IQNA- Wapalestina wanaoishi katika kambi za wakimbizi Rafah, kusini mwa Ukanda wa Gaza, wanajiandaa kwa ajili ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani huku wanajeshi wa Israel wakiendelea vita vya mauaji ya kimbari dhidi ya eneo hilo.
Habari ID: 3478445 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/04
Jinai za Israel
IQNA - Waziri wa utawala wa Kizayuni mwenye misimamo mikali ya chuki amesema mwezi mtukufu wa Ramadhani unapaswa 'kufutwa' ili kuepusha taharuki katika mji mtakatifu wa al-Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3478440 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/02
Mawaidha
TEHRAN (IQNA) – Uzembe na kusahau au kughafikila ni miongoni mwa sifa za binadamu. Mbinu ya kukabiliana nao ni kuarifiwa kila mara kuhusu masuala muhimu.
Habari ID: 3476916 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/26
Siku Kuu
TEHRAN (IQNA)-Waislamu kote ulimwenguni leo wameanza kusherehekea moja ya karamu zao muhimu zaidi, Idul Fitr.
Habari ID: 3476896 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/21
Kikao cha Kusoma Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Kikao cha Kusoma Qur’ani Tukufu cha Wanawake wa Ulimwengu wa Kiilamu kinafanyika leo hapa mjini Tehran kwa kushirikisha wanawake kutoka Iran na kwingineko katika ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3476892 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/20
Mawaidha
TEHRAN (IQNA) – Katika saa hizi tunazoelekea mwisho wa mwezi mtukufu wa Ramadhani, tunapaswa kumuomba Mwenyezi Mungu atujaalie rehema zake zisizo na kikomo.
Habari ID: 3476891 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/20
Makka na Madina
TEHRAN (IQNA) - Mnamo usiku wa 27 wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, unaoaminika kuwa Usiku wa Qadr, mamilioni ya waumini walijaa Msikiti Mkuu ya Makka (Masjid al Haram) na Msikiti wa Mtume SAW (Masjid An Nabawi) huko Madina.
Habari ID: 3476885 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/18
Mwezi wa Ramadhani
Dua hizi za kila siku za Mwezi wa Ramadhani husomwa toka mwanzo ya tarehe mosi Ramadhani hadi siku ya mwisho katika mwezi huu mtukufu. Kila dua ina siku yake, na inaweza kusomwa mara nyingi kadiri ya uwezo wa mtu mwenyewe.
Habari ID: 3476847 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/11
Mawaidha
TEHRAN (IQNA) – Katika utamaduni wa Kiislamu, Ijumaa ni maalum kwa ajili ya ibada na kujumuika familia. Wakati huo huo, Ijumaa huwa muhimu zaidi katika mwezi uliobarikiwa wa Ramadhani kwa sababu mwezi huu ni bora kuliko nyakati zingine zote.
Habari ID: 3476822 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/06
Ukombozi wa Palestina
TEHRAN (IQNA)- Mwenyekiti wa Makao Makuu ya Intifadha na Siku ya Kimataifa ya Quds nchini Iran amesema nara na kaulimbiu ya Siku ya Kimataifa Quds mwaka huu ni : "Palestina ni mhimili wa Umoja wa Ulimwengu wa Kiislamu na Quds (Jerusalem) Inakaribia Kukombolewa."
Habari ID: 3476811 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/04
Mwezi wa Ramadhani
Dua hizi za kila siku za Mwezi wa Ramadhani husomwa toka mwanzo ya tarehe mosi Ramadhani hadi siku ya mwisho katika mwezi huu mtukufu. Kila dua ina siku yake, na inaweza kusomwa mara nyingi kadiri ya uwezo wa mtu mwenyewe.
Habari ID: 3476792 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/01
Mwezi wa Ramadhani
TEHRAN (IQNA) – Wauguzi kadhaa wasio Waislamu katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) wanafunga kula na kunywa wakati wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa vile wanataka kuonyesha mshikamano na wenzao Waislamu katika mwezi huu.
Habari ID: 3476785 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/30
Mwezi wa Ramadhani
Dua hizi za kila siku za Mwezi wa Ramadhani husomwa toka mwanzo ya tarehe mosi Ramadhani hadi siku ya mwisho katika mwezi huu mtukufu. Kila dua ina siku yake, na inaweza kusomwa mara nyingi kadiri ya uwezo wa mtu mwenyewe.
Habari ID: 3476782 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/30
Mwezi wa Ramadhani
Dua hizi za kila siku za Mwezi wa Ramadhani husomwa toka mwanzo ya tarehe mosi Ramadhani hadi siku ya mwisho katika mwezi huu mtukufu. Kila dua ina siku yake, na inaweza kusomwa mara nyingi kadiri ya uwezo wa mtu mwenyewe.
Habari ID: 3476771 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/28
Mwezi wa Ramadhani
TEHRAN (IQNA) – Ramadhani ni mwezi uliobarikiwa ambapo Mtume Muhammad SAW aliteremshiwa Qur’ani Tukufu. Ni mwezi ambao Waislamu hutumia muda mwingi kusoma na kutafakari kuhusu Qur’ani Tukufu.
Ifuatayo ni kisomo cha qarii mashuhuri wa wa Misri marehemu Sheikh Mustafa Ismail kuhusu mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3476763 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/26
Mwezi Mtukufu wa Ramadhani
TEHRAN (IQNA) – Kuna Hadithi nyingi kuhusu umuhimu na fadhila za mwezi mtukufu wa Ramadhani na miongoni mwazo ni hotuba ya Mtukufu Mtume Muhammad (SAW).
Habari ID: 3476758 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/25
Mwezi wa Ramadhani
TEHRAN (IQNA)- Rais William Ruto wa Kenya amewatumia Waislamu salamu za kheri na fanaka kwa mnasaba wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani mwaka 1444 Hijria Qamaria.
Habari ID: 3476754 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/24
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, Qarii wa Qur'ani ni mfikishaji wa ujumbe na risala ya Mwenyezi Mungu na ili kufikisha ujumbe huo kwa njia nzuri ana haja ya kuwa na sauti nzuri na usomaji bora kabisa.
Habari ID: 3476750 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/24
Mwezi wa Ramadhani
TEHRAN (IQNA) – Nchi nyingi za Kiislamu katika eneo la Asia Magharibu au Mashariki ya Kati zimetangaza Alhamisi, Machi 23, kuwa mwanzo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3476741 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/22
Mwezi wa Ramadhani
TEHRAN (IQNA) – Mwezi Mtukufu wa Ramadhani unatarajiwa kuanza wiki ijayo na Waislamu duniani wanasubiri kwa hamu kubwa kuanza kufunga katika mwezi huo mtukufu.
Habari ID: 3476732 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/19