iqna

IQNA

Kiongozi Muadhamu
IQNA- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameonana na wanaharakati wa Vita vya Kujihami Kutakatifu na Muqawama na kusisitiza kuwa, kambi ya Muqawama ya Palestina na Hizbullah ya Lebanon ndiye mshindi katika Jihadi kwa njia ya Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3479490    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/26

Watetezi wa Haki
IQNA- Kiongozi wa juu wa kidini yaani Marjaa-Taqlidi wa Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Iraq Ayatullah Sayyid Ali al-Sistani ameelezea mshikamano wake na Lebanon wakati nchi hiyo ya Kiarabu na Kiislamu inaendelea kuandamwa na mashambulio ya kinyama ya jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel na ametaka zifanyike juhudi za dharura kusitisha uchokozi huo wa kikatili wa utawala huo na kuwalinda raia wa Lebanon.
Habari ID: 3479480    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/24

Ugaidi
IQNA - Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema hujuma ya kigaidi iliyotekelezwa na utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kudukua kifaa cha mawasiliano cha pager na vifaa vingine vya mawasiliano ni tangazo la vita, na ameahidi adhabu 'kali' kwa hujuma hizo za 'kigaidi'.
Habari ID: 3479457    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/20

Muqawama
IQNA- Askari kadhaa wa jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel wameangamizwa huku wengine wengi wakijeruhiwa katika mashambulizi ya kulipiza kisasi ya Harakati ya Muqawama ya Hizbullah ya Lebanon.
Habari ID: 3479455    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/19

Jinai za Israel
IQNA - Afisa mwandamizi wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kusimama kidete harakati hiyo ya muqawama katika kuilinda nchi hiyo dhidi ya vitendo vya hivi karibuni vya kichokozi vya utawala wa Kizayuni.
Habari ID: 3479454    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/19

Jinai za Israel
IQNA- Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imeapa kuendeleza mashambulizi yake dhidi ya utawala haramu wa Israel kwa ajili ya kuwatetea watu wa Ukanda wa Gaza, ambao wanaendelea kuuawa kikaktili katika mauaji ya kimbari ya Israel, ikisisitiza kwamba ukatili wa hivi karibuni wa utawala huo ulioua watu kadhaa nchini Lebanon utaimarisha azma yake ya kuendeleza njia ya mapambano na muqawama.
Habari ID: 3479452    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/18

Jinai za Israel
IQNA - Makundi ya kisiasa ya Yemen yamelaani vitendo vya kigaidi vya utawala wa Kizayuni dhidi ya Lebanon ambavyo vilisababisha wengi kuuawa shahidi au kujeruhiwa.
Habari ID: 3479451    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/18

Muqawama
IQNA Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon Sayed Hassan Nasrallah amesema utawala wa Kizayuni wa Israel unaiomba Marekani kuulinda kwani mashambulizi ya Iran na Hizbullah ya kulipiza kisasi mauaji ya hivi karibuni ya utawala huo yanakaribia.
Habari ID: 3479239    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/07

Muqawama
IQNA- Kiongozi wa harakati ya Kiislamu ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, katika kipindi cha miaka yote hii, wakuu wa Kambi ya Muqawama wamethibitisha kwamba, jinai zinazofanywa na maadui haziwatetereshi hata kidogo, bali zinaongeza tu ari na moyo wao wa Jihadi na Muqawama.
Habari ID: 3479211    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/02

Muqawama
IQNA-Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, katika kambi ya muqawama, wakuu na makamanda wa kambi hiyo hawajifichi bali wako katikati ya medani ya mapambano na wanakufa shahidi kwenye medani hiyo.
Habari ID: 3479210    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/02

Muqawama
IQNA-Kiongozi wa harakati ya muqawama ya Hizbullah ya Lebanon ametaka juhudi za kimataifa za kuutokomeza utawala wa Kizayuni, akisema ni utawala huo ni 'uvimbe wa saratani" ambao lazima uondolewe.
Habari ID: 3478910    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/01

Taazia
IQNA - Makundi ya kupigania ukombozi wa Palestina yametuma salamu za rambirambi kwa Katibu Mkuu Sayed Hassan Nasrallah kwa kuondokewa na mama yake mzazi.
Habari ID: 3478885    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/26

Mrengo wa Muqawam
IQNA- Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon Sayyid Hassan Nasrallah amesema, haki ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ya kutoa jibu kwa uchokozi uliofanywa na utawala wa Kizayuni wa kushambulia ubalozi wake mdogo mjini Damascus ni haki yenye uhalali wa kisheria.
Habari ID: 3478656    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/09

Kadhia ya Palestina
IQNA- Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa: "Kusimama kidete na kishujaa wanamuqawama au wanamapamano wa Wapalestina wa Gaza, ni matukio ambayo yanakaribiana na muujiza, na yote haya yametokana na utamaduni wa Qurani na dalili zake tukufu kwa ulimwengu wote."
Habari ID: 3478513    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/14

Indhari
IQNA-Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema utawala wa Israel "utalipa kwa damu" gharama ya mauaji ya hivi karibuni ya raia kusini mwa nchi hiyo, akisisitiza kwamba mauaji hayo hayawezi kuifanya harakati hiyo kuacha kuwaunga mkono Wapalestina katika Ukanda wa Gaza unaozingirwa.
Habari ID: 3478364    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/17

Wanajihadi
IQNA - Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama ya Hizbullah ya Lebanon amesema iwapo utawala wa Kizayuni wa Israel utapanua mashambulizi yake dhidi ya Lebanon, utapata jibu kali na la sawasaw kutoka kwa harakati hiyo.
Habari ID: 3478261    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/27

Kiongozi wa Hizbullah
IQNA-Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Lebanon Hizbullah amesema utawala haramu wa Israel mepata hasara "isiyo na kifani" mikononi mwa makundi ya Kiiislamu ya kupigania ukombozi wa Palestina (muqawama) na imeshindwa kufikia malengo yake yoyote baada ya siku 100 za vita vyake vya mauaji ya kimbari kwenye Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3478199    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/15

Watetezi wa Palestina
IQNA-Wapiganaji wa harakati ya Mapambano ya Kiislamu (muqawama) ya Hizbullah ya Lebanon wameendelea na mashambulizi yao dhidi ya ngome za kijeshi la utawala haramu Israel karibu na mpaka kati ya Lebanon na ardhi zinazokaliwa kwa mabavu (Israel), kujibu vita vya utawala huo haramu wa Israel dhidi Wapalestina katika Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3478048    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/17

Kadhia ya Palestina
TEHRAN (IQNA) - Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema watu wa Palestina wataibuka katika vita dhidi ya Gaza wakiwa na nguvu zaidi kuliko hapo awali.
Habari ID: 3477980    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/03

Diplomasia ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesisitiza utayarifu kamili wa muqawama katika nyanja mbalimbali na kuutaja ushindi wa mwisho wa muqawama na kushindwa adui Mzayuni kkwamba, ni hakika na jambo lisilo la shaka.
Habari ID: 3477936    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/24