iqna

IQNA

Harakati za Mapambano ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Hizbullah jana Jumatano alikutana na ujumbe wa maafisa wa ngazi za juu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS mjini Beirut kujadili matukio ya Gaza, huku idadi ya wananchi wa Palestina waliouawa shahidi kwenye mashambulizi ya kikatili ya Israel katika eneo hilo linalokaliwa kwa mabavu ikikaribia 15,000.
Habari ID: 3477931    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/23

Muqawama (Mapambano ya Kiislamu)
BEIRUT (IQNA)- Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon ameongeza kuwa, "Kuhusu kuenea kwa vita, uwezekano huo upo, iwapo watatushambulia, tutalazimika kujihami na tutatumia nguvu zetu zote. Hatuogopi vitisho vya Israel, tunaamini kuwa tutashinda."
Habari ID: 3477901    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/17

Kimbunga cha Al Aqsa
BEIRUT (IQNA) - Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu (Muqawama) ya Hizbullah ya Lebanon amesema Operesheni ya Kimbunge cha al-Aqsa kama kielelezo cha ujasiri, na uchamungu waa watu wa Palestina.
Habari ID: 3477859    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/08

Kimbunga cha Al Aqsa
BEIRUT (IQNA) - Israel ilianguka baada ya Harakati za Mapambano ya Kiisalmu ya Palestina kuanzisha Operesheni Kimbunga cha Al-Aqsa katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu Oktoba 7 na haitanusurika kwa njia yoyote kwenye kinamasi chake katika Ukanda wa Gaza, afisa wa ngazi ya juu wa harakati ya muqawama ya Lebanon Hizbullah alisema.
Habari ID: 3477830    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/02

Mapambano ya Kiislamu (Al-Muqawama Al-Islamiya)
TEHRAN (IQNA)- Viongozi wa harakati za mapambano ya Kiislamu (Al-Muqawama Al-Islamiya) za Palestina na Lebanon wameapa kushirikiana ili kutoa jibu la pamoja dhidi ya sera za uvamizi za utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3477543    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/03

Mapambano dhidi ya Wazayuni
TEHRAN (IQNA)-Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon, Sayyid Hassan Nasrallah amewaonya viongozi wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel kwamba mauaji yoyote yatakayofanywa ndani ya ardhi ya Lebanon ya kumlenga raia wa Lebanon, Palestina au Iran au raia wa nchi nyingineyo hayatapita bila ya jibu.
Habari ID: 3477514    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/29

Diplomasia ya Kiislamu
BEIRUT (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon Sayyed Hassan Nasrallah amekutana na kiongozi wa harakati ya Jihad Islami ya Palestina.
Habari ID: 3477432    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/13

Kiongozi wa Hizbullah, Sayyid Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema Marekani ndiyo sababu ya matatizo mbalimbali ya kiusalama na kiuchumi yanayozisumbua nchi za eneo la Asia Magharibi (Mashariki ya Kati).
Habari ID: 3477378    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/04

Watetezi wa Qur'ani Tukufu
BEIRUT (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema jamii za Kiislamu haiwezi kustahamili kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu, akisisitiza kwamba Waislamu wako tayari kikamilifu kuchukua hatua za kuwajibika kuulinda Uislamu na kitabu chao kitakatifu.
Habari ID: 3477352    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/29

Sayyid Hassan Nasrallah:
BEIRUT (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, lengo la kuvunjia heshima Qur'ani Tukufu ni kutaka kuzusha hitilafu baina ya Waislamu na Wakristo.
Habari ID: 3477276    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/13

Muqawama
TEHRAN (IQNA) – Harakati ya Kiislamu ya Amal ya Lebanon imesisitiza haja ya umoja na mshikamano wa kitaifa nchini humo.
Habari ID: 3477042    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/25

Mhimili wa Muqawama
TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran jana Ijumaa alionana na Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon, Sayyid Hassan Nasrullah na kujadiliana naye masuala muhimu ya pande mbili, ya kieneo na ya kimataifa.
Habari ID: 3476931    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/29

Diplomasia
TEHRAN (IQNA)- Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, makubaliano yaliyofikiwa hivi karibuni baina ya Iran na Saudi Arabia ya kuanzisha tena uhusiano wao wa kidiplomasia yalikuwa ya kishujaa.
Habari ID: 3476893    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/20

Kusambaratika Israel
TEHRAN (IQNA) – Akiashiria sehemu ya aya ya 2 ya Sura Al Hashr katika Qur’ani Tukufu, naibu kiongozi wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amegusia mgogoro mkubwa katika utawala haramu wa Israel na kuandika: “Wakawa wanazibomoa nyumba zao kwa mikono yao na mikono ya Waumini.”
Habari ID: 3476773    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/28

Kiongozi wa Hizbullah atahadharisha
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amepuuzilia mbali vitisho vilivyotolewa hivi karibuni na maafisa wa utawala haramu wa Israel vya kuwepo uwezekano wa kuivamia kijeshi Lebanon na kusisitiza kuwa, uchokozi wowote wa Israel dhidi ya nchi hiyo ya Kiarabu utapata jibu la haraka.
Habari ID: 3476752    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/24

Kiongozi wa Hizbullah
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema, eneo bila kuwepo Israel si ndoto na matarajio tu bali ndio uhalisia utakashuhudiwa katika mustakabali.
Habari ID: 3476693    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/11

Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema matukio na maendeleo yanayoshuhudiwa hivi sasa katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu ni ishara tosha kuwa suala la kuporomoka kwa utawala wa Kizayuni wa Israel ni hakika ambayo itafanyika katika mustakabali wa karibu.
Habari ID: 3476679    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/08

Kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA)- Naibu Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu katika baadhi ya nchi za Magharibi, vitendo vya kigaidi na kuuawa Waislamu huko Pakistan ni ishara ya kufilisika nchi za Magharibi.
Habari ID: 3476498    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/01

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) - Harakati ya muqawama ya Hizbullah ya Lebanon imejiunga nan chi za Kiislamu duniani kulaani kitendo cha hivi punde zaidi cha kuvunjiwa heshima Qur'ani nchini Sweden (Uswidi), na kusisitiza kuwa kuudhi matukufu ya Umma wa Kiislamu ni jambo lisilokubalika.
Habari ID: 3476448    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/22

Sura za Qur'ani Tukufu / 58
TEHRAN (IQNA) – Qur’ani Tukufu inawataka waumini wa kweli kujiunga na Hizbullah. Leo, Hezbullah imekuwa neno lenye maana ya kisiasa. Kwa mtazamo wa Qur'ani Tukufu Hizbullah ni neno lenye maana ya kidini na kiitikadi na neno hili kimsingi maana yake ya moja kwa moja ni 'Chama cha Mwenyezi Mungu'.
Habari ID: 3476439    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/21