TEHRAN (IQNA)-Ujumbe wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) umepanga kutembelea kambi za wakimbizi Waislamu wa jamii ya Rohingya katika mji wa Cox’s Bazar nchini Bangladesh kuanzia Januari 3-6.
Habari ID: 3471340 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/01/02
TEHRAN, (IQNA)-Mwanamke Muislamu, Aina Gamzatova, ametangaza kujitosa katika uchaguzi wa urais wa Russia Machi 2018 kwa lengo la kumuondoa madarakani Rais Vladimir Putin wa nchi hiyo.
Habari ID: 3471335 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/01/01
TEHRAN (IQNA)-Waislamu nchini Austria wamekosoa matamshi dhid iya vazi la Hijabu ambayo yametamkwa na waziri mpya wa elimu Heinz Fassmann.
Habari ID: 3471332 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/30
TEHRAN (IQNA)-Eneo la Catalonia nchini Uhispania limepata mwanamek wa kwanza Muslamu mbunge katika uchaguzi uliofanyika Alhamisi iliyopita na hivyo kufanya idadi ya wabunge Waislamu eneo hilo kuwa watatu.
Habari ID: 3471328 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/28
TEHRAN (IQNA)-Tarjumi ya kwanza ya Qur'ani kwa lugha Kirundi imezinduliwa nchini Burundi katika hatua ambayo imetajwa kuwa kihistoria tokea Uislamu uingie nchini humo.
Habari ID: 3471326 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/27
TEHRAN (IQNA)-Asilimia 12.5 ya watu katika kila mkoa nchini Iran wanatazamiwa kuhifadhi Qur'ani kikamilifu ifikapo mwaka 2025, kwa mujibu wa mkakati uliowekwa.
Habari ID: 3471324 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/25
Rais wa Iran atuma ujumbe kwa munasaba wa kuadhimisha kuzaliwa Nabii Isa AS na kusema
TEHRAN (IQNA)-Rais Hassan Rouhani amemtumia salamu viongozi wa mataifa ya dunia na kuwapa mkono wa pongezi kwa mnasaba wa kuadhimisha kuzaliwa mtume wa rehma na saada Nabii Isa Masih AS na vilevile kwa kukaribia kuanza mwaka mpya wa 2018 miladia.
Habari ID: 3471323 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/25
TEHRAN (IQNA)-Waislamu nchini Canada wamekuwa na mchango mkubwa na ni rasilimali muhimu kwa nchi amesema Waziri Mkuu Justin Trudeau katika ujumbe wake kwa Kongamano la Kuhuisha Uislamu.
Habari ID: 3471322 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/24
TEHRAN (IQNA)-Waislamu maeneo mbali mbali duniani wamebaiisha hasira zao kufuatia matamshi ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Bahrain aliyeandika kwenye ukurasa wake wa Twitter kuwa eti kadhia ya Quds na Palestina si muhimu bali ni suala la pembeni tu.
Habari ID: 3471320 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/22
TEHRAN (IQNA)-Duru ya 19 ya "Wiki ya Kitaifa ya Qur'ani" ya Algeria imeanza kuadhimishwa Disemba 19 katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.
Habari ID: 3471319 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/21
TEHRAN (IQNA)-Serikali ya Finland imekataa kutoa idhini ya ujenzi wa msikiti uliokuwa umepangwa kufadhiliwa na Bahrain katika mji mkuu wa nchi hiyo, Helsinki.
Habari ID: 3471318 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/21
TEHRAN (IQNA)-Katika kuendeleza ukatili dhidi ya Waislamu, wanajeshi wa Myanmar wamemkamata mtoto aliyekuwa amehifadhi Qur'ani na kisha kumuua katika jimbo la Rakhine.
Habari ID: 3471317 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/20
TEHRAN (IQNA)-Baraza Kuu la Benki na Taasisiza Kifedha za Kiislamu (CIBAFI) limepanga limetangaza kuwa kikao chake cha tatu cha kimataifa kitafnayika Aprili 18-19 mwakani mjini Istanbul, Uturuki.
Habari ID: 3471313 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/17
إِنَّا لِلّهِ وَإِنَّـا إِلَيْهِ رَاجِعونَ
“Hakika sisi ni wa Mwenyezi Mungu, na Kwake Yeye tutarejea"
TEHRAN (IQNA)-Sheikh Shaaban al Jundi, qarii wa Qur'ani Tukufu kutoka mkoa wa Beni Suef nchini Misri ameaga dunia hivi karibuni baada ya kuadhini katika moja ya misikiti ya mkoa huo.
Habari ID: 3471312 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/17
Rais Hassan Rouhani
TEHRAN (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa Iran iko tayari kushirikiana na nchi za Kiislamu bila ya masharti yoyote kwa ajili ya kuitetea Quds tukufu na kusema adui mkubwa wa Wayahudi si Waislamu wala Waarabu bali ni mradi hatari sana wa Wazayuni.
Habari ID: 3471309 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/14
TEHRAN (IQNA)-Utawala wa Kibuddha wa Myanmar umebomoa misikiti 16 kati ya 17 katika vijivi vya eneo Haindafar katika jimbo la Rakhine lenye Waislamu wa jamii ya Rohingya.
Habari ID: 3471308 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/13
TEHRAN (IQNA)-Zaidi ya wageni 20,000 kutoka kote duniani wanahudhuria sherehe za Maulid ya Mtume SAW inayofanyika katika Kisiwa cha Lamu katika Pwani ya Kenya.
Habari ID: 3471307 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/12
TEHRAN (IQNA)-Waislamu wamehimizwa kujifunza kuhusu mfumo wa Uchumi wa Kiislamu sambamba na mifumo mingine ya kiuchumi.
Habari ID: 3471306 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/12
TEHRAN (IQNA)-Shirika la mavazi ya michezo la Nike limeanza kuuza 'Hijabu ya Wanamichezo' ambayo ni maalumu kwa wanamichezo wa kike Waislamu wanaotaka kujisitiri.
Habari ID: 3471305 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/11
TEHRAN (IQNA)-Wanafunzi wapatao 14,000 hadi sasa wamejisajili kushiriki katika awamu ya 57 ya Mashindano ya Qurani katika shule za Qatar.
Habari ID: 3471304 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/11