TEHRAN (IQNA)- Shirika moja la reli nchini Japan limejenga vyumba vya Waislamu kuswali katika moja ya vituo vyake muhimu.
Habari ID: 3471489 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/04/30
TEHRAN (IQNA)- Washindi wa Mashindano ya Sita ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Wanachuo Waislamu wametangazwa leo Jumapili.
Habari ID: 3471488 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/04/29
TEHRAN (IQNA)- Mashindano ya Kusoma na Kuhifadhi Qur'ani ya eneo la Amerika Kaskazini yamepenga kufanyika wiki Ijayo nchini Marekani.
Habari ID: 3471487 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/04/29
TEHRAN (IQNA)- Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ambayo imekuwa mwenyeji wa duru kadhaa za mashindano ya Qur'ani ya wanafunzi Waislamu katika vyuo vikuu duniani inahimiza nchi zingine za Kiislamu ziandae duru zijazo za mashindano hayo.
Habari ID: 3471486 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/04/28
Mjini Mashhad kaskazini mashariki mwa Iran
TEHRAN (IQNA)- Mashindano ya Sita ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Wanachuo Waislamu yameanza katika mji wa Mashhad kaskazini mashariki mwa Iran.
Habari ID: 3471485 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/04/27
TEHRAN (IQNA) – Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria Sheikh Ibrahim Zakzaky ameituhumu Saudi Arabia kuwa inaliunga mkono kifedha Jeshi la Nigeria ili litekeleza mauaji ya Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini humo.
Habari ID: 3471484 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/04/27
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeendelea kusimama imara mbele ya dhulma za madola ya kibeberu na kiistikbari kwa kipindi cha miaka 40 sasa na imeendelea kupata maendeleo, uwezo na nguvu zaidi licha ya vinyongo vya maadui wanaotaka kuangamiza mfumo huo wa Kiislamu.
Habari ID: 3471483 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/04/26
TEHRAN (IQNA)-Mashindano ya 35 ya Kimataifa ya Kusoma na Kuhifadhi Qur’ani Tukufu ya Iran yamemalizika rasmi Jumatano kwa kutunukiwa zawadi washindi.
Habari ID: 3471481 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/04/25
TEHRAN (IQNA) – Washindi wa Mashindano ya pili ya Kimataifa ya Qur'ani ya wanafunzi wa vyuo vya kidini (Hawza) wametangazwa katika sherehe iliyofanyika Jumapili.
Habari ID: 3471480 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/04/25
TEHRAN (IQNA)-Washiriki 44 wamefuzu katika fainali ya Mashindano ya 6 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Wanafunzi Waislamu katika vyuo vikuu vya nchi mbali mbali duniani.
Habari ID: 3471479 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/04/24
TEHRAN (IQNA)- Jopo la majaji katika Mashindano ya 35 ya Kimatiafa ya Qur'ani ya Iran limetangaza majina ya waliofika fainali katika kategoria wanaume waliohifadhi Qur'ani kikamifliu katika mashindano hayo.
Habari ID: 3471478 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/04/23
TEHRAN (IQNA)-Kitengo cha wanawake katika Mashindano ya 35 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Irna kimefunguliwa Jumamosi.
Habari ID: 3471476 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/04/22
TEHRAN (IQNA)- Washiriki 24 katika kategoria za kuhifadhi na kusoma Qur'ani Tukufu wameshindano katika siku ya kwanza ya Mashindano ya 35 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3471474 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/04/21
TEHRAN (IQNA)-Mashindano ya usomaji Qur'ani Tukufu maalumu kwa wanafunzi wa shule yamefanyika katika mji mdogo wa Glostrup ulio karibu na mji mkuu wa Denmark, Copenhagen.
Habari ID: 3471473 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/04/20
TEHRAN (IQNA) - Baraza la Mahusiano ya Kiislamu nchini Marekani (CAIR) limetangaza ripoti ambayo ina ushahidi unaoonyesha kuwa hatua ya utawala wa Rais Donald Trump kupiga marufuku Waislamu kutoka baadhi ya nchi kuingia nchini humo ni jambo ambalo limechangia kuongezeka chuki dhidi ya Uislamu nchini humo.
Habari ID: 3471470 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/04/18
TEHRAN (IQNA)-Mkuu wa Shirika la Wakfu la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema miji mitatu nchini itakuwa mwenyeji wa mashindano kadhaa ya kimataifa ya Qur'ani.
Habari ID: 3471468 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/04/17
TEHRAN (IQNA)-Wanaharakati katika maeneo mbali mbali duniani Jumapili wameshiriki katika maandamano ya kutangaza kufungamana kwao na Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria Sheikh Ibrahim Zakzaky ambaye anashikiliwa kinyume cha sheria nchini humo.
Habari ID: 3471467 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/04/16
TEHRAN (IQNA)-Jamii ya Waislamu inazidi kuongezeka huko Hong Kongo, eneo lenye mamlaka ya kujitawala nchini China, na kwa msingi huyo kumeanzishwa jitihada za kujenga msikiti mpya ambao ujenzi wake umekwama kwa muongo moja sasa.
Habari ID: 3471466 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/04/15
TEHRAN (IQNA)- Leo, tarehe 27 Rajab ndiyo siku aliyobaathiwa na kupewa Utume Muhammad Al Mustafa SAW kwa ajili ya kuwaongoza wanadamu katika njia iliyonyooka ya Uislamu.
Habari ID: 3471464 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/04/14
TEHRAN (IQNA)-Jeshi la Syria limeukomboa mji wa Douma; mji wa mwisho huko Ghouta ya Mashariki kuwa chini ya udhibiti wa magaidi wanaopata himaya ya kigeni
Habari ID: 3471463 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/04/13