iqna

IQNA

Mwanamke Mwislamu amehujumiwa na kuvuliwa Hijabu katika hujuma ya kibaguzi iliyojiri mjini London.
Habari ID: 3470607    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/10

Raia wasiopungua 160 wameuawa kinyama katika mji mkuu wa Yemen Sana'a baada ya ndege za kijeshi za Saudi Arabia kuwashambulia walipokuwa katika kikao cha mazishi.
Habari ID: 3470606    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/09

Katika muendelezo wa ukandamizaji wa Waislamu nchini Nigeria, Harakati ya Kiislamu ya Nigeria inayoongozwa na Sheikh Ibrahim Zakzaky imepigwa marufuku katika jimbo la Kaduna kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.
Habari ID: 3470605    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/08

Hawza Imam Swadiq (a.s) na Masjid al Ghadiir katika mji wa Dar es Salaam Tanzania imeshuhudia tukio la kupandishwa Bendera ya Imam Hussein AS.
Habari ID: 3470604    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/08

Mufti wa Misri
Mufti wa Misri amevitaka vyombo vya habari vya nchi za Magharibi viache kutumia neno "Dola la Kiislamu" kuliarifisha kundi la kigaidi la ISIS au Daesh.
Habari ID: 3470602    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/07

Mwanazuoni wa Nigeria katika mzungumzo na IQNA:
Pamoja na kuwa serikali ya Nigeria kidhahiri imetangaza Waislamu wa madhehebu ya Shia hawatawekewa vizingit katika maombolezo ya siku 10 za Muharram, imebainika kuwa kuna vizingiti katika Siku ya Ashura.
Habari ID: 3470600    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/05

Mwambata wa Utamaduni wa Iran nchini Tanzania amesema Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ya Wanachuo Waislamu ni mjumuiko wa viongozi wa baadaye wa ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3470598    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/04

Ubalozi wa Saudia Arabia nchini Morocco umekosolewa vikali na Waislamu baada ya kuenea picha za kuvunjiwa heshima nakala za Qur'ani Tukufu katika ubalozi huo.
Habari ID: 3470597    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/03

Mkutano wa kimataifa wa Maimamu wa Misikiti katika nchi zenye Waislamu wachache umepangwa kufanyika, Cairo mji mkuu wa Misri.
Habari ID: 3470592    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/02

Wanaowania kugombea ugavana na unaibu gavana katika jimbo la Aceh nchini Indonesia wametahiniwa kuhusu uwezo wao wa kusoma Qur'ani kama sharti la kushiriki uchaguzi wa 2017.
Habari ID: 3470590    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/01

Mufti katika kasri ya ufalme wa Saudia amesisistiza kuwa kusherehekea Maulid ya Mtume Muhammad SAW ni shirki lakini akasema ni wajibu kusherehekea maadhimisho ya kuanza kutawala ukoo wa Aal Saud.
Habari ID: 3470582    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/27

Sayyid Hassan Nasrallah
Kiongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Lebanon, Hizbullah, amesema anaitazama itikadi ya misimamo mikali ya Uwahhabi kuwa hatari zaidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3470581    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/27

Kumefanyika mashindano ya adhana katika mji mkuu wa Denmark, Copenhagen wikiendi iliyopita.
Habari ID: 3470580    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/26

Mjadala wa #tilljannah (hadi Jannah) maalumu kwa vijana wa kike Waislamu, umefanyika pembizoni mwa Mkutano wa Kilele wa Wanawake Waislamu mwaka 2016 huko Kuala Lumpur, Malaysia na kuwavutia washiriki takribani 500.
Habari ID: 3470579    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/25

Waislamu wa Nigeria kwa mara nyingine tena wameandamana wakimuunga mkono Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria anayeshikiliwa na vyombo vya usalama vya nchi hiyo kwa miezi kadhaa sasa.
Habari ID: 3470577    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/23

Nakala za Qur'ani zimesambazwa katika misikiti iliyoharibiwa na kisha kukarabatiwa baada ya kuharibiwa katika mafuriko.
Habari ID: 3470575    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/22

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitizia umuhimu wa umoja katika Ulimwengu wa Kiislamu na kusema kuwa, kuchochea makundi mengine ya Kiislamu kwa jina la Ushia kimsingi ni Ushia unaofadhiliwa na Uingereza.
Habari ID: 3470573    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/20

Tunamshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutujaalia kuwa miongoni mwa wenye kushikamana na Wilaya ya Ali bin Abi Talib na kizazi chake kitoharifu na maasumu; na mpaka pale roho zetu zitakapokuwamo viwiliwilini mwetu.
Habari ID: 3470572    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/19

Warsha ya pili ya kutoa mafunzo ya Uislamu kwa wanafunzi Wakristo na Waislamu nchini Zimbabwe imefanyika kwa mjini Harare.
Habari ID: 3470569    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/18

Seneta Pauline Hanson wa Australia amekosolewa kwa matamshi yake yaliyojaa chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu.
Habari ID: 3470568    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/17