umrah - Ukurasa 4

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Hivi sasa roboti zinatumika kuwaongoza Waislamu wanaofika katika Msikiti Mtakatifu wa Makka kwa ajili ya kutekeleza ibada ya Hija Ndogo ya Umrah.
Habari ID: 3475258   Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/16

TEHRAN (IQNA)- Msimu wa sasa wa Hija ndogo ya Umrah kwa Waislamu kutoka nje ya Saudia utamalizika katika siku ya mwisho ya Mwezi wa Shawwal ambayo inatarajiwa kusadifina na Mei 31.
Habari ID: 3475177   Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/27

TEHRAN (IQNA)- Maafisa wa usalama Saudi Arabia wamemkamata raia wa Palestina aliyekuwa akitekeleza ibada ya Umrah katika mji wa Mtakatifu wa Makka kwa sababu tu aliomba dua ya kukombolewa Msikiti wa Al Aqsa unaokaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3475144   Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/19

TEHRAN (IQNA)- Idadi ya Waislamu wanaokusudia kutekeleza ibada ya Hija ndogo au Umrah katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani inazidi kuongezeka.
Habari ID: 3475028   Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/10

TEHRAN (IQNA)- Iran imetangaza kuwa tayari kuwatuma wananchi wake kuenda Saudi Arabia kutekeleza ibada ya Umrah iwapo masharti yatatimizwa.
Habari ID: 3474826   Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/19

TEHRAN (IQNA) – Wizara ya Hija na Umrah Saudi Arabia imetangaza kuendelea marufuku ya kugusa Hajar Al Aswad (Jiwe Jeusi) na kuswali katika Hijr Ismail katika Msikiti Mtakatifu wa Makka.
Habari ID: 3474699   Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/20

TEHRAN (IQNA)- Idhini ya kutekeleza Hija ndogo ya Umrah kwa wale wanaotoka nje ya Saudia itajumuisha tu wale wenye umri wa kuanzia miaka 18 hadi 50.
Habari ID: 3474578   Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/19

TEHRAN (IQNA) = Huduma mpya imezinduliwa kwa ajili ya Waislamu walionje ya Saudi Arabia ambao wanataka kutekeleza Hija ndogo ya Umrah.
Habari ID: 3474555   Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/14

TEHRAN (IQNA)- Zaidi ya lita milioni 1.2 za maji ya Zamzam zimesambazwa miongoni mwa wanaofanya ziara katika Msikiti Mtakatifu wa Makka (Masjid al-Haram) katika kipindi cha miezi mitatu iliyopita.
Habari ID: 3474552   Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/13

TEHRAN (IQNA)- Idadi ya Waislamu watakaruhusiwa kutekelelza Hija ndogo au Umrah na kuswali katika Msikiti Mtakatifu wa Makka (Masjid al-Haram) imeongezeka hadi laki moja kwa siku kuanzia Oktoba Mosi.
Habari ID: 3474369   Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/01

TEHRAN (IQNA) – Wizara ya Hija na Umrah Saudi Arabia imeongeza idadi ya waumini wanaoweza kutekeleza ibada Umrah kila siku hadi 70,000.
Habari ID: 3474272   Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/08

TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Hija na Umrah ya Saudi Arabia ilitangaza kwamba itakubali maombi ya Umra kuanzia Agosti 9, 2021, kwa mahujaji kutekeleza Ibada ya Hija ndogo ya Umrah.
Habari ID: 3474172   Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/08

TEHRAN (IQNA)- Wakuu wa Saudi Arabia wametangaza kuwa hakutakuwa na vizingiti katika idadi ya watu wanaotaka kutekeleza Ibada ya Hija ndogo ya Umrah katika mwaka mpya wa Hijria Qamaria unaotazamiwa kuanza Alhamisi ijayo.
Habari ID: 3474159   Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/04

TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa Urais Mkuu wa Maswala ya Misikiti Miwili Mitakatifu amewaamuru wahusika wenye uwezo kukamilisha maandalizi ya kuwapokea waumini wanaotaka kutekeleza Ibada ya Umrah.
Habari ID: 3474126   Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/25

TEHRAN (IQNA)- Ufalme wa Saudi Arabia umesema Waislamu wanaokusudia kutekeleza ibada ya Umrah katika mwezi mtukufu wa Ramadhani ni sharti kwanza wapate chanjo ya COVID-19 au corona.
Habari ID: 3473788   Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/06

TEHRAN (IQNA) – Waislamu walioutembelea Msikiti Mtakatifu wa Makka (Masjid al-Haram) katika kipindi cha miezi mitatu iliyopita wametumia lita milioni 1.5 za maji ya Zamzam.
Habari ID: 3473383   Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/22

TEHRAN (IQNA)- Waislamu kutoka nchi za kigeni ambao wamefika mjini Makka kwa ajili ya Ibada ya Umrah wametembelea Msikiti wa Mtume Muhammad SAW maarufu kama Al-Masjid an-Nabawi mjini Madina kwa mara ya kwanza baada ya miezi kadhaa.
Habari ID: 3473348   Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/10

TEHRAN (IQNA)- Serikali ya Saudi Arabia imewaruhusu waislamu wanaoishi nje ya ufalme huo kuingia nchini humo kwa ajili ya kutekeleza ibada ya Umra baada ya kufungwa mwezi Machi mwaka huu kutokana na maambukizi ya virusi vya corona.
Habari ID: 3473317   Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/01

TEHRAN (IQNA) – Serikali ya Saudi Arabia imewaruhusu raia na wakaazi wa ufalme huo kuswali swala za jamaa za kila siku katika Msikiti Mtakatifu wa Makka (Al Masjid Al Haram ).
Habari ID: 3473270   Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/18

Wizara ya Hija na Umrah Saudia imetangaza kuwa watu 250,000 wataruhusiwa kushiriki katika awamu ya pili ya Ibada ya Umrah ikiwa ni katika mpango wa kuanza hatua kwa hatua ibada hiyo.
Habari ID: 3473255   Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/13