Kikao cha kila mwaka wachaposhaji Qur'ani Tukufu barani Afrika kinaanza Alkhamisi hii nchini Sudan.
Habari ID: 3470321 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/19
Shirika moja la kutoa misaada nchini Uingereza limeanzisha kampeni ya matangazo yenye mabango ya 'Subhan Allah' kwa ajili ya kushajiisha watu watoe misaada katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3470304 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/10
Mikutano wa "Wanafunzi Waislamu, Dunia Isiyo na Machafuko" na mwingine wa "Nafasi ya Wasomi wa Utamaduni Katika Ulimwengu wa Kiislamu ili Kufikia Dunia Isiyo na Machafuko" imepangwa kufanyika wiki ijayo nchini Senegal.
Habari ID: 3470292 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/04
Mwanachama mwandamizi wa chama cha Kansela Angela Merkel wa Ujerumani amesema serikali inataka kurekodi na kufanya ujasusi kuhusu hotuba katika misikiti nchini humo.
Habari ID: 3470284 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/02
Mahakama ya Nigeria imeunda tuma ya uchunguzi kuhusu mauaji yaliyofanywa na jeshi la Nigeria dhidi ya Waislamu Desemba 2015.
Habari ID: 3470280 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/01
Serikali ya Uswisi imesitisha mchakato wa kuzipa uraia familia mbili za Waislamu ambao watoto wao wawili wa kiume mabarobaro walikataa kuwapa mikono walimu wao wa kike.
Habari ID: 3470257 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/04/20
Mkuu wa Idara ya Utamaduni ya Iran mjini Kampala amekutana na Mufti Mkuu wa Uganda na kujadilia njia za kushirikiana nchi mbili katika harakati za Qur'ani.
Habari ID: 3470252 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/04/18
Serikali ya Nigeria imekiri kuwazika Waislamu 347 wa madhehebu ya Shia katika kaburi la umati mwezi Desemba mwaka 2015.
Habari ID: 3470245 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/04/13
Mwanafunzi wa zamani wa Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria, amebainisha wasiwasi wake kuhusu hali ya kiafya ya mwanazuoni huyo.
Habari ID: 3470243 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/04/12
Ban Ki-moon
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon, amesema Waislamu ni waathirika wakuu wa ugaidi duniani.
Habari ID: 3470236 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/04/09
Viongozi wa utawala wa Aal Saud nchini Saudi Arabia wamepiga marufuku kutangazwa adhana katika misikiti ya Waislamu wa madhehebu ya Shia katika mkoa wa Al-Hasa, mashariki mwa nchi hiyo.
Habari ID: 3470222 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/04/01
Waislamu nchini Marekani wanakabiliana na wimbi jipya la chuki dhidi ya Uislamu au Islamophobia hata baada ya kuwa wamelaani vikali hujuma ya kigaidi mjini Brussels, Ubelgiji Jumanne hii.
Habari ID: 3470215 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/03/26
Waislamu huko Bosnia Herzegovina wamebainisha kusikitishwa na kifungo cha miaka 40 tu jela alichohukumiwa Radovan Karadzic aliyekuwa kiongozi wa zamani wa Bosnia Serbia ambaye amepatikana na hatia ya kuua Waislamu 7,000.
Habari ID: 3470214 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/03/25
Waislamu nchini Marekani Baraza wamemkosoa mgombea uteuzi wa kiti cha rais katika chama Republican Ted Cruz kufuatia matamshi yake ya kutaka Waislamu wafanyiwe msako mkali.
Habari ID: 3470212 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/03/24
Kamisheni ya Haki za Binadamu ya Kiislamu ya Uingereza imetangaza kuwa faili la mauaji ya Waislamu katika mji wa Zaria nchini Nigeria limewasilishwa katika Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu huko The Hague nchini Uholanzi.
Habari ID: 3470211 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/03/23
Maelfu ya ya Waislamu wa jamii ya Rohingya wameuawa na makumu maelfu ya wengine kulazimika kuwa wakimbizi kutokana na mashambulizi ya kikatili yanayofanywa na Mabudha wenye misimamo mikali ya chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu.
Habari ID: 3470202 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/03/17
Waislamu nchini Marekani
Waislamu nchini Marekani, wamesema kuwa maneno ya chuki dhidi ya dini tukufu ya Kiislamu yanayotolewa na viongozi wa chama cha Republican, ndiyo sababu ya kuongezeka hujuma na mashambulizi dhidi ya Waislamu nchini humo.
Habari ID: 3470193 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/03/12
Sheikhe Mkuu wa Al Azhar, Ahmad Tayyeb ametoa wito wa kufanyika vikao vya pamoja vya wasomi Waislamu wa madhehebu za Shia na Sunni.
Habari ID: 3470188 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/03/09
Gazeti la Guardian
Waislamu nchini Uingereza wamepuza mpango wa serikali ya nchi hiyo wa kupambana na ugaidi na wametangaza kuususia.
Habari ID: 3469676 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/26
Duru ya Nne ya Mashindano ya Kimataifa aya Qur'ani Barani Ulaya itfanyika nchini Ujerumaani kuanzia Machi 25-27 mwaka 2016.
Habari ID: 3468966 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/24