iqna

IQNA

sala ya ijumaa tehran
Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran amesisitiza kuwa, mapambano ya watu wa Palestina na Yemen ni muendelezo wa mapambano ya Ashura katika jangwa la Karbala mwaka 61 Hijria.
Habari ID: 3475790    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/16

Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyoswaliwa hapa Tehran amegusia mazungumzo ya nyuklia ya JCPOA, na kuziasa nchi za Ulaya kukumbatia fursa iliyopo ya kufidia na kusahihisha makosa yake mkabala wa mapatano hayo ya kimataifa.
Habari ID: 3475722    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/02

Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran amesema kuwa, timu ya Iran katika mazungumzo ya nyuklia katu haitalegeza msimamo mbele ya adui ili taifa hili liondolewe vikwazo vya kidhalimu vya Marekani.
Habari ID: 3475682    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/26

Khatibu wa Sala ya Ijumaa
TEHRAN (IQNA)- Imamu wa muda wa Sala ya Ijumaa ya Tehran amesema, kwa muda wote walipokuwa wakishikiliwa mateka, mateka wa kivita wa Iran walizigeuza kambi za Kibaathi madrasa za mafunzo na mafundisho ya Ashura.
Habari ID: 3475645    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/19

Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran amesema maroketi na makombora kutoka Ukanda wa Gaza yaliwafanya walowezi wa Kizayuni wakimbilie mapangoni mwao kutafuta hifadhi na kulazimika kufanya mapataano na kusitisha mapigano.
Habari ID: 3475611    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/12

Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya Tehran amesema fadhila za msingi za harakati ya Imam Hussein AS zilikuwa ni mapambano au muqawama, subira na istiqama.
Habari ID: 3475580    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/05

Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo mjini Tehran amesema kuwa, wanawake Wairani wameweza kunawiri katika sekta za kielimu, kisiasa, kiuchumi na usimamizi huku wakiwa wanazingatia Hijabu, vazi la staha la Kiislamu jambo ambalo limewakasirisha maadui.
Habari ID: 3475555    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/29

Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran amesema, Wamarekani wanapaswa kuondoka eneo la Asia Maghariibi la sivyo watakabiliwa na hatima kama ille waliyokumbana nayo Afghanistan.
Habari ID: 3475523    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/22

Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran amesema: Suala la Ghadir ni kadhia ya kipekee katika historia ya mwanaadamu, na Mwenyezi Mungu hajalipa tukio lolote lile umuhimu mkubwa kuliko tukio la Ghadir Khum.
Habari ID: 3475506    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/15

Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA0- Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo hapa Tehran Ameashiria ujumbe muhimu wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kwa Mahujaji wa Nyumba Tukufu ya Mwenyezi Mungu na kubainisha kuwa, "Nguzo mbili muhimu za ibada ya Hija ni Dhikr (kumtaja/kumdhukuru Allah) na umaanawi.
Habari ID: 3475477    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/08

Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya Tehran amesema eneo la Asia Magharibi halidhibitiwi tena Marekani, na kwamba hivi sasa lipo katika mikono ya mataifa ya Waislamu.
Habari ID: 3475447    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/01

Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo mjini Tehran amesema, muongozo na muelekeo wa kisiasa wa Imam Khomeini -Mwenyezi Mungu Amrehemu- ni kielelezo cha wazi cha falsafa ya siasa katika Uislamu.
Habari ID: 3475329    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/03

Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran amesema kuwa, safari za hivi karibuni ya Rais Bashar al-Assad wa Syria na Amir wa Qatar Sheikh Tamim bin Hamad Al-Thani nchini Iran zilikuwa za kimkakati na muhimu.
Habari ID: 3475244    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/13

Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya Tehran amesema, utawala wa Kizayuni wa Israel umezingirwa na wanamapambano wa Kiislamu walioko Palestina, Lebanon, Iraq na Yemen.
Habari ID: 3475212    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/06

TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa muda wa Sala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran amesisitiza kuwa sekta ya nyuklia ni haki ya kidini na kisheria ya wananchi wa Iran.
Habari ID: 3475101    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/08

Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Muda wa Sala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo hapa mjini Tehrah amekosoa vikali mienendo ghalati ya Marekani katika medani ya kimataifa na kusisitiza kuwa, US ni nembo ya ujahili mamboleo.
Habari ID: 3475003    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/04

Khatibu wa Sala ya Ijumaa
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya leo mjini Tehrah amesema, hatua za kichochezi zilizochukuliwa na shirika la kijeshi la NATO kwa uongozi wa Marekani zimetatanisha hali ya mambo katika eneo; na si hasha zikaifanya iwe tata zaidi.
Habari ID: 3474975    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/25

TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran amesema kuwa, Mapinduzi ya Kiislamu yameleta matumaini kwa wanyonge na wapigania ukombozi wa mataifa yao kama ambavyo yametia nguvu masuala ya kiroho na kimaanawi ulimwenguni.
Habari ID: 3474917    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/11

Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo mjini Tehran amesema: "Mapinduzi ya Kiislamu sawa na matukio ya Ashura na Ghadir ni akiba isiyomalizika na inapaswa kutumiwa ipasavyo."
Habari ID: 3474887    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/04

Imam wa muda wa Sala ya Ijumaa ya hapa mjini Tehran
TEHRAN (IQNA)- Imam wa muda wa Sala ya Ijumaa ya hapa mjini Tehran amegusia mazungumzo yanayoendelea mjini Vienna kuhusu kuondolewa vikwazo vya kidhulma ilivyowekewa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kusema kuwa, Marekani ina wajibu wa kuondoa vikwazo vyote ilivyoiwekea Iran, tena kwa sura ya kudumu.
Habari ID: 3474862    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/28