IQNA-Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imeitisha kikao cha nchi wanachama kujadili mauaji na mateso wanaofanyiwa Waislamu wa Rohingya nchini Myanmar.
Habari ID: 3470792 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/12
IQNA- Wafanyakazi wote wa umma Austira, wakiwemo walimu, watapigwa marufuku kuvaa Hijabu wakiwa kazini.
Habari ID: 3470786 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/08
IQNA-Mabuddha wenye misimamo mikali na maafisa wa serikali ya Myanmar wamebuni mbinu mpya ya kuwabagua na kuwakandamiza Waislamu katika makazi na nyumba zao.
Habari ID: 3470780 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/04
IQNA-Mashindano ya Qur'ani ya Waislamu wa Japan yamefanyika katika mji mkuu wa nchi hiyo, Tokyo.
Habari ID: 3470778 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/03
IQNA-Qur'ani Tukufu iliyotarjumiwa kwa lugha ya Kiyao imezinduliwa ncchini Malawi siku ya Jumamosi.
Habari ID: 3470771 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/01
IQNA-Chuo Kikuu cha Sarajevo nchini Bosnia Herzegovina kimetangaza kitakuwa kikufungwa adhuhuri wakati wa Sala ya Ijumaa ili Waislamu chuoni hapo wahudhurie sala hiyo ya kila wiki.
Habari ID: 3470770 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/31
IQNA: Makumi ya maelfu ya Waislamu wa kabila la Rohingya nchini Myanmar wamekimbilia katika nchi jirani ya Bangladesh ili kunusuru maisha yao.
Habari ID: 3470768 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/30
IQNA: Utawala wa ukoo wa Aal Khalifa nchini Bahrain umelaaniwa vikali kwa hatua yake ya kuwaalika makuhani wa Kizayuni wanaotaka Wapalestina waangamizwe kwa umati.
Habari ID: 3470767 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/30
Katika kikao cha Malaysia
IQNA: Mkutano wa kwanza wa Mabadilishano ya Sayansi na Teknolojia miongoni mwa nchi za Kiislamu (STEP) umefanyika katika mji mkuu wa Malaysia, Kuala Lumpur.
Habari ID: 3470756 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/24
IQNA-Waislamu wawili wametimuliwa kutoka ndege ya shirika moja la Marekani mjini London baada ya wasafiri kadhaa Waingiereza kulalamika kuwa walimsikia mmoja wao akizungumza kwa lugha ya Kiarabu kwa simu.
Habari ID: 3470753 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/22
IQNA-Awamu ya 12 ya Mashindano ya Kila Mwaka ya Qur’ani ya Amerika Kaskazini yamepangwa kufanyika mjini Toronto, Canada mwaka 2017.
Habari ID: 3470752 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/21
IQNA: Waislamu katika mji mkuu wa Uingereza, London wamekusanya tani nyingi za chakula kwa ajili ya kuwasaidia mayatima na watoto wa mitaani katika kipindi hiki cha sherehe za kufunga mwaka.
Habari ID: 3470749 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/19
IQNA-Murtadha Ridhwanifar, msomi wa masuala ya utamaduni nchini Iran amefanya safari Afrika Mashariki kuangazia historia ya Washirazi waliofika eneo hilo kutoka Iran.
Habari ID: 3470748 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/18
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
IQNA: Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, daima Uingereza imekuwa chimbuko la vitisho, ufisadi na mabalaa kwa eneo la Magharibi mwa Asia.
Habari ID: 3470747 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/18
IQNA-Waislamu duniani wanasherehekea Maulidi na kukumbuka tukio la kuzaliwa Mbora wa Walimwengu, Muhammad Mwaminifu SAW. Ni fusa muafaka ya kutafakari kuhusu umoja wa Waislamu duniani.
Habari ID: 3470746 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/17
Rais Rouhani
IQNA-Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewataka Waislamu wote duniani waungane na kuimarisha umoja na mshikamano wao dhidi ya njama za maadui wanaolenga kuvunja umoja wa Waislamu kwa kuibua uhasama na malumbano ya kimadhehebu.
Habari ID: 3470745 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/16
IQNA-Kituo cha Kuhifadhi Qur'ani Tukufu Gambia (GQMC) kinachofungamana na Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Intaneti cha Gambia kimeandaa masomo ya kuhifadhi Qur'ani kupitia intaneti kwa lengo la kutoa mafunzo kwa Waislamu kona zote za dunia.
Habari ID: 3470742 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/14
IQNA-Duru kutoka Nigeria zinadokeza kuwa Sheikh Ibrahim Zakzaky Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria amehamishiwa sehemu isiyojulikana nchini humo.
Habari ID: 3470735 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/11
IQNA: Waislamu nchini Canada katika eneo la Peel, mkoa wa Ontario wameanza sherehe za Maulidi ya Mtume Muhammad SAW, Mtume wa Rehema kwa walimwengu.
Habari ID: 3470731 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/10
IQNA-Mbunge mwenye chuki dhidi ya Uislamu nchini Uholanzi amepatikana na hatia ya kuwatusi watu wenye asili ya Morocco na kuwabagua.
Habari ID: 3470728 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/09