TEHRAN (IQNA)-Duru ya 26 ya Maonyesho ya 26 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu yamefunguliwa Jumamosi jioni.
Habari ID: 3471523 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/20
TEHRAN (IQNA)- Duru ya 25 ya Mashidano ya Qur’ani ya Watoto wa kike na kiume yameanza nchini Qatar Mei 18.
Habari ID: 3471522 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/20
Rais Hassan Rouhani wa Iran
TEHRAN (IQNA)-Rais Hassan Rouhani wa Iran ametoa wito kwa nchi za Kiislamu na mataifa mengine duniani kukata uhusiano wao kikamilifu na utawala haramu wa Israel na kuangalia upya uhusiano na Marekani kama njia ya kujibu sera hasimu za tawala hizo mbili dhidi ya watu wa Palestina.
Habari ID: 3471521 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/19
TEHRAN (IQNA)- Chuo Kikuu cha Al Azhar nchini Misri kinapanga mashindano ya Qur'ani maalumu kwa wanachuo wa kigeni chuoni hapo.
Habari ID: 3471519 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/19
TEHRAN (IQNA)- Mahafali ya kuhitumu wanafunzi 200 waliohifadhi Qur'ani Tukufu kikamilifu yamefanyika katika Kituo cha Kufunza Kiarabu na Sayansi za Kiislamu nchini Mauritania.
Habari ID: 3471517 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/17
TEHRAN (IQNA)- Viongozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wamewatumia Waislamu na viongozi wa nchi za Kiislamu duniani salamu za kheri na fanaka kwa munasaba wa kuwadia Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3471516 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/17
TEHRAN (IQNA) -Utawala dhalimu wa Israel umewaua kwa umati Wapalestina sambamba na hatua iliyo kinyume cha sheria za kufunguliwa ubalozi wa utawala wa Marekani katika mji wa Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3471515 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/16
TEHRAN (IQNA)- Taasisi katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) imeandaa mashindano ya Tarteel ya Qur'ani Tukufu katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani maalumu kwa waliosilimu.
Habari ID: 3471514 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/15
TEHRAN (IQNA) – Maonyesho ya 36 ya Kimataifa ya Qur'ani ambayo hufanyika katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani yamepangwa kuanza Mei 19.
Habari ID: 3471513 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/14
TEHRAN (IQNA)- Wapalestina wasiopungua 54 wameuawa shahidi baada ya kufyatuliwa risasi na wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 3471512 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/14
TEHRAN (IQNA) – Idadi ya Waislamu barani Ulaya inatazamiwa kupanda na kufika asilimia 8 na asilimia 2.1 nchini Marekani ifikapo mwaka 2030, imesema ripoti ya Global Muslim Diaspora.
Habari ID: 3471511 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/13
KUALA LUMPUR (IQNA) – Washindi wa Mashindano ya 60 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Malaysia wametangazwa leo Jumapili
Habari ID: 3471510 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/13
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, harakati ya elimu katika Ulimwengu wa Kiislamu inapaswa kuwa na kasi kubwa na kwa mara nyingine tena Umma wa Kiislamu ufikie kilele cha nguvu za kielimu na kiustaarabu ili maadui wa Uislamu wakiwemo Wamarekani washindwe kutoa amri kwa marais wa nchi za Kiislamu kwa kuwaambia fanyeni hili na msifanye lile.
Habari ID: 3471509 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/12
TEHRAN (IQNA)- Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali hujuma iliyopelekea kuuawa muumini katika msikiti ulio karibu na mji wa Durban nchini Afrika Kusini.
Habari ID: 3471507 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/12
TEHRAN (IQNA)- Mahakama ya Leba mjini Berlin, Ujerumani imesema baraza la mji lina haki ya kumzuia mwalimu Mwislamu kuvaa Hijabu na hivyo kutupilia mbali malalamiko yake ya kubaguliwa.
Habari ID: 3471505 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/11
TEHRAN (IQNA)-Mkutano wa kimataifa wa kujadili changamoto za jamii za Waislamu waliowachache katika nchi zisizo za Kiislamu umefanyika.
Habari ID: 3471504 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/10
TEHRAN (IQNA)-Baraza la Mahusiano ya Kiislamu nchini Marekani (CAIR) limetoa wito kwa Waislamu kote Marekani kuchukua tahadhari katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani mwaka huu.
Habari ID: 3471503 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/09
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameashiria baadhi ya matamshi kuhusu Iran kuendelea kuwepo katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA na nchi tatu za Ulaya na kusisitiza kuwa: "Kuhusu kufanya mazungumzo na nchi tatu za Ulaya, haipaswi kuziamiani na katika kila mapatano lazima kuwepo dhamana ya kweli na ya kivitendo la sivyo haiwezekani kuendelea kwa hali iliyopo."
Habari ID: 3471502 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/09
KUALA LUMPUR (IQNA)- Mashindano ya 60 ya Kimataifa ya Kuhifadhi na Kusoma Qur'ani Tukufu ya Malaysia yameanza Jumatatu katika mji mkuu wa nchi hiyo ya Kiislamu kusini mashariki mwa Asia.
Habari ID: 3471501 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/08
TEHRAN (IQNA)-Wizara ya Wakfu na Masuala ya Kidini Oman imetangza kuwa Mei 17 itakuwa siku ya kwanza ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani mwaka huu.
Habari ID: 3471500 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/07