TEHRAN (IQNA)-Jumuiya ya Kimataifa ya Wanazuoni Waislamu (IUMS) imelaani tawala za Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kwa kuendelea kuwashikilia kinyume cha sheria wahubiri wa Uislamu.
Habari ID: 3471362 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/01/20
IQNA (TEHRAN)-Serikali ya Bangladesh inasema wakimbizi Waislamu Warohingya waliopata hifadhi nchini kufuatia ukatili wanaotendewa nchini Myanmar sasa wamefika milioni moja na idadi hiyo ni kubwa zaidi ya ile ambayo imekuwa ikitajwa katika vyombo vya habari.
Habari ID: 3471360 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/01/19
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema Marekani imekuwa ikifanya "ufidhuli mkubwa" kuhusu Quds Tukufu (Jerusalem) na kuongeza kuwa njama zake hizo hazitafika popote.
Habari ID: 3471357 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/01/17
TEHRAN (IQNA)-Mji wa Cape Town nchini Afrika Kusini unatekeleza sera za kuwavutia watalii wa tamaduni na dini mbali mbali na kwa msingi huo kuna mpango maalumu wa kuwavutia watalii Waislamu katika fremu ya Utalii Halali.
Habari ID: 3471356 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/01/16
TEHRAN (IQNA)-Hafidh wa Qur'ani Tukufu kutoka Morocco ametangazwa mshindi katika Mashindano ya Tisa ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu nchini Sudan na kutunukiwa zawadi yake Jumamosi usiku.
Habari ID: 3471355 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/01/15
TEHRAN (IQNA)-Nchini Canada, binti Muslamu mwenye umri wa miaka 11 ameshambuliwa na Hijabu yake kuraruliwa wakati akiwa njiani kuelekea shuleni katika tukio la hujuma ya chuki dhidi ya Waislamu.
Habari ID: 3471352 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/01/13
TEHRAN (IQNA)- Baraza la Mahusiano ya Kiislamu nchini Marekani (CAIR) lina mpango wa kutoa mafunzo maalumu ya njia za kukabiliana na vitendo vya chuki dhidi ya Uislamu nchini humo.
Habari ID: 3471351 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/01/12
Inna Lillah wa Inna Ilayhi Rajioun
TEHRAN (IQNA)-Kiongozi wa Tariqa Muridiyyah (aṭ-Ṭariqat al-Muridiyyah) ya Senegal Sheikh (Serigne) Sidy Mokhtar Mbacke ameaga dunia akiwa na umri wa miaka 94.
Habari ID: 3471350 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/01/11
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, ushahidi na nyaraka za kipelelezi zinaonesha kuwa machafuko ya hivi karibuni nchini Iran yalipangwa na pande tatu.
Habari ID: 3471349 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/01/10
TEHRAN (IQNA)-Jumuiya ya Kimataifa ya Vijana Waislamu imezawadia watu wa Djibouti nakala 15,000 za Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3471346 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/01/08
TEHRAN (IQNA)-Utawala wa Saudi Arabia unawazuia raia wa Qatar kutekeleza Ibada ya Umrah katika miji mitakatifu ya Makkah na Madinah.
Habari ID: 3471345 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/01/07
Khatibu wa Sala ya Ijumaa
TEHRAN- (IQNA) Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran amesema, fujo ambazo zimeshuhudiwa siku za hivi karibuni mjini Tehran zinaashiria kuwepo uchochezi wa Marekani na vibaraka wake.
Habari ID: 3471343 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/01/05
TEHRAN (IQNA)-Idadi ya Waislamu wanaoishi nchini Marekani inatazamiwa kuongezeka maradufu ifikapo mwaka 2050 na hivyo kuufanya Uislamu kuwa dini ya pili kwa ukubwa nchini humo.
Habari ID: 3471342 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/01/04
TEHRAN (IQNA)-Ujumbe wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) umepanga kutembelea kambi za wakimbizi Waislamu wa jamii ya Rohingya katika mji wa Cox’s Bazar nchini Bangladesh kuanzia Januari 3-6.
Habari ID: 3471340 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/01/02
TEHRAN, (IQNA)-Mwanamke Muislamu, Aina Gamzatova, ametangaza kujitosa katika uchaguzi wa urais wa Russia Machi 2018 kwa lengo la kumuondoa madarakani Rais Vladimir Putin wa nchi hiyo.
Habari ID: 3471335 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/01/01
TEHRAN (IQNA)-Waislamu nchini Austria wamekosoa matamshi dhid iya vazi la Hijabu ambayo yametamkwa na waziri mpya wa elimu Heinz Fassmann.
Habari ID: 3471332 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/30
TEHRAN (IQNA)-Eneo la Catalonia nchini Uhispania limepata mwanamek wa kwanza Muslamu mbunge katika uchaguzi uliofanyika Alhamisi iliyopita na hivyo kufanya idadi ya wabunge Waislamu eneo hilo kuwa watatu.
Habari ID: 3471328 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/28
TEHRAN (IQNA)-Tarjumi ya kwanza ya Qur'ani kwa lugha Kirundi imezinduliwa nchini Burundi katika hatua ambayo imetajwa kuwa kihistoria tokea Uislamu uingie nchini humo.
Habari ID: 3471326 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/27
TEHRAN (IQNA)-Asilimia 12.5 ya watu katika kila mkoa nchini Iran wanatazamiwa kuhifadhi Qur'ani kikamilifu ifikapo mwaka 2025, kwa mujibu wa mkakati uliowekwa.
Habari ID: 3471324 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/25
Rais wa Iran atuma ujumbe kwa munasaba wa kuadhimisha kuzaliwa Nabii Isa AS na kusema
TEHRAN (IQNA)-Rais Hassan Rouhani amemtumia salamu viongozi wa mataifa ya dunia na kuwapa mkono wa pongezi kwa mnasaba wa kuadhimisha kuzaliwa mtume wa rehma na saada Nabii Isa Masih AS na vilevile kwa kukaribia kuanza mwaka mpya wa 2018 miladia.
Habari ID: 3471323 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/25