Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran akihutubu katika mkutano wa 75 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa
TEHRAN (IQNA) - Rais Hassan Rouhani amesema: "Marekani haiwezi kutulazimisha kufanya mazungumzo wala kuanzisha vita dhidi yetu" na akasisitiza kwamba, sasa ni wakati wa walimwengu kusema "la" kwa ubabe na utumiaji mabavu.
Habari ID: 3473196 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/23
TEHRAN (IQNA)- Marekani imefedheheka duniani baada ya kushindwa katika jitihada zake za kulishawishi Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa urefusha muda wa vikwazo vya silaha dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3473069 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/15
Waziri Mkuu wa Yemen
TEHRAN (IQNA) - Waziri Mkuu wa Serikali ya Uwokozi wa Kitaifa ya Yemen amekosoa hatua ya Umoja wa Mataifa ya kuiondoa Saudi Arabia katika orodha ya wauaji wa watoto.
Habari ID: 3473060 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/12
Afisa wa Umoja wa Mataifa
TEHRAN (IQNA) – Mkuu wa taasisi ya Umoja wa Mataifa inayochunguza jinai dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya nchini Myanmar amesema Shirika la Facebook limekataa kutoa ushahidi wa jinai za kimataifa hata baada ya kuahidi kushirikiana kuhusu katika kadhia hiyo.
Habari ID: 3473058 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/11
TEHRAN (IQNA)- Mashirika ya kutetea haki za binadamu yamemjia juu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres kwa kuuondoa muungano vamizi wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia katika orodha ya makundi yanayokanyaga haki za watoto.
Habari ID: 3472870 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/16
Balozi wa Syria katika Umoja wa Mataifa
TEHRAN (IQNA)- Balozi na mwakilishi wa kudumu wa Syria katika Umoja wa Mataifa amesema, ugaidi unaolenga siha za watu ni hatua mpya ya upande mmoja ya Marekani ambayo imeyaweka hatarini maisha ya watu bilioni mbili duniani.
Habari ID: 3472755 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/11
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran katika barua kwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa
TEHRAN (IQNA) -Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemwandikia barua ya pili Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusiana na kujiondoa kinyume cha sheria Marekani katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, vikwazo vya upande mmoja ilivyoiwekea Iran na ukiukaji mkubwa na wa mara kwa mara inaofanya wa Hati ya Umoja wa Mataifa.
Habari ID: 3472754 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/10
TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ameweka bayana dhimira ya Umoja wa Mataifa ya kutaka kuvishinda vita dhidi ya janga la virusi vya corona au COVID-19 kwa kujikita na mambo matatu muhimu ambayo ni kufikia usitishwaji wa uhasama kimataifa, kuwasaidia wale wasiojiweza na kujiandaa kujikwamua kiuchumi na kijamii kutoka kwenye janga hili.
Habari ID: 3472723 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/01
TEHRAN (IQNA) - Balozi wa Syria katika Umoja wa Mataifa amesema Baraza la Usalama la umoja huo limefeli kuushinikiza utawala wa Kizayuni wa Israel utekeleza maazimio ya baraza hilo kuhusu Palestina na Syria.
Habari ID: 3472699 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/24
TEHRAN (IQNA) - Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limepasisha azimio lake la kwanza kuhusu vita dhidi ya ugonjwa wa COVID-19 au corona ambapo limetoa wito wa kuweko ushirikiano wa kimataifa kwa ajili ya kukabiliana na ugonjwa huo hatari.
Habari ID: 3472629 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/03
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa
TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametahadharisha kuwa maambukizi ya sasa ya virusi vya corona ndiyo mgogoro mkubwa zaidi duniani tangu baada ya Vita Vikuu vya Pili vya Dunia.
Habari ID: 3472624 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/01
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametuma salamu za kheri na fanaka kwa munasaba wa kuwadia siku kuu ya Nowruz (Nairuzi) ya mwaka mpya wa Hijria Shamsia na wakati huo huo akatuma salamu za rambi rambi kutokana na kupoteza maisha idadi kubwa ya watu kutokana na ugonjwa wa COVID-19 au corona.
Habari ID: 3472585 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/20
TEHRAN (IQNA) - Umoja wa Mataifa umetangaza leo kuwa, mazungumzo ya usitishaji vita nchini Libya baina ya vikosi vinavyopigania kuudhibiti mji mkuu wa nchi hiyo Tripoli, yameanza tena mjini Geneva, Uswisi siku kadhaa baada ya serikali ya Libya inayotambuliwa kimataifa kujitoa kwenye mazungumzo hayo kufuatia hatua ya mrengo hasimu ya kushambulia bandari ya Tripoli.
Habari ID: 3472493 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/21
TEHRAN (IQNA) - Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa, Agnès Callamard amesema Marekani ilikiuka sheria za kimataifa kwa kumuua , Luteni Jenerali Qassem Soleimani aliyekuwa kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu.
Habari ID: 3472490 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/20
Rais Rouhani katika Umoja wa Mataifa
TEHRAN (IQNA) -Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema ni jambo lisiloyumkinika kwa taifa hili kufanya mazungumzo na adui likiwa chini ya mashinikizo na vikwazo vya kidhalimu na vilivyo kinyume cha sheria.
Habari ID: 3472147 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/09/26
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa zamani wa Umoja wa Mataifa Kofi Annan amefariki dunia nchini Uswisi baada ya kuugua kwa muda mfupi.
Habari ID: 3471634 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/08/18
Katika Hotuba Umoja wa Mataifa
TEHRAN (IQNA)-Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amehutubu katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa na kuitahadharisha Marekani kuhusu hatua yoyote ya kukiuka mapatano ya nyuklia ya Iran.
Habari ID: 3471185 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/21