TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ameshikamana na Waislamu wote duniani ambapo amewatakia heri na baraka wakati wa Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3475091 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/03
TEHRAN (IQNA) - Jeshi katili la utawala haramu wa Israel limewaua shahidi Wapalestina watatu kwa kuwapiga risasi katika mji wa Jenin, katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
Habari ID: 3475090 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/03
TEHRAN (IQNA)-Kwa kupunguzwa kwa vikwazo vilivyowekwa kutokana na kuzuka kwa ugonjwa wa corona, nchi mbalimbali za Kiarabu zitashuhudia kurudi kwa mijimuiko ya ibada maalum za Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3475089 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/31
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon anatazamiwa kutoa hotuba Ijumaa kwa mnasaba wa kuwadia Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3475087 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/30
TEHRAN (IQNA) – Maelfu ya Wapalestina walisaidia katika kusafisha Msikiti wa Al-Aqsa huko katika mji wa Quds (Jerusalem) ambao uko katika sehemu ya ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na kukoloniwa na utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3475082 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/28
TEHRAN (IQNA)- Huku Mwezi Mtukufu wa Ramadhani ukikaribia, wanafunzi 700 wamehitimu somo la kuhifadhi Qur’ani Tukufu kikamilifu ambapo wote waliofuzu watatumwa katika misikiti mbali mbali nchini humo.
Habari ID: 3475071 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/24
TEHRAN (IQNA)- Serikali ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) imetangaza kuidhinisha tena hema za futari wakati wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani baada ya hema hizo kufungwa kwa muda wa miaka miwili kutokana na janga la corona au COVID-19.
Habari ID: 3475047 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/15
TEHRAN (IQNA)- Mijumuiko mkiubwa ya futari itaruhusiwa tena katika Msikiti Mtakatifu wa Makka, Al Masjid Al Haram katika mwezi mtukufu wa Ramadhani baada ya kuzuiwa kwa muda wa miaka miwili kutokana na janga la COVID-19.
Habari ID: 3475045 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/15
TEHRAN (IQNA) – Huku Waislamu kote Uingereza wakihangaika kujikimu, Mfuko wa Kitaifa wa Zakat (NZF) umeripoti ongezeko la asilimia 90 la maombi ya mahitaji muhimu kama vile chakula na nguo ikilinganishwa na mwaka jana.
Habari ID: 3475042 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/14
TEHRAN (IQNA)- Serikali ya Morocco imetangaza hatua za kuhakikisha kutovurugwa usambazaji wa maji wa chakula na bidhaa za kimsingi ili kukidhi mahitaji ya raia katika mwezi mtukufu ujao wa Ramadhani.
Habari ID: 3475010 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/05
TEHRAN (IQNA)- Kwa mwaka wa pili mfululizo, Waislamu wamefunga saumu ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani janga la COVID-19 likiwa limeenea duniani kote.
Habari ID: 3473879 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/05
TEHRAN (IQNA)- Haram Takatifu ya Hadhrat Abdul Adhim Hassani (AS) katika eneo la Rey, kusini mwa Tehran imeandaa vikao vya amali katika usiku kwa kwanza wa Laylatul Qadr katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3473868 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/02
TEHRAN (IQNA) - Tunaingia kumi la mwisho la Mwezi Mtukufu wa Ramadhani na hili ni kumi ambalo ndani yake kuna Laylatul-Qadr.
Habari ID: 3473866 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/01
TEHRAN–(IQNA) - Ligi Kuu ya Soko Uingereza(England)-EPL-, imewaruhusu wachezaji Waislamu kufungua suamu ya Mwezi Mtukufu waRamadhani kati kati ya mechi.
Habari ID: 3473862 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/30
TEHRAN (IQNA)- Paul Pogba, mchezaji mahiri wa timu ya Manchester United katika Ligi Kuu ya Premier nchini Uingereza anasema atakuwa amefunga saumu ya Ramadhani wakati wa mechi baina ya timu yake na Leeds United Jumapili 25 Aprili mchana.
Habari ID: 3473846 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/24
TEHRAN (IQNA)- Rais Muhamadu Buhari huhudhuria darsa za tafsiri ya Qur'ani Tukufu katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3473837 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/21
TEHRAN (IQNA)- Serikali ya Ujerumani imeidhinisha adhana kupitia vipaza sauti misikitini katika mwezi mtukufu wa Ramadhani kote katika nchi hiyo.
Habari ID: 3473836 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/21
TEHRAN (IQNA)- Katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, ambao ni mwezi wa rehma, maghfira na kuokolewa kutoka moto. Pia ni mwezi ambao iliteremshwa Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3473834 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/20
TEHRAN (IQNA)-Mwezi Mtukufu wa Ramadhani si tu kuwa ni fursa ya Muislamu kujijenga na kujiboresha bali pia ni fursa ya kuiboresha jamii.
Habari ID: 3473832 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/20
TEHRAN (IQNA)- Saumu ya mwezi mtukufu wa Ramadhani humsaidia mja kuwa na nidhamu katika maisha.
Habari ID: 3473826 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/18