IQNA – Mashindano ya kwanza ya kitaifa ya kuhifadhi Qur’ani kwa vijana wenye umri kati ya miaka 12 hadi 30 yameanza nchini Kosovo siku ya Ijumaa.
Habari ID: 3482148 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/18
IQNA – Hafla maalumu ilifanyika katika Msikiti wa Barduşit mjini Pristina, mji mkuu wa Kosovo, kwa lengo la kuwaenzi wanafunzi 80 wa kike wa Qur’ani walioshiriki katika duru za masomo ya Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3481866 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/29
IQNA – Shule ya Upili ya Kiislamu ya Alaeddin huko Pristina, mji mkuu wa Kosovo, imekaribisha mashindano makubwa ya mwaka ya sayansi ya dini hivi karibuni.
Habari ID: 3481145 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/27
IQNA – Mwanaume mmoja ameshtakiwa rasmi nchini Kosovo kwa kitendo cha kuvunjia heshima Qur’ani Tukufu miezi michache iliyopita.
Habari ID: 3480718 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/21
IQNA – Katika mwezi mtukufu wa Ramadhani, misikiti nchini Kosovo imepiga hatua kubwa katika kufundisha Qur'ani kwa watoto.
Habari ID: 3480376 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/15
Harakati za Qur'ani
IQNA – Baraza la Wataalamu wa Kiislamu la Kosovo limezindua toleo jipya la tarjuma ya Qur'ani Tukufu kwa lugha ya Kialbania.
Habari ID: 3479994 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/02
Harakati za Qur'ani
IQNA - Sherehe ilifanyika mashariki mwa Kosovo kuwaenzi wasichana 44 ambao wamehitimu kutoka kozi za Qur'ani.
Habari ID: 3479672 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/30
Watoto na Qur'ani
IQNA - The "Little Memorizers" Academy ni taasisi huko Pristina, mji mkuu wa Kosovo, ambayo inafundisha Qur'ani kwa watoto.
Habari ID: 3479405 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/09
TEHRAN (IQNA) Wakuu wa afya nchini Kosovo wanashirikiana na viongozi wa Kiislamu katika kuwashawishi watu wengi zaidi wapate chanjo ya COVID-19.
Habari ID: 3474582 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/20