iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)-Waliowengi nchini Uingereza wana ufahamu mdogo sana kuhusu Uislamu na kwa msingi huo, zaidi ya misikiti 200 nchini humo itafungua milango yake kwa wasiokuwa Waislamu mnamo Februari 18.
Habari ID: 3471391    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/02/14

TEHRAN (IQNA)- Idara ya kupamabana na misimamo mikali katika Chuo Kikuu cha Al Azhar cha Misri imesema wafuasi wa kundi la kigaidi la ISIS (Daesh) wanaorejea katika nchi zao wanapaswa kuadhibiwa kwa ajili ya jinai walizotekeleza.
Habari ID: 3471389    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/02/13

TEHRAN (IQNA)-Taasisi ya Masuala ya Kidini –Diyanet- ya Uturuki (TDV) imetoa zawadi ya nakala 20,000 za Qur'ani Tukufu ziliotarujumiwa kwa Kihispania kwa ajili ya kusambazwa katika nchi za Amerika ya Latini.
Habari ID: 3471388    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/02/12

TEHRAN (IQNA)- Wananchi wa Iran leo wamejitokeza kwa mamilioni katika katika matembezi ya maadhimisho ya mwaka wa 39 wa ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu huku wakitoa nara dhidi ya utawala wa Kizayuni na Marekani.
Habari ID: 3471387    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/02/11

TEHRAN (IQNA)-Jeshi la Syria limetungua ndege moja ya kivita ya utawala haramu wa Israeli aina ya F-16 ambayo ilikuwa imetekekeza hujuma ndani ya ardhi ya Syria mapema leo.
Habari ID: 3471386    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/02/10

TEHRAN- (IQNA) Serikali ya Senegal imetangaza mpango wa kuanzisha vituo vipya 21 vya Qur'ani tukufu katika mji wa Kaffrine, kati mwa nchi hiyo.
Habari ID: 3471385    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/02/09

Amnesty International
TEHRAN (IQNA)-Jeshi la Myanmar lingali linatekeleza mauaji ya kimbari dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya nchini humo kwa kutumia mbinu kadhaa.
Habari ID: 3471384    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/02/08

TEHRAN (IQNA)-Mufti mkuu wa Libya amelaani vikali namna utawala wa kifalme Saudia unavyowakandamiza wanazuoni wa Kiislamu.
Habari ID: 3471383    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/02/07

TEHRAN (IQNA)-Mahakama moja nchini Ujerumani imepiga marufuku adhana kwa kutumia vipaza sauti katika msikiti moja kwa madai kuwa eti wasiokuwa Waislamu wanakerwa.
Habari ID: 3471382    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/02/06

TEHRAN (IQNA)-Serikali ya Uganda imeidhinisha sheria za mfumo wa benki za Kiislamu huku benki kuu nchini humo ikitazamiwa kuchapisha rasmi sheria hizo kama sehemu ya mikakati ya kuwashirikisha Waislamu kikamilifu katika mfumo wa kifedha.
Habari ID: 3471381    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/02/05

TEHRAN (IQNA)-Watu wasiojulikana wameuhujumu na kuharibu msikiti katika mji wa The Hague nchini Uholanzi.
Habari ID: 3471380    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/02/04

TEHRAN (IQNA)- Utawala wa Aal Khalifa nchini Bahrain unaendelea kutekeleza sera za ukandamizaji dhidi ya wapinzani ikiwa ni pamoja na kuwanyonga, kuwatesa, kuwapokonya uraia na kuwalazimui kuihama nchi huku mashirika ya kutetea haki za binadamu yakinaani uovu huo ambao umenyamaziwa kimya na Umoja wa Mataifa na nchi za Magharibi.
Habari ID: 3471379    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/02/03

TEHRAN (IQNA)-Makaburi ya umati ya Waislamu waliouawa nchini Myanmar yamepatikana katika kijiji kimoja katika jimbo la Rakhine magharibi mwa nchi hiyo.
Habari ID: 3471378    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/02/02

Mkutano wa Idhaa za Qur'ani Duniani
TEHRAN (IQNA)-Mkurugenzi wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kiislamu ya Utangazaji (IBU) Mohamed Salem Walad Boake amesema idhaa za Qur'ani duniani zinaweza kuwa kati ya njia muafaka zaidi za kukabiliana na wimbi la misimamo mikali ya kidini.
Habari ID: 3471377    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/02/01

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amebainisha masikitiko yake makubwa kutokana na kuuawa watu wasio na hatia katika hujuma za hivi karibuni za kigaidi nchini Afganistan na kusema: "Lengo la Marekani katika kuhamishia Afghanistan magaidi wa ISIS (Daesh) ni kuhalalisha uwepo wake katika eneo sambamba na kudhamini usalama wa utawala wa Kizayuni."
Habari ID: 3471376    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/01/30

TEHRAN (IQNA)-Nchi za Kiislamu zilizo na uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel zimetakiwa zikate uhusiano huo mara moja kama njia ya kuunga mkono ukombozi wa Palestina hasa mji wa Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3471375    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/01/29

Waziri wa Mambo ya Ndani Pakistan
TEHRAN (IQNA)-Waziri wa Mambo ya Ndani Pakistan Ahsan Iqbal amesema Qur'ani Tukufu ni kama ramani ya njia katika mwaisha ya mwanadamu.
Habari ID: 3471374    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/01/28

TEHRAN (IQNA)-Waislamu zaidi ya 100,000 kutoka jamii ya Uighur nchini China wanasemekana kushikiliwa kwa nguvu katika kambi zenye msongamano mkubwa ambapo wanafunzwa itikadi za Kikomunisti.
Habari ID: 3471373    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/01/27

TEHRAN (IQNA)-Nakala nne nadra za Qur'ani Tukufu ni kati ya turathi zenye thamani katika maktaba ya Msikiti wa Sayyida Zainab mjini Cairo, Misri.
Habari ID: 3471372    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/01/26

TEHRAN (IQNA)-Sheikh Khalid al Jundi, mwanachama wa Baraza Kuu la Masuala ya Kiislamu Misri amesikitishwa na uhaba wa wasomaji Qur'ani wanawake nchini humo.
Habari ID: 3471371    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/01/25