new york

IQNA

IQNA – Meya wa Jiji la New York, Zahran Mamdani, ametetea agizo lake linaloweka mipaka kwa ukamataji unaofanywa na maafisa wa Idara ya Uhamiaji na Forodha ya Marekani (ICE), akieleza kuwa ulinzi wa wahamiaji si suala la kisera pekee, bali ni wajibu wa kimaadili unaochochewa na mafundisho ya Qur’ani Tukufu na Hijra ya Mtume Muhammad (rehema na amani ziwe juu yake) kwenda Madina.
Habari ID: 3481900    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/08

IQNA – Katika hatua ya kutambua historia na mchango wa Waislamu wake, Jimbo la New York limetangaza mwezi wa Januari kuwa Mwezi wa Urithi wa Waislamu wa Marekani.
Habari ID: 3481778    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/07

IQNA – Katika hafla iliyovunja desturi za karne nyingi, Zohran Mamdani alianza rasmi muhula wake kama meya wa Jiji la New York siku ya Alhamisi kwa kuapa akiwa ameshika Qur’an Tukufu, tukio la kihistoria kwa Waislamu na kwa mandhari ya kisiasa ya jiji hilo kubwa.
Habari ID: 3481747    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/01

IQNA – Zohran Mamdani ataapishwa kuwa meya wa 110 wa Jiji la New York wiki hii, ambapo ataweka historia kwa kuwa Mwislamu wa kwanza kuliongoza jiji kubwa zaidi nchini Marekani.
Habari ID: 3481734    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/29

IQNA-Zohran Mamdani mbunge Muislamu amechaguliwa kuwa Meya wa 111 wa jiji la New York, mtu wa kwanza mwenye asili ya Asia Kusini na wa kwanza aliyezaliwa barani Afrika kuongoza jiji kubwa zaidi nchini Marekani.
Habari ID: 3481471    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/05

IQNA – Katika kipindi cha kuelekea kuanza kwa upigaji kura wa mapema, mgombea wa umeya wa Jiji la New York, Zohran Mamdani, ametetea imani yake ya Kiislamu huku akilaani “mashambulizi ya kibaguzi na yasiyo na msingi” kutoka kwa wapinzani wake, akionya kuwa chuki hizo dhidi ya Uislamu hazimlengi yeye tu bali pia takribani Waislamu milioni moja wanaoishi jijini humo.
Habari ID: 3481417    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/26

IQNA – Baraza la Mahusiano ya Kiislamu ya Marekani (CAIR) limeitaka kampuni ya uwekezaji ya Sequoia Capital kumwondoa mshirika wake Shaun Maguire, kufuatia chapisho la mitandao ya kijamii lililokosolewa vikali kwa kuendeleza chuki dhidi ya Waislamu.
Habari ID: 3480934    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/12

Mwezi wa Ramadhani
TEHRAN (IQNA) – Kwa mwaka wa pili mfululizo, mamia ya Waislamu waliokuwa katika Saumu ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani walifuturu na kusali Sala ya tarawehe katika uwanja wa Times Square mjini New York nchini Marekani.
Habari ID: 3476786    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/30

Waislamu Marekani
TEHRAN (IQNA) – Gwaride la 38 la Kila Mwaka la Siku ya Umoja Waislamu wa Marekani lilifanyika Manhattan, jijini New York.
Habari ID: 3475844    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/26

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) – Msikiti mmoja huko Paterson, jimbo la New York Marekani, umelengwa na wahalifu wenye chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu mapema wiki hii.
Habari ID: 3475588    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/06

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) – Watu wawili walirusha kitu kinachofanana na bomu la molotov kwenye nembo kubwa ya hilali nje ya Msikiti wa Fatima al-Zahra huko Long Island, New York, Marekani siku chache kabla ya sherehe ya Kiislamu ya Idul Adha.
Habari ID: 3475498    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/13

TEHRAN (IQNA)- Orodha ya maeneo yenye huudma na bidhaa Halal katika mji wa New York, Marekani imechapishwa kwa lengo la kuwasaidia wenyeji na watalii Waislamu katika jiji hilo ambalo ni makao makuu ya Umoja wa Mataifa.
Habari ID: 3475256    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/16

TEHRAN (IQNA)-Waislamu nchini Marekani wamelaani hujuma ya kigaidi iliyojiri Jumanne mjini New York katika mtaa wa Manhattan na kupelekea watu 8 kupoteza maisha.
Habari ID: 3471241    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/01