iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA) – Mesut Ozil mchezaji soka mashuhuri wa timu ya Arsenal katika Ligi ya Premier ya England ametoa mchango wa dola laki moja za Kimarekani kuwasaidia Waislamu ambao wameathiriwa vibaya na janga la COVID-19 au corona katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3472730    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/03

TEHRAN (IQNA) – Asasi za Kiislamu mjini New York nchini Marekani zimeungana na kuanzisha mpango wa kugawa futari kwa wasiojiweza katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3472726    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/02

TEHRAN (IQNA) – Siku ya Kimataifa ya Quds (Jerusalem) mwaka huu itaadhimishwa kwa njia ya intaneti kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa corona.
Habari ID: 3472710    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/27

TEHRAN (IQNA) - Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini ambaye pia ni Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika amewatumia Waislamu salamu kwa mnasba wa kuwadia Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3472705    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/26

TEHRAN (IQNA) – Baraza Kuu la Masuala ya Kiislamu Nigeria (NSCIA) limetangaza marufuku ya mijimuiko yote ya kidini katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani ili kuzuia kuenea ugonjwa wa corona.
Habari ID: 3472704    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/26

TEHRAN (IQNA) – Elizaveta, bintiye msemaji wa Rais wa Russia Dmitry Peskov ametangaza kuwa atafunga saumu ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3472697    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/24

TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres, ametegemea aya ya Qur'ani Tukufu katika ujumbe wa kusitishwa vita katika maeneo yenye mapigano duniani kwa mnasaba wa kuwadia mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3472696    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/23

TEHRAN (IQNA) – Waziri Mkuu wa Singapore Lee Hsien Loong amesema ingawa misikiti imefungwa nchini humo, wanazuoni wa Kiislamu na waalamu wa dini watahakikisha kuwa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani utaendelea kuwa na mvuto na maana yake halisi.
Habari ID: 3472694    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/23

TEHRAN (IQNA) – Baraza la Fatwa katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) limetoa Fatwa kuhusu Saumu ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani wakati wa janga la corona au COVID-19.
Habari ID: 3472684    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/20

Janga la corona
TEHRAN (IQNA) –Mufti Mkuu wa Saudi Arabia amesema sala zote katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani ziswaliwe katika majumbani kutokana na janga la ugonjwa wa COVID-19 au corona.
Habari ID: 3472679    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/18

TEHRAN (IQNA) – Mwanazuoni wa ngazi za juu wa Kiislamu katika madhehebu ya Shia nchini Iraq ametoa Fatwa kuhusu kufunga saumu ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani wakati huu wa janga la ugonjwa wa corona au COVID-19.
Habari ID: 3472669    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/15

TEHRAN (IQNA) – Darul Iftaa ya Misri imetoa taarifa na kusisistiza kuwa: “Baada ya kushauriana na kamati ya madaktari tumefikia natija kuwa, saumu haichangii katika kuambukizwa corona (COVID-19).”
Habari ID: 3472668    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/15

TEHRAN (IQNA) – Baraza la Fiqhi ya Amerika Kaskazini imetangaza kuwa Ijumaa Aprili 24 itakuwa siku ya kwanza ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3472659    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/12

TEHRAN (IQNA) – Baraza la Maulamaa Russia limetangaza Fatwa mpya inayowataka Waislamu waswali katika majumba yao katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani katika mwaka huu wa 1441 Hijria Qamaria ili kuzuia kuenea zaidi ugonjwa ambukizi wa COVID-19 au corona.
Habari ID: 3472647    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/09

TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Wakfu nchin Misri imetangaza kuwa ni marufuku kuandaa futari kwa umma misikitini katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3472635    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/05

TEHRAN (IQNA) – Qarii (msomaji wa Qur'ani) kutoka Iraq ameibuka mshindi katika Duru ya 12 ya mashindano ya kimataifa ya kusoma Qur'ani (qiraa) ambayo hufanyika mubashara au moja kwa moja kupitia Televisheni ya Al Kauthar ya Iran.
Habari ID: 3471989    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/07

TEHRAN (IQNA)- Waislamu zaidi ya milioni mbili walifurika katika Msikiti Mkuu wa Makka (al-Masjid al-Haram) na Msikiti wa Mtume SAW (al-Masjid an-Nabawi) mjini Madina Jumatatu.
Habari ID: 3471556    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/06/13

TEHRAN (IQNA)- Waislamu katika maeneo yote duniani wanaendelea na saumu ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani ambapo baadhi ya maeneo muda wa saumu ni masaa 11 na baadhi ya maeneo karibu karibu masaa.
Habari ID: 3471533    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/27

TEHRAN (IQNA)-Baraza La Mahusiano ya Kiislamu Marekani (CAIR) limewasilisha malalamiko mahakamani baada ya kubainika kuwa wafungwa katika jimbo la Alaska wanalishwa nyama ya nguruwe katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3471530    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/25

TEHRAN (IQNA)- Pamoja na kuwa atashiriki katika mechi muhimu zaidi ya soka katika maisha yake, yamkini nyota wa Liverpool Mohammad Salah akafunga saumu ya Ramadhani katika siku ya mechi na Real Madrid ya Fainali ya Mabingwa wa Ulaya.
Habari ID: 3471526    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/22