TEHRAN (IQNA)- Njama ya watu wenye misimamo mikali ya kinazi ya kuushambulia kwa bomu msikiti Scotland nchini Uingereza imetibuliwa na mshukiwa kukamatwa.
Habari ID: 3471430 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/03/16
TEHRAN (IQNA)- Kituo kipya cha Kiislamu kimefunguliwa katika mjini Mombasa, Kenya katika mtaa wa Majengo kwa lengo la kukabiliana na misimamo mikali ya kidini.
Habari ID: 3471428 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/03/14
TEHRAN (IQNA)- Wachunguzi wa Umoja wa Mataifa wameulaumu mtandao maarufu wa kijamii wa Facebook kuwa umehusika kwa uchochezi wa mauaji ya umati dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya nchini Myanmar.
Habari ID: 3471427 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/03/13
TEHRAN (IQNA)- Mesut Ozil mchezaji mashuhuri Mwislamu katika timu ya taifa ya soka ya Ujerumani amemjibu mwanasiasa anayeuchukia Uislamu ambaye alimkosoa kwa safari yake ya Umrah.
Habari ID: 3471425 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/03/11
TEHRAN (IQNA)-Idadi ya Waislamu nchini Russia sasa imefika watu milioni 25 kati ya watu milioni 145 nchini humo, amesema Mufti Mkuu wa Russia Sheikh Rawil Gaynetdin.
Habari ID: 3471421 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/03/08
TEHRAN (IQNA)-Hali ya hatari imetangazwa kote Sri Lanka Jumanne baada ya magenge ya Mabuddha kuwahujumu Waislamu katika wilaya moja ya kati mwa nchi hiyo.
Habari ID: 3471420 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/03/07
TEHRAN (IQNA)- Waandishi habari Wapalestina wameandamana nje ya ofisi ya Umoja wa Mataifa katika Ukanda wa Ghaza kulalamikia mwenendo wa mtandao wa kijamii wa Facebook kufunga akaunti za Wapaletina.
Habari ID: 3471419 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/03/06
TEHRAN (IQNA) – Kijana mwenye umri wa miaka 20, Amiru Yunusa, wa Jimbo la Bauchi ametangazwa kuwa mshindi wa Mashindano ya 23 ya Kitaifa ya Qur'ani ya Nigeria yaliyofanyika katika jimbo la Katsina kaskazini mwa nchi hiyo.
Habari ID: 3471416 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/03/05
TEHRAN (IQNA)-Misikiti kadhaa nchini Uingereza imefungua milango kwa watu wasio na makao nchini humo bila kujali dini yao kufuatia baridi kali na theluji iliyovunja rekodi nchini humo na kupelekea watu zaidi ya 11 kupoteza maisha katika kipindi cha wiki moja.
Habari ID: 3471414 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/03/03
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika mkutano na maulamaa wa Syria
TEHRAN (IQNA)-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema, " Ni matumaini yetu sote tutaiona siku ambayo mtasali sala la jamaa mjini Quds na siku hiyo haiko mbali tena bali itafika karibuni hivi, ni sawa tu kama watu kama sisi tutakuwa bado tupo au hatupo tena".
Habari ID: 3471412 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/03/02
Mtaalamu wa Qur’ani kutoka Lebanon
TEHRAN (IQNA)-Mtaalamu wa Qur’ani Tukufu kutoka Lebanon amesema mitandao ya kijamii ni fursa ya kipekee ya kufundisha Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3471408 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/02/27
TEHRAN (IQNA)- Wiki za hivi karibuni nchini Uingereza, mshambuliaji Muislamu na Mwarabu wa Timu ya Soka ya Liverpool katika Ligi Kuu ya maarufu kama EPL amevuma kwa umahiri na dini yake.
Habari ID: 3471405 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/02/26
TEHRAN (IQNA)-Idara ya Waqfu wa Ahul Sunna katika mkoa wa Diyala nchini Iraq imesema misikiti 109 imefunguliwa tena baada ya kufunguwa kwa miaka mitatu kutokana na hujuma ya magaidi wa ISIS au Daesh katika eneo hilo.
Habari ID: 3471402 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/02/24
TEHRAN (IQNA)- Mashindano ya Qur'ani kwa waliosilimu yamefanyika hivi karibuni mjini Dubai katika Umoja wa Falme za Kiarabu, UAE.
Habari ID: 3471401 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/02/23
Bi. Sayeeda Hussain Warsi
TEHRAN (IQNA)-Baadhi ya vyombo vya habari vya Uingereza vina mtazamo hasi kuhusu Uislamu na Waislamu na hali hivi sasa ni mbaya zaidi ya ilivyokuwa mwaka 2011, amesema mjumbe Muislamu katika Bunge la Malodi la Uingereza Bi. Sayeeda Hussain Warsi
Habari ID: 3471400 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/02/22
TEHRAN (IQNA)-Hafidh wa Qur'ani Tukufu kutoka mji wa Mombasa nchini Kenya, Ustadh Haitham Sagar Ahmad anasema Qur'ani Tukufu ndio njia pekee ya kutatua matatizo katika maisha ya mwanadamu.
Habari ID: 3471399 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/02/21
TEHRAN (IQNA)-Kiongozi wa upinzani Uingereza Jeremy Corbyn ametembelea misikiti kadhaa siku ya Jumapili na kukosoa vikali chuki dhidi ya Uislamu nchini humo.
Habari ID: 3471397 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/02/19
TEHRAN-(IQNA)-Kundi la Kiislamu la GainPeace lenye makao yake katika mji wa Chicago nchini Marekani limezindua kampeni ya mabango yenye kuunga mkono hijabu kama vazi lenye kumpa uwezo mwanamke.
Habari ID: 3471395 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/02/17
Katika Sala ya Ijumaa Hyderabad, India
TEHRAN (IQNA)- Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza juu ya umuhimu wa umoja na mshikamano miongoni mwa Waislamu kote duniani, mbele ya utawala wa Kizayuni wa Israel na maadui wengine wa Uislamu na Waislamu.
Habari ID: 3471393 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/02/16
TEHRAN (IQNA)-Waliowengi nchini Uingereza wana ufahamu mdogo sana kuhusu Uislamu na kwa msingi huo, zaidi ya misikiti 200 nchini humo itafungua milango yake kwa wasiokuwa Waislamu mnamo Februari 18.
Habari ID: 3471391 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/02/14