waislamu - Ukurasa 90

IQNA

Waziri wa Masuala ya Dini Tunisia amefutwa kazi, baada ya kusema kuwa, idiolojia ya Uwahhabi ambayo inatawala Saudi Arabia ndiyo chanzo cha ugaidi duniani.
Habari ID: 3470652   Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/05

IQNA-Watu wanne wamejeruhiwa baada ya polisi nchini Nigeria kuwashambulia Waislamu wa madhehebu ya Shia waliokuwa wakiandamana Ijumaa ya leo katika mji mkuu Abuja.
Habari ID: 3470651   Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/04

IQNA-Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeazimiakuimarisha uhusiano wake wa kidini na Ghana.
Habari ID: 3470647   Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/02

IQNA-Shirika moja la misaada la Qatar limesambaza nakala 80,000 za Qur'ani miongoni mwa Waislamu nchini Tanzania.
Habari ID: 3470645   Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/31

IQNA-Maafisa wa Jeshi la Majini la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wameshiriki katika Sala ya Ijumaa katika mji mkubwa wa Tanzania, Dar es Salaam.
Habari ID: 3470641   Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/29

IQNA-Uislamu ni dini inayoenea kwa kasi zaidi nchini Ireland huku kukiimarishwa jitihada za kuelimisha jamii kuhusu Uislamu.
Habari ID: 3470640   Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/28

Serikali ya India inapanga kupiga marufuku Taasisi ya Utafiti wa Kiislamu (IRF) inayosimamiwa na mhubiri mwenye utata wa pote la Kiwahhabi, Zakir Naik.
Habari ID: 3470639   Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/28

Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
Khatibu wa Swala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo hapa mjini Tehran ameyataka mataifa ya Kiislamu kushikamana na kusimama kidete mbele ya maadui wa Uislamu.
Habari ID: 3470638   Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/28

IQNA-Uhalifu na hujuma zitokanazo na chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) umeongezeka kwa asilimia 89 nchini Marekani.
Habari ID: 3470630   Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/23

Spika wa Bunge la Iraq
Spika wa Bunge la Iraq amesema Umma wa Kiislamu unakabiliwa na hatari kubwa kutokana na makundi ya wenye misimamo mikali nay a kufurutu ada.
Habari ID: 3470628   Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/22

Serikali ya Myanmar imezuia misaada ya chakula kufikishwa kwa Waislamu wa kabila la Rohingya wanaoishi katika jimbo la Rakhine kaskazini magharibi mwa nchi hiyo.
Habari ID: 3470623   Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/20

Russia na Iran zinashirikiana katika kuandaa kongamano la Umoja wa Kiislamu mjini Moscow.
Habari ID: 3470619   Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/18

Afisa wa Umoja wa Mataifa
Afisa wa ngazi za juu katika Umoja wa Mataifa amesema Waislamu Zaidi ya 120,000 nchini Myanmar wanaishi katika hali mbaya sana wakiwa katika kambi za wakimbizi wa ndani ya nchi.
Habari ID: 3470615   Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/16

Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu Sayansi na Utamaduni UNESCO limepitisha azimio na kusema Msikiti wa Al Aqsa ni milki ya Waislamu kwamba Mayahudi hawana haki katika msikiti huo.
Habari ID: 3470611   Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/14

Waislamu wasiopungua 10 wameuawa shahidi Jumatano baada ya jeshi kuwashambulia Waislamu waliokuwa katika maombolezo ya Ashura ya kukumbuka mauaji ya mjukuu wa Mtume Muhammad SAW , Imam Hussein bin Ali AS katika jimbo la Katsina huko kaskazini magharibi mwa Nigeria.
Habari ID: 3470610   Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/13

Mwanamke Mwislamu amehujumiwa na kuvuliwa Hijabu katika hujuma ya kibaguzi iliyojiri mjini London.
Habari ID: 3470607   Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/10

Raia wasiopungua 160 wameuawa kinyama katika mji mkuu wa Yemen Sana'a baada ya ndege za kijeshi za Saudi Arabia kuwashambulia walipokuwa katika kikao cha mazishi.
Habari ID: 3470606   Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/09

Katika muendelezo wa ukandamizaji wa Waislamu nchini Nigeria, Harakati ya Kiislamu ya Nigeria inayoongozwa na Sheikh Ibrahim Zakzaky imepigwa marufuku katika jimbo la Kaduna kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.
Habari ID: 3470605   Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/08

Hawza Imam Swadiq (a.s) na Masjid al Ghadiir katika mji wa Dar es Salaam Tanzania imeshuhudia tukio la kupandishwa Bendera ya Imam Hussein AS.
Habari ID: 3470604   Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/08

Mufti wa Misri
Mufti wa Misri amevitaka vyombo vya habari vya nchi za Magharibi viache kutumia neno "Dola la Kiislamu" kuliarifisha kundi la kigaidi la ISIS au Daesh.
Habari ID: 3470602   Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/07