Kiislamu Jordan imetangaza mpango wa kuzindua vituo 50 vya kuhifadhi Qur'ani katika mkoa wa Karak nchini humo.
Habari ID: 3471568 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/06/22