iqna

IQNA

Harakati ya Hizbullah
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon ameishukuru Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa misaada yake na kwamba, haikusita hata kidogo kuisaidia Lebanon.
Habari ID: 3475296    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/26

Sayyid Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA)- Sayyid Hassan Nasrallah, Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amehutubu kwa munasaba wa kukumbuka kuuawa shahidi Sayyid Mustafa Badruddin na kusema kukaliwa kwa mabavu ardhi za Palestina kulikuwa ni pigo kwa nchi za Kiarabu na mataifa yote ya eneo.
Habari ID: 3475271    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/20

Sayyid Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon, amewashukuru na kuwapongeza watu wote walioshiriki katika uchaguzi wa bunge uliofanyika hivi karibuni na akasema ushiriki mkubwa wa Walebanon katika uchaguzi huo na matokeo yake yamefikisha ujumbe wa uungaji mkono kwa Hizbullah au Muqawama na silaha zake.
Habari ID: 3475268    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/20

Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon Sayyid Hassan Nasrallah ameashiria uchunguzi wa maoni wa hivi karibuni na kusema tatizo la waliowengi nchini Lebanon si silaha za Hizbullah au Muqawama bali ni hali ya maisha.
Habari ID: 3475230    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/10

TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema uchaguzi uliopangwa kufanyika nchini humo hautaizuia harakati hiyo kujibu shambulio lolote la utawala bandia wa Israel, akisisitiza kuwa Hizbullah itajibu papo hapo shambulio lolote la utawala huo haramu.
Habari ID: 3475187    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/30

TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imetoa wito kwa Umma mzima wa Kiislamu kuanzisha harakati kubwa zaidi dhidi ya kitendo cha kuvunjiwa heshima Qur'ani nchini Sweden.
Habari ID: 3475143    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/19

Kiongozi wa Hizbullah
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon, Sayyid Hassan Nasrallah amesema kuwa, wananchi wa Palestina hawatashindwa katika mapambano yao ya ukombozi dhidi ya utawala ghasibu wa Israel.
Habari ID: 3475118    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/12

TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon anatazamiwa kutoa hotuba Ijumaa kwa mnasaba wa kuwadia Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3475087    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/30

TEHRAN (IQNA)-Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amekanusha vikali ripoti ya baadhi ya vyombo vya habari inayodai kuwa wapiganaji kadhaa na washauri wa kijeshi wa harakati hiyo ya muqawama wapo Ukraine kupigana katika safu moja na wananajeshi wa Russia.
Habari ID: 3475052    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/19

Sayyid Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, Marekani imetenda jinai nyingi dhidi ya wananchi wa mataifa mbalimbali ya dunia na kuiamini nchi hiyo ni ujuha na ujinga.
Habari ID: 3475025    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/09

TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon Sayyed Hassan Nasrallah ametoa hotuba muhimu katika ufunguzi wa kongamano linalofanyika mjini Beirut kwa mnasaba wa kumbukumbu ya mwaka wa 30 tangu alipouawa shahidi Katibu Mkuu wa Pili wa Hizbullah, Sayyid Abbas al-Musawi na kusema Marekani inabeba dhima ya mgogoro wa sasa wa Ukraine.
Habari ID: 3474990    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/01

TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa Baraza Kuu la harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema ni makosa kwa baadhi ya nchi kutegemea uungwaji mkono na himaya ya Marekani, na kwamba kadhia ya Ukraine imethibitisha tena ukweli huo.
Habari ID: 3474977    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/26

Sayyid Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon Sayyid Hassan Nasrallah amesema hali ya ndani ya utawala ghasibu wa Israel u na matukio ya kimataifa yote kwa pamoja yanaashiria kuangamia utawala huo katili.
Habari ID: 3474968    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/24

TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Lebanon ya Hizbullah imetangaza kuwa ndege yake moja isiyo na rubani au drone aina ya "Hassan" imeingia hadi ndani ya anga ya ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu ambazo zimepachikwa jina la Israel na kutekeleza oparesheni ya kukusanya taarifa za siri.
Habari ID: 3474945    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/19

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Harakati ya Hizbuallah ya Lebanon Sayyid Hassan Nasrallah amezilaani nchi za Waislamu ambazo zimeanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel na kuutaja utawala huo kuwa ni ‘utawala wa muda’ ambao unaelekea kusambaratika.
Habari ID: 3474934    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/16

TEHRAN (IQNA)- Shahidi Abu Mahdi al Muhandis, marhum naibu kamanda wa Kikosi cha Kujitolea cha Wananchi wa Iraq, Al Hasdh al Shaabi katika kubainisha sifa za Shahidi Imad Mughniya alisema kuwa yungali hai katika medani za kivita.
Habari ID: 3474928    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/14

TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon Sayyid Nasrallah ameonya kuwa vita vyovyote dhidi ya Iran vitasababisha mlipuko mkubwa katika eneo la Asia Magharibi (Mashariki ya Kati).
Habari ID: 3474909    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/09

Sayyid Nasrallah
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kitendo cha kupuuza uwepo wa vikosi vamizi vya Marekani nchini Iraq, ni sawa na kuuawa shahidi kwa mara ya pili Luteni Jenerali Qasem Soleimani, aliyekuwa Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu.
Habari ID: 3474763    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/04

Sayyid Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA)- Sayyid Hassan Nasrallah amesema kuliweka jina la Hizbullah kwenye orodha ya makundi ya kigaidi hakutaathiri hata chembe azma na irada ya muqawama au mapambano.
Habari ID: 3474609    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/27

TEHRAN (IQNA)- Australia imelaaniwa vikali kufuatia hatua yake ya kutangaza chama cha Hizbullah cha Lebanon kuwa eti ni harakati ya kigaidi.
Habari ID: 3474599    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/25