TEHRAN (IQNA) – Mashindano ya 37 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yanatazamiwa kuakhirishwa kutokana na hofu ya kirusi cha Corona.
Habari ID: 3472513 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/27
TEHRAN (IQNA) - Idadi ya watu waliouawa katika ghasia zinazosababishwa na sheria tata yenye kuwabagua Waislamu katika mji mkuu wa India, New Delhi inazidi kuongeza ambapo takwimu mpya zinaonyesha kuwa, idadi hiyo imefikia 30 huku mamia ya watu wengine wakijeruhiwa.
Habari ID: 3472511 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/27
TEHRAN (IQNA) – Msikiti umeteketezwa moto Jumanne katika mtaa wa Ashok Vihar katika mji mkuu wa India, New Delhi huku maandamano ya kupinga sheria mpya ya uraia yakiendelea.
Habari ID: 3472507 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/26
TEHRAN (IQNA) - Siku kama ya leo miaka 26 iliyopita, February 25, 1994, Mzayuni mmoja aliyekuwa na misimamo ya kufurutu ada aliwashambulia na kuwamiminia risasi Waislamu waliokuwa wakitekeleza ibada ya Swala katika Msikiti wa Haram ya Nabii Ibrahim mjini al Khalil (Hebron), Palestina inayokaliwa kwa mabavu na kuua shahidi 29 miongoni mwao.
Habari ID: 3472504 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/25
TEHRAN (IQNA) - Mahakama ya Nigeria imeakhirisha tena kusikiliza kesi ya Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria (IMN), Sheikh Ibrahim Zakzaky hadi mwezi Aprili.
Habari ID: 3472503 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/25
TEHRAN (IQNA) – Mtengeneza filamu wa Iran Narges Abyar ametunukiwa zawadi kama 'mwanamke bora na aliyefanikiwa zaidi katika ulimwengu wa Kiislamu."
Habari ID: 3472489 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/20
TEHRAN (IQNA) - Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa ameendeleza vita vyake dhidi ya Uislamu baada ya kutangaza kuwa atapambana na 'Uislamu wa kisiasa."
Habari ID: 3472485 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/19
TEHRAN (IQNA) – Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amenukulu aya ya Qur'ani Tukufu kuhusu wakimbizi na akazipongeza Iran na Pakistan kutokana na ukarimu wao katika kuwapa hifadhi wakimbizi wa Afghanistan.
Habari ID: 3472482 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/18
Sayyed Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi wa Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa Marekani ni muhusika wa vita vyote eneo la Asia Magharibi na amesisitiza kuwa, ni lazima kuendesha muqawama katika pande zote kukabiliana na utawala huo wa kibeberu wa Marekani.
Habari ID: 3472479 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/17
TEHRAN (IQNA) –Malaysia imepewa jukumu la kutayarisha chakula halali, ambacho kimetayarishwa kwa mujibu wa mafundisho ya Kiislamu, kwa ajili ya michezo ya Olimpiki ya Tokyo 2020.
Habari ID: 3472477 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/16
TEHRAN (IQNA) – Msikiti uliojengwa miaka 130 iliyiopita nchini Singapore, umefunguliwa baada ya ukarabati wa miaka miwili na sasa unaweza kubeba waumini 2,500 kutoka 1,500.
Habari ID: 3472473 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/15
TEHRAN (IQNA) – Polisi nchini Ujerumani Ijumaa waliwakamata watu 12 ambao wanashukiwa kuanzisha mtandano wa mrengo wa kulia wenye misimamo mikali kwa lengo la kutekeleza hujuma dhidi ya wanasiasa, wakimbizi na Waislamu.
Habari ID: 3472472 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/15
Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu asema
TEHRAN (IQNA) - Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amemtaja Shahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani, Kamanda wa Kikosi cha Quds cha IRGC kama shakhsia aliyehuisha 'harakati za jihadi na kuuawa shahidi' katika ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3472471 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/14
TEHRAN (IQNA) – Makumi ya walowezi wa Kizayuni wameuhujumu Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3472467 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/13
TEHRAN (IQNA) - Msichana kutoka katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) ametimiza ndoto yake ya kujenga msikiti katika nchi masikini.
Habari ID: 3472465 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/12
TEHRAN (IQNA) - Ismail Haniya Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amemtumia ujumbe Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu na akimpongeza yeye na taifa la Iran kufuatia maadhimisho ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu.
Habari ID: 3472463 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/12
Rais Hassan Rouhani
TEHRAN (IQNA) - Rais Hassan Rouhani amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inaendelea kustawi na kuimarika licha ya uhasama na njama za maadui hususan Marekani, na kwamba 'Mapinduzi ya Kiislamu' lilikuwa chaguo la taifa zima la Iran.
Habari ID: 3472461 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/11
TEHRAN (IQNA) – Watu wasiojulikana wameuhujumu msikiti katika mji wa Ulm nchini Ujerumani katika tukio linalohesabiwa kuwa ni la chuki dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3472456 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/10
AMIRI JESHI MKUU WA IRAN
TEHRAN (IQNA) - Amiri Jeshi Mkuu wa vikosi vya ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, kuna ulazima wa Iran kuwa na nguvu katika pande zote hasa katika uga wa ulinzi; na akasisitiza kwamba: "Ni lazima kuwa na nguvu ili vita visiibuke na vitisho viishe."
Habari ID: 3472451 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/08
TEHRAN (IQNA) - Waislamu wa Slovenia wameshiriki katika Sala ya kwanza ya Ijumaa katika msikiti pekee nchini humo.
Habari ID: 3472450 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/08