iqna

IQNA

bahrain
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Duru ya mwisho ya mashindano ya kimataifa ya Qur'ani kwa jina la "Qari Bora Duniani" itafanyika mwezi Aprili.
Habari ID: 3478422    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/27

Watetezi wa Palestina
IQNA – Watu nchini Bahrain wameshiriki maandamano kueleza mshikamano wao na watu wa Palestina na wapiganaji wa Yemen.
Habari ID: 3478220    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/20

Kadhia ya Palestina
IQNA- Chama kikuu cha upinzani nchini Bahrain cha al-Wefaq kimesema hatua ya utawala wa Aal-Khalifa ya kujiunga na muungano wa baharini wa Marekani katika Bahari Nyekundu ni kusaliti kadhia ya Palestina.
Habari ID: 3478077    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/23

Waislamu wa Bahrain
TEHRAN (IQNA)- Kukamatwa Sheikh Muhammad S'anqur, Alimu mashuhuri, Khatibu na Imamu wa Sala ya Ijumaa wa Msikiti wa Imam Sadiq (AS) ulioko katika kitongoji cha Al-Diraz nchini Bahrain kumeibua moto wa hasira za umma wa Waislamu nchini humo.
Habari ID: 3477043    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/25

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) - Kundi kuu la upinzani nchini Bahrain, Jumuiya ya Kitaifa ya Kiislamu ya al-Wefaq, limelaani utawala unaotawala wa kifalme wa ukoo wa Al Khalifa kwa kuwazuia Waislamu kufanya maandamano ya kupinga kuvunjiwa heshima Qur'ani barani Ulaya.
Habari ID: 3476476    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/28

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Waislamu wa Madhehebu ya Shia nchini wa Bahrain Sheikh Isa Qassim amelaani vikali kitendo cha kuchomwa moto Qur'ani Tukufu hivi karibuni katika nchi za Ulaya.
Habari ID: 3476466    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/26

Mapambano ya watu wa Bahrain
TEHRAN (IQNA) – Kiongozi mkuu wa Kiislamu nchini wa Bahrain, Sheikh Isa Qassim amesisitiza kuendelea kwa njia ya Jihad na mageuzi katika nchi hiyo ya Kiarabu katika Ghuba ya Uajemi.
Habari ID: 3476266    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/18

Ukandamizaji Bahrain
TEHRAN (IQNA) - Makundi ya upinzani Bahrain yamelaani mashtaka mapya dhidi ya mtetezi maarufu wa haki za binadamu na mwanaharakati wa kisiasa Abdulhadi al-Khawaja.
Habari ID: 3476186    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/02

Hali ya Bahrain
TEHRAN (IQNA) - Mwanaharakati wa kisiasa wa Bahrain na mtetezi wa haki za binadamu ambaye tayari anatumikia kifungo cha maisha jela ameripotiwa kulengwa na msururu wa mashtaka mapya ikiwa ni pamoja na kuutusi utawala haramu Israel unaozikoloni ardhi za Palestina.
Habari ID: 3476111    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/18

TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kitaifa ya Kiislamu ya al-Wefaq, kundi kuu la upinzani la Bahrain, amekaribisha wito wa Shekhe Mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar Sheikh Ahmed el-Tayyib wa mazungumzo ya baina ya Waislamu wa madhehebu ya Shia na Sunni.
Habari ID: 3476072    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/11

Jinai nchini Bahrain
TEHRAN (IQNA) - Jumuiya ya Kitaifa ya Kiislamu ya Al-Wefaq ambayo ni kundi kuu la upinzani nchini Bahrain linasema utawala wa ukoo wa Aal Khalifah unatumia vibaya ziara ya Papa Francis nchini humo ili kuficha jinai zake na ukiukaji wa haki za binadamu.
Habari ID: 3476036    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/05

Hali ya Bahrain
TEHRAN (IQNA)- Shirika la Haki za Binadamu la Human Rights Watch limetangaza kuwa, utawala wa Bahrain unatumia sheria za kuwatenga kisiasa wapinzani.
Habari ID: 3476019    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/01

Waislamu Bahrain
Ayatullah Sheikh Isa Qassem, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu Bahrain amesema, utawala wa kifalme wa Aal Khalifa unataka kuwafanya watu wa nchi hiyo watumwa.
Habari ID: 3475878    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/04

Kujipenyeza Wazayuni
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Bahrain amekosoa viikali uamuzi wa utawala wa Aal Khalifa wa kuanzisha kitongoji cha walowezi wa Kiyahudi katika mji mkuu Manama na kueleza kwamba, hatua hiyo ni jinai na dhulma ya wazi dhidi ya wananchi wa nchi hiyo ya Kiarabu.
Habari ID: 3475711    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/31

Hali ya Waislamu Bahrain
TEHRAN (IQNA) – Utawala wa kiimla wa Bahrain umeshadidisha ukandamizaji wake wa kikatili dhidi ya Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini humo kabla ya Siku ya Ashura.
Habari ID: 3475577    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/04

Njama za Israel
TEHRAN (IQNA)- Mfalme wa Bahrain amemfuta waziri mwanamke wa nchi hiyo kwa kukataa kumpa mkono balozi wa utawala haramu wa Israel mjini Manama na kwa kupinga hatua ya kuanzisha ya uhusiano wa kawaida na utawala huo haramu.
Habari ID: 3475534    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/24

Ukandamizaji
TEHRAN (IQNA)- Mahakama ya Juu ya Saudia imeendeleza sera za kuwaua Waislamu wa madhehebu ya Shia kwa kuidhinisha hukumu ya kuwanyonga vijana wawili raia wa Bahrain.
Habari ID: 3475275    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/21

TEHRAN (IQNA)- Harakati za Palestina za Hamas na Jihad ya Kiislamu zimelaani mkutano waliofanya mawaziri wa mambo ya nje wa nchi nne za Kiarabu na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel katika eneo linalokaliwa kwa mabavu la Naqab.
Habari ID: 3475084    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/28

TEHRAN (IQNA)- Waandamanaji wenye hasira nchini Bahrain wameteketeza moto bendera za utawala wa Kizayuni wa Israel kulaani safari ya siku mbili ya waziri mkuu wa utawala haramu wa Israel Naftali Bennet katika nchi hiyo ndogo ya Ghuba ya Uajemi.
Habari ID: 3474936    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/16

TEHRAN (IQNA)- Februari 14, 2022 inasadifiana na kumbukumbu ya miaka 11 ya mwamko na vuguvugu la watu wa Bahrain dhidi ya utawala wa Al Khalifa.
Habari ID: 3474930    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/14