Utawala wa kifalme Bahrain umeendeleza ukandamizaji wa wanazuoni mashuhuri wa Kiislamu, katika fremu ya kampeni dhidi ya Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini humo.
Habari ID: 3470504 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/08
Utawala wa kiimla wa Bahraini umetumia askari kuwazuia Waislamu kutekeleza ibada ya Swala ya Ijumaa katika Msikiti wa Imam Sadiq (AS) katika kijiji cha Diraz nje ya mji mkuu Manama.
Habari ID: 3470496 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/05
Utawala wa Kifalme Bahrain umekivunja chama cha Kiislamu cha al-Wefaq ambacho ndio chama kikuu cha upinzani nchini humo.
Habari ID: 3470461 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/07/18
Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imetoa taarifa kulaani hatua ya Bahrain ya kumvua uraia Ayatullah Isa Qassim.
Habari ID: 3470405 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/21
Utawala wa kiimla wa ukoo wa Aal Khalifa nchini Bahrain umevuna Jumuiya ya Qur'ani nchini humo kwa madai kuwa eti imekiuka sheria.
Habari ID: 3470399 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/20
Katika kuendelea ukiukwaji wa haki za binadamu nchini Bahrain, wanajeshi wa utawala wa Aal Khalifa wamemtia mbaroni Nabil Rajab, mkuu wa kituo cha haki za binadamu nchini humo.
Habari ID: 3470381 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/13
Mashindano ya 16 ya Kitaifa ya Qur'ani Tukufu miongoni mwa Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Bahraq yamepangwa kufanyika wiki chache zijazo.
Habari ID: 3470359 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/05
Watu wa Bahrain wamefanya maandamano wakitangaza mfungamano wao na wafungwa wengine wa kisiasa nchini humo.
Habari ID: 3470281 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/01
Maulamaa wa madhehebu ya Shia nchini Bahrain wametoa taarifa na kulalamikia hatua ya utawala wa kifalme nchini humo kuwakamata maulamaa wa Kiislamu na maimamu wa misikiti.
Habari ID: 3470253 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/04/18
Askari wa utawala wa kidikteta wa Bahrain wamemtia mbaroni Sheikh Muhammad al-Mansi, aalimu mashuhuri wa nchi hiyo kwa kosa la kusalisha Sala ya jamaa.
Habari ID: 3470250 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/04/17
Taasisi moja ya haki za binadamu ya Umoja wa Mataifa imetaka mwanazuoni mashuhuri wa Bahrain aachiliwe huru kwani anashikiliwa kinyuma cha sheria na utawala wa Aal Khalifa.
Habari ID: 3444271 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/11/07
Wanaharakati wa kutetea haki za binadamu nchini Bahrain wamesema kupigwa marufuku gazeti pekee la kujitegemea la al-Wasat nchini humo ni ukiukaji wa uhuru wa kutoa maoni.
Habari ID: 3341173 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/11
Wa bahrain wamefanya maandamano ya kulaani na kukosoa siasa hizo za ukandamizaji na utiwaji nguvuni wapinzani hasa Sheikh Ali Salman, Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kitaifa ya Wifaq.
Habari ID: 3320158 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/27
Mahakama ya Bahrain imemuhukumu Sheikh Ali Salman, Katibu Mkuu wa chama cha Kiislamu cha al Wifaq kifungo cha miaka minne jela, baada ya jaji mkuu kutupilia mbali dai lililotolewa na wakili wa kiongozi huyo wa kisiasa na kidini kuhusiana na ushahidi wa uongo uliotolewa dhidi yake.
Habari ID: 3315303 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/17
Idara ya Haki za Binadamu katika Umoja wa Mataifa imebainisha wasi wasi wake kuhusu kuteswa wafungwa katika magereza nchini Bahrain na kwa mara nyingine kuwataka wakuu wa nchi hiyo wamuachilie huru mara moja kiongozi wa upinzani Sheikh Ali Salman.
Habari ID: 3312250 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/08
Askari wa Bahrain wamewashambulia wananchi waliokuwa wakiandamana kwa amani kwa mnasaba wa kumbukumbu ya uingiliaji wa kijeshi wa Saudi Arabia nchini Bahrain, wananchi wa Bahrain wamejitokeza mitaani kulalamika na kupinga kuwepo vikosi vamizi vya Saudi Arabia katika nchi hiyo ndogo ya Ghuba ya Uajemi.
Habari ID: 3001292 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/03/17
Ayatullah Sheikh Issa Qassim Kiongozi mkubwa wa kidini nchini Bahrain ametoa wito kwa wananchi wa nchi hiyo kuendelea kusimama kidete na kukabiliana na changamoto kubwa zinazowakabili ikiwemo dhulma inayofanywa na utawala wa kifalme wa nchi hiyo wa Aal Khalifa.
Habari ID: 2612719 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/11/29
Ayatullah Sheikh Issa Qassim wa Bahrain amekosoa kimya cha baadhi ya nchi za Kiarabu kuhusu jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 1433642 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/07/26
Katika hali ambayo utawala wa kifalme wa Bahrain hadi sasa umeshavunja misikiti 38 nchini humo kwa visingizio tofauti, Mfalme wa Bahrain amemzawadia Papa Francis wa Kanisa Katoliki, ramani ya kanisa kubwa linalotarajiwa kujengwa nchini humo.
Habari ID: 1426057 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/07/05
Utawala wa kiimla wa Aal Khalifa nchini Bahrian unahadaa walimwengu na kujaribu kuficha jinai zake dhidi ya watu wa nchi hiyo kwa kuandaa mashindano ya kimataifa ya Qur'ani na pia mashindano ya magari ya Formula One.
Habari ID: 1390961 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/04/06