iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA) - Mkutano wa 13 wa Baraza la Kimataifa la Mwamko wa Kiislamu umefanyika katika mji mkuu wa Iran, Tehran kwa lengo la kujadil namna nchi kadhaa za Kiarabu zilivyowasaliti Wapalestina kwa kuanzisha uhusiano na utawala dhalimu wa Israel unaokalia ardhi za Palestina kwa mabavu.
Habari ID: 3473177    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/17

Rais Rouhani wa Iran
TEHRAN (IQNA) - Rais Hassan Rouhani wa Iran ameashiria pia kuanzishwa uhusiano wa kawaida baina ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) Bahrain na utawala haramu wa Israel na kusema kuwa, watawala wa baadhi ya mataifa ya Kiarabu katika Asia Magharibi hawafungamani na malengo ya taifa madhulumu la Palestina.
Habari ID: 3473176    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/16

TEHRAN (IQNA) – Harakati ya Al Wifaq ya Bahrain imetangaza ijumaa wiki hii kuwa ni ‘Ijumaa ya Ghadhabu’ kwa ajili ya kubainisha kuchikizwa na mpatano yaliyopfikiwa kati ya utawala haramu wa Israel na utawala wa Bahrain.
Habari ID: 3473175    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/16

TEHRAN (IQNA) – Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina Mahmoud Abbas amekosoa vikali utiwaji saini wa mapatano ya uanzishwaji uhusiano wa kawaida baina ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), Bahrain na utawala haramu wa Israel katika ikulu y White House nchini Marekani.
Habari ID: 3473174    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/16

Kiongozi wa Ansarullah nchini Yemen
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amewakosoa vikali watawala wa Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) na kusema tawala hizo mbili ni wabebe bendera ya unafiki, upotoshaji katika umma wa Kiislamu na wavurugaji umoja wa umma wa Kiislamu
Habari ID: 3473171    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/15

Ayatullah Sheikh Isa Qassim
TEHRAN (IQNA)- Mwanazuoni wa ngazi za juu nchini Bahrain Ayatullah Sheikh Isa Qassim amesema kuanzisha uhusiano wa kawaida na kati ya nchi za Kiarabu na utawala wa Kizayuni wa Israel ni kinyume cha matakwa ya wananchi katika nchi hizo.
Habari ID: 3473165    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/13

TEHRAN (IQNA) - Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imekosoa hatua ya kuanzishwa uhusiano rasmi wa kidiplomasia kati ya Bahrain na utawala haramu wa Israel na kusisitiza kuwa, kitendo hicho ni cha fedheha na kudhalilisha.
Habari ID: 3473162    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/12

TEHRAN (IQNA)- Wapalestina wameulaani utawala wa Kifalme wa Bahrain kwa kuanzisha uhusiano na utawala bandia wa Israel.
Habari ID: 3473160    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/12

Ayatullah Sheikh Isa Qassim
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi wa juu wa kidini wa Waislamu wa madhehebu ya Shia wa nchini Bahrain amesema, mapambano dhidi ya ufanyaji mapatano na Israel ni mfano mmojawapo wa mapambano matakatifu ya Imam Hussein AS dhidi ya Yazid.
Habari ID: 3473119    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/30

TEHRAN (IQNA) – Mwanazuoni wa ngazi za juu wa Kishia huko Bahrain Ayatullah Isa Qassim amelaani utawala wa ufalme wa Al Khalifa nchini humo kwa kufunga misikiti ya Mashia katika mji wa Hamad na kusema hatua hiyo itaibua fitina.
Habari ID: 3473110    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/27

TEHRAN (IQNA) - Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Bahrain Ayatullah Sheikh Isa Qassim amesema Wa bahrain wataendeleza mapambano yao ya kisiasa hadi haki zao zitambuliwa na watawala wa nchi hiyo.
Habari ID: 3472990    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/23

TEHRAN (IQNA)- Mahakama ya juu ya Bahrain hivi karibuni imeudhinisha hukumu ya kunyongwa vijana wawili wa nchi hiyo kwa kutegemea ushahidi bandia.
Habari ID: 3472872    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/17

TEHRAN (IQNA)- Chama kikuu cha upinzani cha Bahrain, Al Wefaq, kimelaani kutolewa hukumu ya kifungo cha maisha jela dhidi ya kiongozi wake, Sheikh Ali Salman.
Habari ID: 3472203    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/11/06

TEHRAN (IQNA) - Utawala wa kiimla wa Bahrain umeanzisha wimbi jipya la kuwakandamiza wanazuoni wa Kiislamu wa madhehebu ya Shia katika mwezi huu wa Muharram.
Habari ID: 3472118    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/09/07

TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amebainisha msimamo wake kuhusu jinai za hivi karibuni za utawala wa kiimla wa Bahrain ambao umewanyonga kidhalimu vijana wawili wapinzani katika nchi hiyo ndogo ya Ghuba ya Uajemi.
Habari ID: 3472067    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/08/01

TEHRAN (IQNA)- Umoja wa Mataifa umelaani vikali hatua ya utawala wa Aal Khalifa huko Bahrian kuwanyonga vijana wawili wapinzani.
Habari ID: 3472065    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/07/31

TEHRAN (IQNA) - Utawala wa kiimla wa ukoo wa Aal Khalifa nchini Bahrian umelaanivwa vikali baada ya kuwanyonga vijana wawili raia wa nchi hiyo kwa tuhuma zisizo na msingi za kumuua afisa wa wizara ya mambo ya ndani mwaka 2017.
Habari ID: 3472061    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/07/28

Sheikh Issa Qassim
TEHRAN (IQNA) - Mwanazuoni maarufu wa Kiislamu nchini Bahrain, Ayatullah Sheikh Isa Qassim amelaani vikali hatua ya utawala wa Manama kuwa mwenyeji wa Kongamano la Kibiashara linalotazamiwa kuanza leo nchini humo kwa shabaha ya kuzindua mpango wa 'Muamala wa Karne'.
Habari ID: 3472017    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/25

TEHRAN (IQNA) – ‘Muamala wa Karne’ ambao umependekezwa na Marekani kwa lengo la kuunga mkono utawala wa Kizayuni wa Israel na kukandamiza ukombozi wa Palestina unaendelea kupingwa katika ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3472016    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/24

TEHRAN (IQNA)- Mwanazuoni maarufu wa Kiislamu nchini Bahrain, Sheikh Isa Qassim amekosoa vikali hatua ya kualikwa raia wa utuawala wa Kizayuni wa Israel kwenye kongamano la kibiashara linalotazamiwa kufanyika katikati ya mwezi huu wa Aprili nchini humo.
Habari ID: 3471899    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/04