iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Ufalme wa Saudi Arabia umesema Waislamu wanaokusudia kutekeleza ibada ya Umrah katika mwezi mtukufu wa Ramadhani ni sharti kwanza wapate chanjo ya COVID-19 au corona.
Habari ID: 3473788    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/06

TEHRAN (IQNA) – Waislamu walioutembelea Msikiti Mtakatifu wa Makka (Masjid al-Haram) katika kipindi cha miezi mitatu iliyopita wametumia lita milioni 1.5 za maji ya Zamzam.
Habari ID: 3473383    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/22

TEHRAN (IQNA)- Waislamu kutoka nchi za kigeni ambao wamefika mjini Makka kwa ajili ya Ibada ya Umrah wametembelea Msikiti wa Mtume Muhammad SAW maarufu kama Al-Masjid an-Nabawi mjini Madina kwa mara ya kwanza baada ya miezi kadhaa.
Habari ID: 3473348    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/10

TEHRAN (IQNA)- Serikali ya Saudi Arabia imewaruhusu waislamu wanaoishi nje ya ufalme huo kuingia nchini humo kwa ajili ya kutekeleza ibada ya Umra baada ya kufungwa mwezi Machi mwaka huu kutokana na maambukizi ya virusi vya corona.
Habari ID: 3473317    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/01

TEHRAN (IQNA) – Serikali ya Saudi Arabia imewaruhusu raia na wakaazi wa ufalme huo kuswali swala za jamaa za kila siku katika Msikiti Mtakatifu wa Makka (Al Masjid Al Haram ).
Habari ID: 3473270    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/18

Wizara ya Hija na Umrah Saudia imetangaza kuwa watu 250,000 wataruhusiwa kushiriki katika awamu ya pili ya Ibada ya Umrah ikiwa ni katika mpango wa kuanza hatua kwa hatua ibada hiyo.
Habari ID: 3473255    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/13

TEHRAN (IQNA)- Kundi la kwanza la wanaotekeleza ibada ya Umrah waliwasili katika Msikiti Mtakatifu wa Makka (Masjid al-Haram) Jumapili tarehe nne Oktiba.
Habari ID: 3473234    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/06

TEHRAN (IQNA) -Kundi la kwanza la Waislamu wanaotekeleza Ibada ya Umrah limeingia leo katika Msikiti Mtakatifu wa Makka nchini Saudi Arabia kwa ajili ya Ibada ya Umrah baada ya ibada hiyo kufungwa kwa zaidi ya miezi sita kutokana na janga la corona.
Habari ID: 3473230    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/04

TEHRAN (IQNA) – Saudi Arabia imesema itawaruhusu Waislamu walioko nchini humo kutekeleza Ibada ya Umrah kuanzia Oktoba Nne.
Habari ID: 3473197    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/23

TEHRAN(IQNA)- Saudi Arabia inatafakari kuanzisha tena Ibada ya Umrah baada yakuisitisha kwa miezi kadhaa sasa.
Habari ID: 3473167    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/14

TEHRAN (IQNA) – Wizara ya Mambo ya Ndani ya Saudia imetangaza kuwa hata baada ya amri ya kutotoka nje kufutwa kitaifa lakini marufuku ya Ibada ya Umrah itaendelea kutekelezwa.
Habari ID: 3472885    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/21

TEHRAN (IQNA) – Saudi Arabia imesema itaendelea kusitisha kwa muda Ibada ya Umrah ili kuzuia kuenea ugonjwa wa COVID-19 au corona lakini misikiti yote nchini humo imefunguliwa isipokuwa Msikiti Mtakatifu wa Makka.
Habari ID: 3472803    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/26

TEHRAN (IQNA) – Serikali ya Saudia imefungua tena Msikiti Mtakatifu wa Makka (al-Masjid al-Ḥaram) na Msikiti Mtakatifu wa Mtume SAW (Al Masjid an Nabawi) baada ya kufunga kwa muda maeneo hayo mawili matakatifu (Haramein) kutokana na hofu ya kuenea kirusi cha Corona.
Habari ID: 3472537    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/06

TEHRAN (IQNA) - Saudi Arabia imewapiga marufuku raia wake na wakazi wa nchi hiyo kutekeleza ibada ya Umrah katika mji Mtakatifu wa Makka au kuzuru Msikiti wa Mtume SAW katika mji wa Madina kwa hofu ya kuenea kirusi cha Corona ambacho kinaenea kwa kasi duniani.
Habari ID: 3472533    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/05

TEHRAN (IQNA)- Saudi Arabia imetangaza kusimamisha kwa muda Ibada ya Umrah na Ziyarah katika Msikiti wa Mtume Muhammad SAW mjini Madina kutokana na hofu ya kuenea kirusi cha Corona.
Habari ID: 3472512    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/27

TEHRAN (IQNA) – Mkuu wa Shirika la Hija na Ziara za Kidini Iran Ali Reza Rashidian amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imefanya mazungumzo na Saudi Arabia kuhusu Wairani kuanza tena kutekeleza Ibada ya Umrah.
Habari ID: 3472130    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/09/15

TEHRAN (IQNA)- Sergio Ricardo Messias Neves, ambaye pia anajulikana kama Sergio au Serginho, ni mchazaji wa zamani wa soka nchini Brazil ambaye alisilimu baada ya kucheza soka katika nchi kadhaa za Mashariki ya Kati (Asia Magharibi).
Habari ID: 3471990    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/08

TEHRAN (IQNA)- Mesut Ozil mchezaji mashuhuri Mwislamu katika timu ya taifa ya soka ya Ujerumani amemjibu mwanasiasa anayeuchukia Uislamu ambaye alimkosoa kwa safari yake ya Umrah.
Habari ID: 3471425    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/03/11

TEHRAN (IQNA)-Utawala wa Saudi Arabia unawazuia raia wa Qatar kutekeleza Ibada ya Umrah katika miji mitakatifu ya Makkah na Madinah.
Habari ID: 3471345    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/01/07