IQNA

16:42 - November 10, 2020
Habari ID: 3473348

Msikiti wa Mtume Muhammad SAW mjini Madina watembelewa na wageni baada ya miezi kadhaa

TEHRAN (IQNA)- Waislamu kutoka nchi za kigeni ambao wamefika mjini Makka kwa ajili ya Ibada ya Umrah wametembelea Msikiti wa Mtume Muhammad SAW maarufu kama Al-Masjid an-Nabawi mjini Madina kwa mara ya kwanza baada ya miezi kadhaa.

Msikiti wa Mtume Muhammad SAW mjini Madina watembelewa na wageni baada ya miezi kadhaa

Kwa mujibu wa taarifa, Idara ya Masuala ya Al-Masjid an-Nabawi imesambaza picha za Waislamu kutoka nje ya Saudia ambao wamefika Madina na kuutembelea msikiti huo mtakatifu.

Wote wanaofika katika Al-Masjid an-Nabawi wanatakiwa kuzingatia kanuni za afya ili kuzuia kuenea ugonjwa wa corona.

Kwa mujibu wa sheria zilizowekwa Waislamu 160-170 wanaruhusiwa kutembelea Msikiti wa Mtume SAW. Kwa ujumla msikiti huo unatembelewa na Waumini wasiozidi 5,00 kwa siku. Kuanzia Novemba 1 mwaka huu raia wa kigeni waliruhusiwa kuingia Saudia kwa ajili ya kutekeleza ibada ya Umrah na kutembelea Al-Masjid an-Nabawi.

حال و هوای معنوی عمره گزاران خارجی در زیارت حرم پیامبر (ص) + عکس
 
حال و هوای معنوی عمره گزاران خارجی در زیارت حرم پیامبر (ص) + عکس
 
حال و هوای معنوی عمره گزاران خارجی در زیارت حرم پیامبر (ص) + عکس
 
حال و هوای معنوی عمره گزاران خارجی در زیارت حرم پیامبر (ص) + عکس
 
حال و هوای معنوی عمره گزاران خارجی در زیارت حرم پیامبر (ص) + عکس
 
حال و هوای معنوی عمره گزاران خارجی در زیارت حرم پیامبر (ص) + عکس
 
حال و هوای معنوی عمره گزاران خارجی در زیارت حرم پیامبر (ص) + عکس

 

3473082/

captcha