IQNA

Umoja wa Kiislamu ni msingi wa kujenga ustaarabu mpya wa Kiislamu

Umoja wa Kiislamu ni msingi wa kujenga ustaarabu mpya wa Kiislamu

IQNA – Katibu wa Baraza Kuu la Mapinduzi ya Kiutamaduni la Iran amesema kuwa umoja wa Waislamu ni muhimu si tu kwa ajili ya kujilinda, bali pia kwa ajili ya kuunda ustaarabu mpya wa Kiislamu.
14:40 , 2025 Sep 14
Uongozi wa Mtume Muhammad (SAW) Ulijaa Rehema na Umoja

Uongozi wa Mtume Muhammad (SAW) Ulijaa Rehema na Umoja

IQNA – Msomo mmoja wa Kiislamu kutoka Iran amesisitiza kuwa mfano wa Mtume Muhammad (SAW) katika uvumilivu, msamaha na uongozi wa kuunganisha jamii ni wa kipekee na haujawahi kulinganishwa hadi leo.
14:15 , 2025 Sep 14
Maktaba ya Sayansi ya Qur’ani na Hadithi huko Qom

Maktaba ya Sayansi ya Qur’ani na Hadithi huko Qom

IQNA – Maktaba maalum ya Sayansi ya Hadithi mjini Qom, Iran imekua na kuwa kituo muhimu cha utafiti, ikijitokeza kwa mkusanyiko wake mpana, vyanzo vilivyosasishwa, na mtazamo wake wa kuunga mkono wasomi. Ina uwezo wa kuwa rejea kuu katika taaluma ya Hadithi ndani ya vyuo vya kidini na hata nje yake. Picha zimechukuliwa mwezi Septemba 2025.
14:01 , 2025 Sep 14
Misikiti ya Uskochi yakabiliwa na hatari za hujuma za kigaidi, yaimarisha usalama

Misikiti ya Uskochi yakabiliwa na hatari za hujuma za kigaidi, yaimarisha usalama

IQNA – Misikiti kote Uskochi au Scotland nchini Uingereza imeongeza kwa kiwango kikubwa hatua za kiusalama, ikiwemo kuajiri walinzi binafsi na kuweka ulinzi wa saa 24, kufuatia njama ya kigaidi iliyozimwa na ongezeko la mashambulizi ya chuki dhidi ya Uislamu.
13:35 , 2025 Sep 14
Mtoto wa Kipalestina ahifadhi Qur’ani Tukufu kikamilifu kukiwa na Vita vya Mauaji ya Kimbari Gaza

Mtoto wa Kipalestina ahifadhi Qur’ani Tukufu kikamilifu kukiwa na Vita vya Mauaji ya Kimbari Gaza

IQNA – Al-Baraa ni mtoto wa Kipalestina mwenye umri wa miaka 12 ambaye, licha ya vita na mashambulizi ya mabomu ya utawala katili wa Israel dhidi katika Ukanda wa Gaza, ameweza kuhifadhi Qur’ani Tukufu yote.
13:21 , 2025 Sep 14
Mtaalamu: Shambulizi la Israeli dhidi ya Qatar limethibitisha usahihi wa sera za Iran

Mtaalamu: Shambulizi la Israeli dhidi ya Qatar limethibitisha usahihi wa sera za Iran

IQNA – Shambulizi la hivi karibuni la utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Qatar limethibitisha usahihi wa sera za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kipindi cha miaka 45 iliyopita, hususan kuhusu msimamo wa kutokufanya maridhiano na utawala wa Tel Aviv. Hayo ni kwa mujibu wa mtaalamu wa masuala ya Asia ya Magharibi.
13:13 , 2025 Sep 14
19