iqna

IQNA

sala ya ijumaa tehran
Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
IQNA-Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran amesema kuwa Palestina ndiyo kadhia muhimu zaidi ya Umma wa Kiislamu na kuongeza kuwa: Leo hii harakati ya Muqawama ndiye mshindi halisi.
Habari ID: 3478076    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/22

Wiki ya Umoja wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa jijini Tehran amesisitiza umuhimu wa umoja wa Waislamu huku Waislamu wakiadhimisha 'Wiki ya Umoja wa Kiislamu' duniani kote.
Habari ID: 3477666    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/29

Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)-Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran ameeleza kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel umepoteza uwezo wake na kusema: Nguvu ya kujihami ya kambi ya muqawama inapasa kuimarishwa, na muqawama wa Palestina unapaswa kuendeleza njia hiyo kwa nguvu na fahari.
Habari ID: 3476990    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/12

Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya Tehran ametaja kufeli Marekani katika kuziunganisha nchi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuwa ni ushindi au nusra kutoka kwa Mwenyezi Mungu na akaongeza kuwa: "Kumfuata Wali ul Amr wa Waislamu na Hujja za Kisharia ni mfano wa usaidizi wa Mwenyezi Mungu."
Habari ID: 3476960    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/05

Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Imam wa Sala ya Ijumaa wa ya Tehran amesema kwamba wananchi wa Iran walichukua hatua madhubuti na kubwa kuelekea katika kuliwezesha zaidi taifa katika maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds, na ametoa shukrani zake kwa ushiriki mkubwa wa wananchi katika maandamano ya siku hiyo ya kuwaunga mkono mapambano ya ukombozi ya Wapalestina.
Habari ID: 3476927    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/28

Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya wiki hii mjini Tehran amesisitiza kuwa: adui amefanya makosa katika hesabu zake huku taifa la Iran likichagua mantikiya Mapinduzi ya Kiislamu.
Habari ID: 3476717    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/17

Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran amesema, Idara ya Mahakama iwachukulie hatua kali waliohusika na kuwapa sumu wanafunzi.
Habari ID: 3476684    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/10

Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya Tehran amesema aada ya miaka minane ya vita kamili vya kijeshi na kiuchumi vilivyomalizika kwa ushindi wa Iran ya Kiislamu, maadui wanatumia mbinu mpya ya kuanzisha vita, uvamizi na hujuma ya kiutamaduni dhidi ya Iran.
Habari ID: 3476616    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/24

Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa mjini Tehran amekosoa mienendo ya nchi za Magharibi kuhusiana na tetemeko la ardhi nchini Syria.
Habari ID: 3476573    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/17

Khatibu wa Sala ya Ijumaa
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa muda wa Sala ya Ijumaa ya mjini Tehran amesema kuwa, matembezi ya Bahman 22 (Febrauri 11) ambayo yatafanyika kesho Jumamosi katika kona zote za Iran kuadhimisha mwaka wa 44 wa ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu, kwa taufiki na uwezo wa Mwenyezi Mungu yatakuwa ni muhuri wa ushindi wa wananchi wa Iran ya Kiislamu dhidi ya njama zote za maadu
Habari ID: 3476541    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/10

Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa mjini Tehran amesema serikali za Magharibi zinaunga mkono kuvunjiwa heshima dini za Mwenyezi Mungu hususan Uislamu.
Habari ID: 3476470    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/27

Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa muda wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran amesema kuwa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) ni nguzo muhimu na ni msingi wa nguvu za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kusisitiza kuwa, wananchi na fikra za kitawhidi za maimamu wawili wa Mapinduzi ya Kiislamu, daima zimekuwa ndizo ngao za jeshi la IRGC.
Habari ID: 3476434    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/20

Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa mjini Tehran, ameashiria hatua ya jarida moja la Ufaransa kumvunjia heshima Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu na kusema: Maadui wanataka kuzima nuru ya Uislamu lakini kwa neema ya Mwenyezi Mungu na nuru hii haiwezi kuzimwa kwa na ni wazi kuwa mzizi wa matusi haya ni uadui dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3476396    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/13

Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran ameitaja tarehe 9 Dei (30 Disemba) kuwa, muhuishaji wa dini kwa baraka za mahudhurio ya wananchi ambao walisambaratisha njama za maadui na kulirejeshea taifa hili utulivu uliokuwa umetoweka.
Habari ID: 3476332    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/30

Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya mjini Tehran amezungumzia misimamo ya Iran dhidi ya madola ya kibeberu na kusema kuwa, wananchi wa Iran wamegeuza vitisho vyote vya mabeberu kuwa fursa.
Habari ID: 3476187    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/02

Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN(IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa leo hapa Tehran amevitaja vikosi vya usalama, jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) na kikosi cha jeshi la Basij kuwa nembo ya uwezo na nguvu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kusema: kudhuru uwezo wa mfumo wa Kiislamu ni moja ya malengo ya waibua ghasia.
Habari ID: 3476109    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/18

Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran amesema, kuifanya sekta ya ulinzi ya makombora itegemee kikamilifu uwezo na utaalamu wa ndani kumeipa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nguvu za kumhofisha adui asiweze kuanzisha mashambulio.
Habari ID: 3476071    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/11

Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Hatibu wa Sala ya Ijumaa mjini Tehran amepongeza hatua ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) ya kushambulia ngome za magaidi wanaotaka kujitenga huko kaskazini mwa Iraq na kusema: Usalama wa Iran hauwezi kufumbumbiwa macho hata kidogo.
Habari ID: 3475858    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/30

Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN(IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya Tehran Hujjatul Islam Sayyid Ahmad Khatami amesema kwenye khutba za Sala ya Ijumaa kwamba, kufariki dunia mwananchi yoyote Iran jambo la kusikitisha na inabidi kuipa mkono wa pole familia ya marehemu.
Habari ID: 3475826    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/23

Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran amesisitiza kuwa, mapambano ya watu wa Palestina na Yemen ni muendelezo wa mapambano ya Ashura katika jangwa la Karbala mwaka 61 Hijria.
Habari ID: 3475790    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/16