Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa: Tatizo la utawala wa Kizayuni wa Israel ni kuwa hauna uhalali, ni utawala ambao msingi wa uundwaji wake ni batili, kwa taufiki yake Mwenyezi Mungu na kwa hima ya mataifa ya Waislamu, utawala huo kwa yakini utaangamia."
Habari ID: 3471560 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/06/15
TEHRAN (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewatumia mkono wa Idi viongozi wa nchi za Kiislamu na Waislamu wote kwa mnasaba wa sikukuu ya Idul Fitr.
Habari ID: 3471559 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/06/15
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema hatima ya Palestina inapaswa kuamuliwa na Wapalestina wenyewe kupitia kura ya maoni yenye kuwajumuisha Wapalestina Waislamu, Wakristo na Mayahudi ambao wana asili na waliishi katika ardhi ya jadi ya Palestina.
Habari ID: 3471553 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/06/11
Rais Hassan Rouhani wa Iran
TEHRAN (IQNA)- Rais Hassan Rouhani amesema: Siku ya Quds ni siku ya kihistoria ya kupaza mayowe dhidi ya madhalimu na kulihami taifa linalodhulumiwa ambalo kwa muda wote wa miaka 70, watu wake wamehamishwa kidhulma kwenye nyumba na makazi yao.
Habari ID: 3471546 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/06/07
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyed Ali Khamenei amesema kuwa ndoto waliyo nayo maadui kuhusu mapatano ya nyuklia ya Iran yanayojulikana kama JCPOA kamwe haitotimia.
Habari ID: 3471543 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/06/04
Rais Hassan Rouhani wa Iran
TEHRAN (IQNA)-Rais Hassan Rouhani wa Iran ametoa wito kwa nchi za Kiislamu na mataifa mengine duniani kukata uhusiano wao kikamilifu na utawala haramu wa Israel na kuangalia upya uhusiano na Marekani kama njia ya kujibu sera hasimu za tawala hizo mbili dhidi ya watu wa Palestina.
Habari ID: 3471521 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/19
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, moja ya mahitaji muhimu na ya lazima ya umma wa Kiislamu hii leo, ni udharura wa kushikamana na Qur'an Tukufu na kuifanyia kazi.
Habari ID: 3471518 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/18
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameashiria baadhi ya matamshi kuhusu Iran kuendelea kuwepo katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA na nchi tatu za Ulaya na kusisitiza kuwa: "Kuhusu kufanya mazungumzo na nchi tatu za Ulaya, haipaswi kuziamiani na katika kila mapatano lazima kuwepo dhamana ya kweli na ya kivitendo la sivyo haiwezekani kuendelea kwa hali iliyopo."
Habari ID: 3471502 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/09
TEHRAN (IQNA)- Mashindano ya Qur’ani ya kimataifa yanayofanyika kwa njia ya moja kwa moja kupitia Televisheni ya Al Kauthar ya Iran yamepangwa katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani siku chache zijazo.
Habari ID: 3471494 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/05
Mjini Mashhad kaskazini mashariki mwa Iran
TEHRAN (IQNA)- Mashindano ya Sita ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Wanachuo Waislamu yameanza katika mji wa Mashhad kaskazini mashariki mwa Iran.
Habari ID: 3471485 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/04/27
TEHRAN (IQNA)-Binti Mtanzania, Ashura Amani Lilanga, ameshika nafasi tatu katika Mashindano ya Tatu Kimataifa ya Qur’ani ya Wanawake katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3471482 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/04/26
TEHRAN (IQNA)-Mashindano ya 35 ya Kimataifa ya Kusoma na Kuhifadhi Qur’ani Tukufu ya Iran yamemalizika rasmi Jumatano kwa kutunukiwa zawadi washindi.
Habari ID: 3471481 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/04/25
TEHRAN (IQNA)- Jopo la majaji katika Mashindano ya 35 ya Kimatiafa ya Qur'ani ya Iran limetangaza majina ya waliofika fainali katika kategoria wanaume waliohifadhi Qur'ani kikamifliu katika mashindano hayo.
Habari ID: 3471478 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/04/23
TEHRAN (IQNA)-Kitengo cha wanawake katika Mashindano ya 35 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Irna kimefunguliwa Jumamosi.
Habari ID: 3471476 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/04/22
TEHRAN (IQNA)-Mashindano ya Kimataifa ya 35 ya Qur'ani Tukufu yamefunguliwa rasmi leo Alhamisi mjini Tehran yakiwashirikisha wawakilishi wa nchi 84 kutoka maeneo yote ya dunia.
Habari ID: 3471472 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/04/19
TEHRAN (IQNA)- Kanali ya Televisheni ya Qur'ani ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran itarusha mubashara au moja kwa moja Mashindano ya 35 ya Kimataifa ya Qur'ani yanayoanza Alhamisi hii mjini Tehran.
Habari ID: 3471471 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/04/19
TEHRAN (IQNA)-Nchi 23 zimetangaza azma ya kushiriki katika Mashindano ya 35 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran baadaye mwezi huu.
Habari ID: 3471455 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/04/06
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametilia mkazo msimamo wa daima wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wa kuiunga mkono kikamilifu Palestina na wapiga jihadi wake na kusema kuwa, tiba ya kadhia ya Palestina ni kuimarisha mrengo wa mapambano na muqawama katika Ulimwengu wa Kiislamu na kuzidisha mapambano dhidi ya utawala ghasibu wa Israel na waungaji mkono wake.
Habari ID: 3471454 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/04/05
TEHRAN (IQNA)- Nusu Fainali ya Mashindano ya Sita ya Kimataifa ya Qur'ani ya Wanafunzi wa Vyuo Vikuu imemalizika.
Habari ID: 3471445 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/03/27
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, katika miaka iliyopita, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeweza kupeperusha bendera ya izza, heshima na uwezo wa kitaifa katika eneo la Asia Magharibi na imekuwa na nafasi muhimu mno katika kuwasambaratisha wakufurishaji na kuleta amani na usalama.
Habari ID: 3471438 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/03/21