iqna

IQNA

Serikali ya Nigeria imekiri kuwazika Waislamu 347 wa madhehebu ya Shia katika kaburi la umati mwezi Desemba mwaka 2015.
Habari ID: 3470245    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/04/13

Mwanafunzi wa zamani wa Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria, amebainisha wasiwasi wake kuhusu hali ya kiafya ya mwanazuoni huyo.
Habari ID: 3470243    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/04/12

Ban Ki-moon
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon, amesema Waislamu ni waathirika wakuu wa ugaidi duniani.
Habari ID: 3470236    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/04/09

Viongozi wa utawala wa Aal Saud nchini Saudi Arabia wamepiga marufuku kutangazwa adhana katika misikiti ya Waislamu wa madhehebu ya Shia katika mkoa wa Al-Hasa, mashariki mwa nchi hiyo.
Habari ID: 3470222    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/04/01

Waislamu nchini Marekani wanakabiliana na wimbi jipya la chuki dhidi ya Uislamu au Islamophobia hata baada ya kuwa wamelaani vikali hujuma ya kigaidi mjini Brussels, Ubelgiji Jumanne hii.
Habari ID: 3470215    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/03/26

Waislamu huko Bosnia Herzegovina wamebainisha kusikitishwa na kifungo cha miaka 40 tu jela alichohukumiwa Radovan Karadzic aliyekuwa kiongozi wa zamani wa Bosnia Serbia ambaye amepatikana na hatia ya kuua Waislamu 7,000.
Habari ID: 3470214    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/03/25

Waislamu nchini Marekani Baraza wamemkosoa mgombea uteuzi wa kiti cha rais katika chama Republican Ted Cruz kufuatia matamshi yake ya kutaka Waislamu wafanyiwe msako mkali.
Habari ID: 3470212    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/03/24

Kamisheni ya Haki za Binadamu ya Kiislamu ya Uingereza imetangaza kuwa faili la mauaji ya Waislamu katika mji wa Zaria nchini Nigeria limewasilishwa katika Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu huko The Hague nchini Uholanzi.
Habari ID: 3470211    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/03/23

Maelfu ya ya Waislamu wa jamii ya Rohingya wameuawa na makumu maelfu ya wengine kulazimika kuwa wakimbizi kutokana na mashambulizi ya kikatili yanayofanywa na Mabudha wenye misimamo mikali ya chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu.
Habari ID: 3470202    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/03/17

Waislamu nchini Marekani
Waislamu nchini Marekani, wamesema kuwa maneno ya chuki dhidi ya dini tukufu ya Kiislamu yanayotolewa na viongozi wa chama cha Republican, ndiyo sababu ya kuongezeka hujuma na mashambulizi dhidi ya Waislamu nchini humo.
Habari ID: 3470193    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/03/12

Sheikhe Mkuu wa Al Azhar, Ahmad Tayyeb ametoa wito wa kufanyika vikao vya pamoja vya wasomi Waislamu wa madhehebu za Shia na Sunni.
Habari ID: 3470188    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/03/09

Gazeti la Guardian
Waislamu nchini Uingereza wamepuza mpango wa serikali ya nchi hiyo wa kupambana na ugaidi na wametangaza kuususia.
Habari ID: 3469676    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/26

Duru ya Nne ya Mashindano ya Kimataifa aya Qur'ani Barani Ulaya itfanyika nchini Ujerumaani kuanzia Machi 25-27 mwaka 2016.
Habari ID: 3468966    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/24

Abiria Waislamu wamezuia kuuawa wenzao wa Kikristo huko Kenya katika shambulio la magaidi wakufurishaji wa al Shabab.
Habari ID: 3468865    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/23

Jeshi la Nigeria limetumia buldoza kubomoa kikamilifu ukumbi wa Husseiniyyah Baqiyyatullah katika mji wa Zaria sehemu ambayo ni makao makuu ya Harakati ya Kiislamu ya Nigeria.
Habari ID: 3467977    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/21

Maafisa wa Nigeria wamesema kuwa Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria ambaye alitiwa nguvuni na jeshi huku familia na wafuasi wake wakichukuliwa hatua kali za jeshi na kusababisha umwagaji damu watashtakiwa.
Habari ID: 3467870    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/21

Mkuu wa Jumuiya ya Maulamaa wa Kisuni wa Iraq amefichua mkono wa Saudi Arabia katika mauaji yaliyofanywa na jeshi la Nigeria dhidi ya Waislamu wa madhehebu ya Shia katika mji wa Zaria.
Habari ID: 3467471    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/20

Maandamano ya kulaani mauaji ya umati ya Waislamu nchini Nigeria yameendelea kushuhudiwa katika pembe mbali mbali za dunia.
Habari ID: 3467081    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/20

Maandamano yamefanyika katiak maeneo mbali mbali duniani ikiwa ni pamoja na Iraq, Bahrain, Uingereza na Pakistan kulaani mauaji ya Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Nigeria.
Habari ID: 3465571    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/18

Mwana wa kiume wa Sheikh Ibrahim Zakzaky wa nchini Nigeria amesema familia bado haijazungumza na kiongozi huyo wa Waislamu wa madhehebu ya Shia tangu alipokamatwa na kwa mantiki hiyo hawana uthibitisho wowote kama yuko hai au la.
Habari ID: 3465562    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/18