iqna

IQNA

bahrain
TEHRAN (IQNA)- Februari 14, 2022 inasadifiana na kumbukumbu ya miaka 11 ya mwamko na vuguvugu la watu wa Bahrain dhidi ya utawala wa Al Khalifa.
Habari ID: 3474930    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/14

TEHRAN (IQNA)- Maandamano yamefanyika nje ya ubalozi wa ufalme wa Bahrain mjini London Uingereza kutaka wafungwa wa kisiasa wanaoshikiliwa katika gereza za ufalme huo waachiliwe huru.
Habari ID: 3474560    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/15

TEHRAN (IQNA)- Majeshi ya majini ya utawala haramu wa Israel, Bahrain, Marekani na Umoja wa Falme za Kiarabu yamefanya mazoezi ya pamoja ya kijeshi katika Bahari ya Sham hii ikiwa ni mara ya kwanza kwa pande hizo nne kukiri wazi kuwa zinafanya mazoezi ya pamoja ya kijeshi.
Habari ID: 3474546    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/12

TEHRAN (IQNA)- Harakati kadhaa za kupigania ukombozi wa Palestina zimelaani vikali hatua ya ufalme wa Bahrain kumpokea waziri wa mambo ya nje wa utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3474372    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/02

TEHRAN (IQNA)- Watu wa Bahrain wamefanya maandamano makubwa katika miji kadhaa ya nchi hiyo kupinga waziri wa mambo ya nje wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel kukanyaga ardhi ya nchi yao na kuanzishwa uhusiano wa kawaida na Tel Aviv.
Habari ID: 3474366    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/01

TEHRAN (IQNA)- Umepita mwaka mmoja tangu kulipotiwa saini makubaliano baina ya utawala haramu wa Israel na nchi mbili za Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) na Bahrain, ambapo mataifa hayo ya Kiarabu yaliafiki kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala huo ghasibu.
Habari ID: 3474304    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/17

TEHRAN (IQNA)- Wananchi wa Bahrain wameandamana kulaani kuuawa shahidi Mohammad Nas, kijana mwanadampinduzi aliyekuwa mfungwa wa kisiasa katika jela za kuogofya za utawala wa kiimla wa Aal Khalifa.
Habari ID: 3474277    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/09

TEHRAN (IQNA) - Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, imesema ufalme wa Bahrain kweli umeonyesha kuhusika kwake katika jinai zinazofanywa na utawala wa haramu wa Israeli dhidi ya Wapalestina kwa kumteua balozi wake wa kwanza kuhudumu katika utawala wa Israel.
Habari ID: 3474250    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/02

TEHRAN (IQNA) Kundi kuu la upinzani la Bahrain, Jumuiya ya Kitaifa ya Kiislamu ya al-Wefaq, imelaani mashambulio na uchokozi wa utawala Al Khalifa wakati wa maombolezo ya Muharram.
Habari ID: 3474217    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/22

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi mkuu wa Kiislamu nchini Bahrain amewataka watawala wa nchi hiyo kuwaachilia huru mara moja wafungwa wote wa kisiasa nchini humo.
Habari ID: 3474109    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/17

TEHRAN (IQNA) - Mamia ya Wa bahrain wamejitokeza kuandamana katika mji mkuu Manama, kumkumbuka mfungwa wa kisiasa ambaye amefariki kutokana na COVID-19 akiwa katika gereza la kuogofya ya utawala wa kiimla wa Aal Khalifa.
Habari ID: 3473994    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/10

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu Bahrain amejiunga na maulamaa nchini humo katika kulaani kitendo cha kupeperushwa bendera ya mahusiano ya jinsia moja katika ubalozi wa mji mkuu wa nchi hiyo, Manama.
Habari ID: 3473985    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/07

TEHRAN(IQNA)- Mfungwa wa kisiasa nchini Bahrain amefariki baada ya wakuu wa gereza alimokuwa kukataa kumpa huduma za dharura za kiafya huki hali ikiripotiwa kuwa mbaya katika gereza za nchi hiyo kutokana na janga la COVID-19.
Habari ID: 3473794    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/08

TEHRAN (IQNA) – Watu wa Bahrain wameandamana katika mji mkuu, Manama, Ijumaa jioni wakitaka wafungwa wa kisiasa waachiliwe huru.
Habari ID: 3473779    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/03

TEHRAN (IQNA) – Mwakilishi wa ufalme wa Bahrain katika Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa amejizuia kulaani ukiukaji wa haki za binadamu na ukandamizaji unaofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina
Habari ID: 3473761    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/25

TEHRAN (IQNA)-Bunge la Umoja wa Ulaya limepasisha azimio ambalo limeitaka Bahrain isitishe mara moja ukandamizaji wa haki za binadamu za wanaharakati na wafungwa wa kiitikadi nchini humo.
Habari ID: 3473728    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/12

Sheikh Isa Qassim
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Bahrain amesema jitihada za taifa hilo la Kiarabu katu hazitazimwa na dhulma na ukandamizaji unaofanywa na vyombo vya usalama vya utawala wa kiukoo unaoingoza nchi hiyo kwa mkono wa chuma.
Habari ID: 3473650    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/14

TEHRAN (IQNA) - Wakati ukikaribia mwaka wa 10 tokea uanze mwamko wa wananchi wa Bahrain dhidi ya utawala wa ukoo wa Aal Khalifa nchini humo, utawala huo dhalimu umeshadidisha ukandamizaji na utumiaji mabavu dhidi ya wananchi wanaotaka mabadiliko.
Habari ID: 3473644    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/12

TEHRAN (IQNA) - Wananchi wa Bahrain leo wameandamana kulaani hatua ya ukoo wa Aal Khalifa unaotawala nchi hiyo kuanzisha uhusiano na utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3473560    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/15

TEHRAN (IQNA) - Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini Bahrain amesema kuwa dhulma na ukandamizaji unaofanywa na utawala wa ukoo wa Aal Khalifa dhidi ya taifa la Bahrain umeifanya nchi hiyo kuwa sawa na gereza kubwa
Habari ID: 3473533    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/07