hizbullah - Ukurasa 3

IQNA

Muqawama
IQNA- Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah ameonya kuwa sera ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kukalia kwa mabavu ardhi za wengine ni tishio sio tu kwa Palestina bali kwa eneo na dunia nzima.
Habari ID: 3479604    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/17

Muqawama
IQNA - Washiriki katika kongamano la mtandaoni lililofanyika leo wamesisitiza kuwa wanawake wa mregno wa muqawama au mapambano ya Kiislamu wataendelea kujitolea kwa ahadi yao ya kubaki imara kwenye njia ya Katibu Mkuu wa Hizbullah aliyeuawa shahidi Sayyid Hassan Narallah.
Habari ID: 3479598    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/15

Jinai za Israel
IQNA-Mashambulizi  kinyama ya anga yanayofanywa na  katili la utawala wa Kizayuni wa Israel yameteketeza kikamilifu msikiti wa kale na kubomoa soko kusini mwa Lebanon, katika kile kilichoelezewa kama "uangamizaji wa kila kitu".
Habari ID: 3479586    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/13

Muqawama
IQNA - Dada yake Abbas Al-Musawi, mwanzilishi mwenza na katibu mkuu wa zamani wa Hizbullah ya Lebanon, alielezea uungaji mkono wa harakati hiyo kwa Wapalestna wa Gaza ni sawa na kutetea utu wa binadamu.
Habari ID: 3479534    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/04

Muqawama
IQNA - Harakati ya Watu wa Tunisia imesema kuuawa shahidi lilikuwa ni tamanio la thamani zaidi la katibu mkuu wa harakati ya muqawama ya Hizbullah ya Lebanon, Sayyid Hassan Nasrallah.
Habari ID: 3479511    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/30

Inna Lillah wa Inna Ilayhi Rajioun
IQNA- Harakati ya mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon imetoa taarifa ikithibitisha kuuawa shahidi katibu mkuu wake, Sayyid Hassan Nasrallah, ambaye aliuawa katika shambulio la kigaidi la utawala haramu wa Israel kwenye viunga vya kusini mwa Beirut siku ya Ijumaa.
Habari ID: 3479502    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/28

Ujumbe
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesisitiza kuwa, watenda jinai wa Kizayuni wajue kwamba wao si lolote kuweza kuusababishia madhara makubwa muundo imara wa Hizbullah ya Lebanon.
Habari ID: 3479501    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/28

Muqawama
IQNA-Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imetumia kombora la balestiki kulenga makao makuu ya shirika la kijasusi la Israel, Mossad huko Tel Aviv ikiwa ni kwa mara ya kwanza, suala lililosababisha wahka mkubwa na ving'ora katika mji huo na maeneo mengine ya Israel ikiwa ni pamoja na Netanya.
Habari ID: 3479492    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/26

Kiongozi Muadhamu
IQNA- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameonana na wanaharakati wa Vita vya Kujihami Kutakatifu na Muqawama na kusisitiza kuwa, kambi ya Muqawama ya Palestina na Hizbullah ya Lebanon ndiye mshindi katika Jihadi kwa njia ya Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3479490    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/26

Watetezi wa Haki
IQNA- Kiongozi wa juu wa kidini yaani Marjaa-Taqlidi wa Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Iraq Ayatullah Sayyid Ali al-Sistani ameelezea mshikamano wake na Lebanon wakati nchi hiyo ya Kiarabu na Kiislamu inaendelea kuandamwa na mashambulio ya kinyama ya jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel na ametaka zifanyike juhudi za dharura kusitisha uchokozi huo wa kikatili wa utawala huo na kuwalinda raia wa Lebanon.
Habari ID: 3479480    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/24

Ugaidi
IQNA - Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema hujuma ya kigaidi iliyotekelezwa na utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kudukua kifaa cha mawasiliano cha pager na vifaa vingine vya mawasiliano ni tangazo la vita, na ameahidi adhabu 'kali' kwa hujuma hizo za 'kigaidi'.
Habari ID: 3479457    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/20

Muqawama
IQNA- Askari kadhaa wa jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel wameangamizwa huku wengine wengi wakijeruhiwa katika mashambulizi ya kulipiza kisasi ya Harakati ya Muqawama ya Hizbullah ya Lebanon.
Habari ID: 3479455    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/19

Jinai za Israel
IQNA - Afisa mwandamizi wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kusimama kidete harakati hiyo ya muqawama katika kuilinda nchi hiyo dhidi ya vitendo vya hivi karibuni vya kichokozi vya utawala wa Kizayuni.
Habari ID: 3479454    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/19

Jinai za Israel
IQNA- Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imeapa kuendeleza mashambulizi yake dhidi ya utawala haramu wa Israel kwa ajili ya kuwatetea watu wa Ukanda wa Gaza, ambao wanaendelea kuuawa kikaktili katika mauaji ya kimbari ya Israel, ikisisitiza kwamba ukatili wa hivi karibuni wa utawala huo ulioua watu kadhaa nchini Lebanon utaimarisha azma yake ya kuendeleza njia ya mapambano na muqawama.
Habari ID: 3479452    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/18

Jinai za Israel
IQNA - Makundi ya kisiasa ya Yemen yamelaani vitendo vya kigaidi vya utawala wa Kizayuni dhidi ya Lebanon ambavyo vilisababisha wengi kuuawa shahidi au kujeruhiwa.
Habari ID: 3479451    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/18

Muqawama
IQNA Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon Sayed Hassan Nasrallah amesema utawala wa Kizayuni wa Israel unaiomba Marekani kuulinda kwani mashambulizi ya Iran na Hizbullah ya kulipiza kisasi mauaji ya hivi karibuni ya utawala huo yanakaribia.
Habari ID: 3479239    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/07

Muqawama
IQNA- Kiongozi wa harakati ya Kiislamu ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, katika kipindi cha miaka yote hii, wakuu wa Kambi ya Muqawama wamethibitisha kwamba, jinai zinazofanywa na maadui haziwatetereshi hata kidogo, bali zinaongeza tu ari na moyo wao wa Jihadi na Muqawama.
Habari ID: 3479211    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/02

Muqawama
IQNA-Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, katika kambi ya muqawama, wakuu na makamanda wa kambi hiyo hawajifichi bali wako katikati ya medani ya mapambano na wanakufa shahidi kwenye medani hiyo.
Habari ID: 3479210    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/02

Muqawama
IQNA-Kiongozi wa harakati ya muqawama ya Hizbullah ya Lebanon ametaka juhudi za kimataifa za kuutokomeza utawala wa Kizayuni, akisema ni utawala huo ni 'uvimbe wa saratani" ambao lazima uondolewe.
Habari ID: 3478910    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/01

Taazia
IQNA - Makundi ya kupigania ukombozi wa Palestina yametuma salamu za rambirambi kwa Katibu Mkuu Sayed Hassan Nasrallah kwa kuondokewa na mama yake mzazi.
Habari ID: 3478885    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/26